28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

(a) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa Mkataba<br />

wa Ujenzi wa Barabara ya Isuna – Singida (km 63), ambayo ni<br />

sehemu ya Barabara ya Manyoni – Isuna – Singida, muda wa<br />

uangalizi baada ya barabara kukamilika ni miaka mitatu. Ujenzi<br />

ulikamilika mwaka 2008 na muda wa uangalizi wa miaka<br />

mitatu uliisha mwezi Juni mwaka 2011. Aidha, sehemu ya<br />

Manyoni – Isuna (km 54) imejengwa na Kampuni ya China Geo<br />

Engineering kutoka China na barabara bado haijafunguliwa.<br />

(b) Mheshimiwa Naibu Spika, wakati wa kipindi hiki cha<br />

uangalizi, Mkandarasi anaruhusiwa kufanya kazi za mikataba<br />

mingine ya kazi za ujenzi wa barabara kulingana na uwezo<br />

wake.<br />

MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA: Mheshimiwa Naibu Spika,<br />

napenda kuuliza maswali mawili ya nyongeza kama ifuatavyo:-<br />

(i) Kwa kuwa katika swali <strong>la</strong> msingi Waziri amejibu<br />

kwamba Mkandarasi alishamaliza muda wake wa uangalizi na<br />

kwa kuwa mkataba ulishakwisha alitakiwa awe<br />

ameshaondoka; <strong>la</strong>kini hivi ninavyozungumza hapa Mkandarasi<br />

huyu ameanzisha biashara nyingine ya kuchimba kokoto na<br />

kuuza kwa makampuni mengine ya ujenzi wa barabara. Je, ni<br />

lini Serikali iliipatia Kampuni ya SIETCO mkataba mpya au leseni<br />

ya kufanya biashara ya kuchimba kokoto na kuuza kwa<br />

makampuni mengine?<br />

(ii) Kama Serikali iliipatia Kampuni hii ya SIETCO ya<br />

kuchimba na kuuza kokoto bi<strong>la</strong> kushirikisha wananchi; je,<br />

kampuni hii inalipa kodi stahiki kwa Serikali ya Kijiji cha Utaho na<br />

Halmashauri ya Wi<strong>la</strong>ya ya Singida kama ambavyo Sheria ya<br />

Madini inataka?<br />

NAIBU SPIKA: Majibu Mheshimiwa Naibu Waziri wa Ujenzi.<br />

Swali <strong>la</strong> mwisho litatoka kwa Mheshimiwa Diana Chilolo.<br />

46

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!