28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

12 APRILI, 2012<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, eneo <strong>la</strong> kiwanda na majengo<br />

lina ukubwa wa Hekta 102, linatambulika kama Shamba Na.<br />

760, lenye hati Na. LO/188772/3 ya miaka 33 kuanzia tarehe 1<br />

Septemba, 1999 na hilo eneo lipo kwenye eneo <strong>la</strong> Mbalizi.<br />

Eneo <strong>la</strong> pili katika Mradi huu ni <strong>la</strong> malisho na lina ukubwa wa<br />

hekta 1999 linalotambulika kama Shamba Na. 761 na lipo eneo<br />

<strong>la</strong> Nsa<strong>la</strong><strong>la</strong>. Shamba hili limetengwa kwa ajili ya malisho kwa<br />

mifugo itakayotumika kiwandani; hivyo, haitakuwa busara<br />

kuligawa kwa wananchi kwa sababu punde kiwanda<br />

kitakapoanza kazi, mifugo haitapata eneo <strong>la</strong> kuchungiwa ama<br />

kunenepeshwa.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, katika Mpango wa Maendeleo<br />

wa Miaka Mitano 2011/2012 – 2015/2016, Serikali imedhamiria<br />

kufufua Kiwanda cha Nyama cha Mbalizi na kujenga viwanda<br />

vingine vipya kwa kushirikiana na sekta binafsi.<br />

MHE. MCH. LUCKSON N. MWANJALE: Mheshimiwa Naibu<br />

Spika, nashukuru kwa majibu mazuri ambayo Naibu Waziri<br />

ameyajibu <strong>la</strong>kini nina maswali mawili ya nyongeza.<br />

(i) Kwa kuwa katika jibu <strong>la</strong> msingi Serikali yenyewe<br />

inakiri kwamba, shamba hilo limewekwa katika soko zaidi ya<br />

mara mbili <strong>la</strong>kini hakuna mwekezaji yeyote aliyepatikana<br />

kununua shamba au kiwanda hicho. Je, Serikali sasa inatamka<br />

nini na ina mpango gani kwa sababu katika Mpango wa<br />

Miaka Mitano Serikali haikuonesha kama itakifufua kiwanda<br />

hicho; sasa inawatangazia nini Wananchi wa Mbeya Vijijini na<br />

Tanzania kwa ujum<strong>la</strong>; Kiwanda hicho kitaanza kufanya kazi au<br />

kitawekwa katika mpango lini?<br />

(ii) Kwa kuwa shamba <strong>la</strong> zaidi ya ekari 2000 lipo pale na<br />

limekaa halilimwi. Je, ni kwa nini, Serikali isiwapatie Wananchi<br />

wa Mbalizi kwa mkataba waweze kulima kwa mkataba na<br />

kisha kiwanda kikifunguliwa waweze kulichukua kwa urahisi<br />

wasipewe wananchi hawa walime?<br />

32

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!