28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

(a) Je, Serikali haioni kuwa kuna haja ya kujenga kituo<br />

maalum cha manunuzi ya mazao ya Wakulima wa Kasulu?<br />

(b) Je, Serikali ina mikakati gani ya kuongeza pembejeo<br />

za kilimo kama vile matrekta, mbolea na mbegu zitakazosaidia<br />

kuwa na kilimo bora?<br />

NAIBU WAZIRI KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA alijibu:-<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa<br />

Waziri wa Kilimo, Chaku<strong>la</strong> na Ushirika, naomba kujibu swali <strong>la</strong><br />

Mheshimiwa Agripina Zaituni Buyogera, M<strong>bunge</strong> wa Kasulu<br />

Vijijini, lenye sehemu (a), (b) na (c), kama ifuatavyo:-<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatekeleza Mpango wa<br />

Ujenzi wa Masoko ya Kimataifa na Mazao ya Wakulima katika<br />

maeneo mbalimbali nchini. Kuanzi mwaka 2002/2003 hadi<br />

sasa, masoko 188 yamejengwa nchini kupitia Mradi wa Masoko<br />

ya Kilimo (AMSDP) na Mradi wa Uwekezaji katika Sekta ya<br />

Kilimo Wi<strong>la</strong>yani (DASIP).<br />

Hivi sasa ujenzi wa masoko hayo unaendelezwa kupitia<br />

Mradi wa DASIP na Mradi mpya unaoitwa Marketing<br />

Infrastructure Value Addition and Rural Finance. Katika Wi<strong>la</strong>ya<br />

ya Kasulu, Serikali imetenga shilingi milioni 575 za kujenga soko<br />

katika Kijiji cha Mnani<strong>la</strong>. Taratibu za kusaini mikataba na<br />

wataa<strong>la</strong>m elekezi na wasimamizi wa ujenzi zinaendelea.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, azma ya Kilimo Kwanza na<br />

kufikia Mapinduzi ya Kijani itafikiwa iwapo wakulima<br />

wataongeza matumizi ya pembejeo hususan mbolea, mbegu<br />

bora, viatilifu na matumizi ya zana bora za kilimo yakiwemo<br />

matrekta. Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa ruzuku ili<br />

kuwasaidia wakulima kumudu gharama za pembejeo hizo.<br />

Kupitia utaratibu huo, katika mwaka 2009/2010 jum<strong>la</strong> ya kaya<br />

42,680, kaya 46,063 katika mwaka 2011/2012 zimenufaika na<br />

ruzuku hiyo. Aidha, matumizi ya zana bora za kilimo nchini<br />

38

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!