28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

12 APRILI, 2012<br />

Lakini kwa maana ya usimamizi na ufanisi wa fedha hizo,<br />

tumeona kwamba tufungue akaunti maalum pale Benki Kuu<br />

na fedha hizi zitatolewa kwa utaratibu maalum kwenda<br />

kwenye maeneo yanayohusika na tumeomba hatimaye<br />

kwamba ni vizuri Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali<br />

apewe na yeye nafasi mwisho wa zoezi hili kufanya ukaguzi wa<br />

kina kuhakikisha kwamba zimetumika inavyotakiwa.<br />

Kwa hiyo, naomba tu nitoe rai hasa kwa Wa<strong>tanzania</strong><br />

kwamba fedha hizi zitakapokuwa sasa zimeanza kutoka<br />

kwenda huko kwa ajili ya ununuzi wa vitabu basi tuhakikishe<br />

tunapata vitabu, vitabu vyenye sifa na ubora unaotakiwa ili<br />

watoto wetu waweze kuvitumia kwa njia nzuri zaidi.<br />

Lakini tuliona vile vile kwamba pengine tutumie kiasi cha<br />

fedha kidogo kwa ajili ya Halmashauri kama tisa hivi ambazo<br />

zina upungufu mkubwa sana wa madawati. Kwa hiyo,<br />

tutatumia kiasi kidogo cha fedha kwa ajili ya kuimarisha<br />

upatikanaji wa madawati kwenye Halmashauri kama tisa hivi,<br />

<strong>la</strong>kini kwa sehemu kubwa kiasi kingine chote kinachobaki<br />

kitakwenda kwenye vitabu.<br />

Kwa hiyo, namshukuru sana Mheshimiwa Mchemba kwa<br />

jambo hili, tulikuwa tumefikiria baadaye tuje tutoe kauli<br />

Bungeni <strong>la</strong>kini nadhani hii itasaidia kidogo.<br />

NAIBU SPIKA: Ahsante sana na mimi hapa kwa hatua hii<br />

nimshukuru sana Mheshimiwa Angel<strong>la</strong>h Kairuki, Mheshimiwa<br />

Zungu, Mheshimiwa Cheyo na mimi mwenyewe ambaye kwa<br />

niaba ya Bunge, Serikali na wananchi wa Tanzania tulienda<br />

kule Uingereza tukajitahidi fedha hii imekuja. Tupigieni makofi<br />

basi anga<strong>la</strong>u. (Kicheko/Makofi)<br />

Ahsante sana. Swali linalofuata linatoka kwa Mheshimiwa<br />

Pauline Philipo Gekul.<br />

16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!