28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Na. 31<br />

Ruzuku ya Fidia ya Vyanzo vya Mapato<br />

MHE. VITA R. KAWAWA aliuliza:-<br />

Ruzuku ya fidia ya vyanzo vya mapato iliondolewa bi<strong>la</strong><br />

maelezo. Je, Serikali haioni kuwa Halmasdhauri zitashindwa<br />

kutekeleza malengo yaliyopangwa kutokana na vyanzo hivyo?<br />

NAIBU WAZIRI WA FEDHA (MHE. GREGORY G. TEU) alijibu:-<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri wa Fedha,<br />

napenda kujibu swali <strong>la</strong> Mheshimiwa Vita Rashid Kawawa,<br />

M<strong>bunge</strong> wa Jimbo <strong>la</strong> Namtumbo, kama ifuatavyo:-<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, ruzuku ya fidia ya vyanzo vya<br />

mapato katika Halmashauri ilipunguzwa kwa jum<strong>la</strong> ya shilingi<br />

49.1 bilioni kutoka shilingi 59.9 bilioni mwaka 2010/2011 hadi<br />

shilingi 10.8 bilioni mwaka 2011/2012. Punguzo hilo lilitokana na<br />

mpango wa Serikali kupitia mchakato wa Bajeti ya mwaka wa<br />

2011/2012 wa kurejesha utaratibu wa kulipa ada ya leseni za<br />

biashara ki<strong>la</strong> mwaka katika ngazi za vijiji, kata, wi<strong>la</strong>ya, miji,<br />

manispaa na majiji.<br />

Mapendekezo haya yalitarajiwa kuongeza mapato ya<br />

Halmashauri kwa jum<strong>la</strong> ya shilingi 120.0 bilioni. Kiasi hiki ni<br />

kikubwa ukilinganisha na ruzuku iliyokuwa inatolewa na Serikali<br />

Kuu ya shilingi 59.9 bilioni.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, hata hivyo, baada ya<br />

kutathimini athari za kupunguzwa kiwango hicho cha ruzuku na<br />

kwa kuwa Halmashauri zimeshindwa kufikia malengo yao,<br />

Serikali italeta pendekezo kwenye Bajeti ya kurejesha tena<br />

ruzuku ya fidia ya mapato ya Halmashauri katika mwaka wa<br />

fedha 2012/2013.<br />

24

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!