28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

kwenye Mpango wa Taifa wa Maendeleo ya Miaka Mitano<br />

ambao umeshazinduliwa na Mheshimiwa Rais. Programu hiyo,<br />

itatekeleza pamoja na mambo mengine, uendelezaji wa uvuvi<br />

na ukuzaji wa viumbe kwenye maji, matumizi endelevu na<br />

uhifadhi wa rasilimali za uvuvi na mazingira. Vile vile, Programu<br />

hii itahusisha ukuzaji wa teknolojia ya uvuvi, pamoja na<br />

uimarishaji wa huduma za ugani, utafiti, mafunzo na<br />

upatikanaji wa takwimu sahihi za uvuvi. Aidha, Programu<br />

itaboresha miundombinu ya uvuvi pamoja na kuhamasisha<br />

uwekezaji kwenye Sekta ya Uvuvi.<br />

(b) Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali imekuwa<br />

ikiwawezesha wavuvi wadogo kwa kuwapatia mikopo kupitia<br />

Miradi na Programu mbalimbali zinazotekelezwa chini ya Sekta<br />

ya Uvuvi. Kupitia Mradi wa MACEMP, jum<strong>la</strong> ya shilingi<br />

1,303,950,355 zilitolewa kama ruzuku kwa ajili ya kuwawezesha<br />

wavuvi, ambapo jum<strong>la</strong> ya Miradi midogo 125 ya uzalishaji<br />

ilitekelezwa tangu Mradi huo ulipoanza kutekelezwa mwaka<br />

2006 hadi sasa.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, vile vile kupitia Kitengo cha<br />

Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu, Serikali imetekeleza<br />

Mpango wa kubadilishana zana haribifu na zana bora za uvuvi<br />

endelevu katika maeneo tengefu ambazo zimetolewa kama<br />

ruzuku. Chini ya utaratibu huo, jum<strong>la</strong> ya wanajamii 275 kutoka<br />

Hifadhi ya Bahari ya Kisiwa cha Mafia wamepatiwa majarife<br />

102 na wanajamii 436 kutoka Hifadhi ya Bahari ya Ghuba ya<br />

Mnazi na Maingilio ya Mto Ruvuma, wamepatiwa majarife 716.<br />

Mheshimiwa Naibu Spika, katika jitihada nyingine, Serikali<br />

imeendelea kuhamasisha jamii kujiunga kwenye vikundi vya<br />

kuweka na kukopa ili waweze kujijengea uwezo katika<br />

kutekeleza Miradi ya Kiuchumi kwa ajili ya kuboresha maisha<br />

yao.<br />

28

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!