28.02.2013 Views

bunge la tanzania

bunge la tanzania

bunge la tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12 APRILI, 2012<br />

Kwa hiyo, ikabidi kuanza upya tena. Kwa hiyo<br />

tukachelewa kutoa zile vocha na matokeo yake tukawa<br />

tumechelewa hata kwenye taratibu nyingine. Lakini<br />

tumelizungumza sana kwa upande wetu. Kwa sababu hilo ni<br />

moja ya tatizo <strong>la</strong>kini yako matatizo mengi sana kwenye mfumo<br />

wa vocha ambayo vile vile tumeyagundua.<br />

Kwa hiyo, tulimwomba Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za<br />

Serikali atusaidie na yeye kufanya ukaguzi maalum wa vocha<br />

kwa sababu hoja ya kuchelewa tunaiona <strong>la</strong>kini tunataka vile<br />

vile kujiridhisha kama kweli wakulima hawa wanapata faida<br />

hasa kutokana na utaratibu huu? Au wajanja pale katikati<br />

ndiyo wanafaidika zaidi kuliko mkulima. Kwa sababu hili ndiyo<br />

limejitokeza katika baadhi ya maeneo.<br />

Kwa hiyo, tumemwomba CAG na ameshaianza hiyo kazi<br />

nina hakika mwisho wake tutapata ushauri nzuri zaidi namna<br />

ya kuimarisha ikiwepo na hilo ulilolitaja. Nataka nikuhakikishie<br />

safari hii hatutachelewa hata kidogo na Mheshimiwa<br />

Jumanne Maghembe, Waziri wa Kilimo, Chaku<strong>la</strong> na Ushirika,<br />

ameshaambiwa na tumesema tunataka jambo hili msimu<br />

unaanza tuhakikishe na vocha zenyewe zipo tayari kwa ajili ya<br />

zoezi hilo. Kwa hiyo, naamini tutalikabili vizuri katika kipindi hiki<br />

cha mwaka huu.<br />

NAIBU SPIKA: Swali <strong>la</strong> mwisho kwa leo Mheshimiwa Anne<br />

Ki<strong>la</strong>ngo Malece<strong>la</strong>.<br />

MHE. ANNE K. MALECELA: Ahsante sana Mheshimiwa<br />

Naibu Spika. Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa kuwa ninavyo<br />

vielelezo ambavyo vinaonyesha Chuo Kikuu kimoja cha Mjini<br />

New York, Marekani ambacho kilifanya utafiti kuhusu minofu<br />

ya samaki wa Ziwa Victoria na ikaonyesha kwamba samaki<br />

wanaouzwa nchi za nje kutoka kwenye nchi ambazo<br />

zinazunguka Ziwa Victoria zina thamani ya milioni 344,500,000<br />

(milioni mia tatu arobaini na nne na <strong>la</strong>ki tano) hizo zikiwa ni<br />

do<strong>la</strong> za Kimarekani kwa mwaka.<br />

18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!