04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

18<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

(2) Hazina hii itasimamiwa na Kamishna wa V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kisiasa.<br />

(3) Hazina itatoka kwa-<br />

(a) pesa zitakazotolewa na Bunge ambazo hazitazidi asilimia sufuri<br />

nukta tatu <strong>ya</strong> makadirio <strong>ya</strong> utumiaji wa pesa kabla kukamilika kwa<br />

mwaka wa kifedha; na<br />

(b) mi<strong>cha</strong>ngo kutoka kwa njia nyingine zinazokubalika kisheria.<br />

(4) Kando na ibara <strong>ya</strong> (3), Bunge litatunga sheria <strong>ya</strong> kudhibiti zinakotoka pesa za<br />

kutumiwa na Hazina.<br />

Matumizi <strong>ya</strong> Hazina hiyo<br />

119. (1) Jukumu la Hazina <strong>ya</strong> V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kisiasa ni kutoa usaidizi wa kifedha kwa<br />

v<strong>ya</strong>ma vilivyosajiliwa v<strong>ya</strong> kisiasa.<br />

(2) Chama <strong>cha</strong> kisiasa kilicho na angalau mbunge mmoja Bungeni au katika<br />

baraza la wila<strong>ya</strong> kitaweza kupata usaidizi wa kifedha kutoka kwa Hazina.<br />

(3) Chama hakifaa kupata usaidizi wa kifedha kutoka kjwa Hazina iwapo zaidi <strong>ya</strong><br />

thuluthi-mbili <strong>ya</strong> viongozi wake ni wa jinsia moja.<br />

(4)Bunge litatunga sheria <strong>ya</strong> kuhakikisha usawa katika ugawaji wa fedha kwa<br />

v<strong>ya</strong>ma vilivyosajiliwa v<strong>ya</strong> kisiasa kwa kuzingatia-<br />

(a) idadi <strong>ya</strong> kura walizopata katika u<strong>cha</strong>guzi uliotangulia wa uRais, wa<br />

ubunge na wila<strong>ya</strong> ikiwemo u<strong>cha</strong>guzi mdogo; na<br />

(b) idadi <strong>ya</strong> wanawake na makundi tengwa <strong>ya</strong>liyo<strong>cha</strong>guliwa kupitia kila<br />

<strong>cha</strong>ma katika u<strong>cha</strong>guzi huo.<br />

(5) pesa zitakazotengewa <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> kisiasa kutoka kwenye Hazina hiyo<br />

zitatumiwa na <strong>cha</strong>ma-<br />

(a) kufidia gharama <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi katika <strong>cha</strong>ma hicho na usambazaji wa<br />

sera zake;<br />

(b) kupanga mafunzo <strong>ya</strong> raia kuhusu demokrasia, <strong>Katiba</strong> hii na mazoezi<br />

<strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi; na<br />

(c) kutumia kwa gharama <strong>ya</strong> usimamizi wa <strong>cha</strong>ma ambapo gharama hiyo<br />

haitazidi asilimia kumi <strong>ya</strong> pesa ilizotengewa.<br />

(6) Pesa zinazotolewa kwa <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> kisiasa hazitatumiwa-<br />

(a) kulipia kivyovyote, mishahara, karo, kuwaridhisha au kumnufaisha<br />

mwana<strong>cha</strong>ma yeyote au mfuasi wa <strong>cha</strong>ma hicho kinyume na<br />

ilivyopendekezwa katika ibara <strong>ya</strong> (5); au<br />

(b)jukumu jingine lolote lisiloambatana na udumishaji wa demokrasia <strong>ya</strong><br />

v<strong>ya</strong>ma vingi.<br />

Kuwajibika kwa v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />

120. (1) Chama <strong>cha</strong> kisiasa kita<strong>cha</strong>pisha wanaokipa fedha kila mara<br />

itakavyoelezwa na Kamishna wa V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kisiasa.<br />

(2) Katika kipindi <strong>cha</strong> miezi mitatu <strong>ya</strong> mwisho wa mwaka wa kifedha kila <strong>cha</strong>ma<br />

kilichosajiliwa <strong>cha</strong> kisiasa –<br />

(a) kita<strong>cha</strong>pisha mahali zinakotoka fedha zake;<br />

(b) kita<strong>cha</strong>pisha taarifa za kina kuhusu jinsi kilivyotumia pesa zake;<br />

(c) kuwasilisha ripoti kuhusu matumizi <strong>ya</strong> fedha kwa Mkaguzi- Mkuu wa<br />

hesabu za serikali katika njia itakayopendekezwa na Mkaguzi huyo; na<br />

(d) kuwasilisha kwa Kamishna wa V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kisiasa, ripoti za kila<br />

mwaka kuhusu shughuli zake katika mwaka mzima wa kifedha.<br />

(3) Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali atakagua rekodi zote za fedha za usajili wa<br />

v<strong>ya</strong>ma na kutuma ripoti <strong>ya</strong> ukaguzi wake kwa Kamishna wa V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kisiasa na<br />

Bunge.<br />

(4) Bunge litatunga sheria –<br />

(a) kufafanua mahali ambako v<strong>ya</strong>ma vilivyosajiliwa v<strong>ya</strong> kisiasa<br />

havitaruhusiwa kupata mi<strong>cha</strong>ngo;<br />

(b) kufafanua m<strong>cha</strong>ngo mkubwa unaoweza kutolewa na mtu binafssi au<br />

taasisi au shirika kwa <strong>cha</strong>ma kilichosajiliwa <strong>cha</strong> kisiasa; na<br />

(c) itakayotoa ruhusa <strong>ya</strong> kukaguliwa na umma kwa ripoti za kila mwaka,<br />

rekodi za kifedha na ripoti za ukaguzi wa v<strong>ya</strong>ma vilivyosajiliwa v<strong>ya</strong> kisiasa.<br />

(5) Tume Huru <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na mipaka itadhibiti kiasi <strong>cha</strong> pesa zitakazotumiwa<br />

na au kwa niaba <strong>ya</strong> mgombea au <strong>cha</strong>ma katika u<strong>cha</strong>guzi wowote.<br />

V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa na vyombo v<strong>ya</strong> habari<br />

121. Bunge litatunga sheria ambayo-<br />

(a) itakayoweka nafasi sawa <strong>ya</strong> kutengewa muda katika vyombo v<strong>ya</strong><br />

matangazo vinavyomilikiwa na serikali au aina nyinginezo, kwa v<strong>ya</strong>ma<br />

v<strong>ya</strong> kisiasa ama wakati wowote au wakati wa kampeni za u<strong>cha</strong>guzi; na<br />

(b) itakayodhibiti uhuru wa kutangaza ili kuhakikisha kampeni za haki<br />

wakati wa u<strong>cha</strong>guzi.<br />

122. Isipokuwa inakavyodokezwa katika Sura hii au Sheria <strong>ya</strong> Bunge, mtu<br />

hatatumia raslimali <strong>ya</strong> umma kudumisha maslahi <strong>ya</strong> <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> kisiasa.<br />

BUNGE<br />

SURA YA KUMI NA MOJA<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1 – Kuundwa na jukumu la Bunge<br />

Kuundwa kwa Bunge<br />

123. Kuna Bunge buniwa la Ken<strong>ya</strong> litakalojumuisha Seneti na Bunge<br />

Jukumu la Bunge<br />

124(1) Jukumu la kutunga sheria la Jamhuri hii katika kiwango <strong>cha</strong> kitaifa ni la<br />

Bunge.<br />

(2) Bunge hutokeza tofauti za kitamaduni katika taifa, linawakilisha maoni <strong>ya</strong><br />

watu na hutekeleza mamlaka <strong>ya</strong>ke kwa-<br />

(a) kutunga sheria;<br />

(b) kushauriana kuhusu na kusuluhisha maswala yenye n<br />

umuhimu mkubwa kwa raia;<br />

(c) kupima na kupitisha marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii;<br />

(d) kuidhinisha kugawana kwa mapato miongoni mwa<br />

viwango mbalimbali v<strong>ya</strong> serikali na miongoni<br />

mwa serikali zenyewe katika kila kiwango na kukadiria<br />

hazina <strong>ya</strong> gharama <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> kitaifa na taasisi<br />

nyingine za Serikali <strong>ya</strong> kitaifa;<br />

(e) kuhakikisha uwepo wa usawa katika usambazaji wa<br />

raslimali za kitaifa na nafasi miongoni mwa sehemu na<br />

jumuia zote nchini Ken<strong>ya</strong>;<br />

(f) kuchunguza kwa makini na kusimamia hatua<br />

zinazochukuliwa na taasisi za Serikali;<br />

(g) kupima na kuidhinisha mapatano na makubaliano <strong>ya</strong><br />

kimataifa;<br />

(h) kuidhinisha uteuzi, wakihitajika kufan<strong>ya</strong> hivyo na <strong>Katiba</strong><br />

hii au sheria <strong>ya</strong> bunge;<br />

(i) kuchunguza utendakazi wa ofisi <strong>ya</strong> Rais, Naibu wa Rais<br />

na maofisa wa Serikali na ikiwezekana kuanzisha hatua za<br />

kuwatoa ofisini; na<br />

(j) kuidhinisha matangazo <strong>ya</strong> vita na kuendelezwa kwa<br />

tangazo la muda wa hali <strong>ya</strong> hatari.<br />

(3) Jukumu kuu la Seneti ni kuweka taasisi itakayosaidia serikali iliyogatuliwa<br />

kugawana na kushiriki katika kukusan<strong>ya</strong> na kutunga sheria <strong>ya</strong> kitaifa na ku<br />

linda maslahi <strong>ya</strong> serikali hiyo iliyogatuliwa.<br />

(4) Hakuna mtu yeyote au taasisi yoyote, isipokuwa Bunge, itakayokuwa na mam<br />

laka kutengeneza kipengele <strong>cha</strong> kisheria nchini Ken<strong>ya</strong> isipokuwa kwa amri <strong>ya</strong><br />

<strong>Katiba</strong> hii au Sheria <strong>ya</strong> Bunge.<br />

5) Bunge litalinda <strong>Katiba</strong> hii na kudumisha uongozi wa kidemokrasia kwa<br />

Jamhuri hii.<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 2 – Wana<strong>cha</strong>ma wa Bunge<br />

Wana<strong>cha</strong>ma wa Seneti<br />

125. (1) Seneti itajumuisha-<br />

(a) wana<strong>cha</strong>ma walio<strong>cha</strong>guliwa mmoja kutoka kila wila<strong>ya</strong>, baraza la wila<strong>ya</strong><br />

wanaoweza kupiga kura;<br />

(b) wanawake wawili walio<strong>cha</strong>guliwa na maeneo, na raia wapigakura wa<br />

mabaraza <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> katika kila eneo walio na uwezo wa kupiga;<br />

(c) walemavu au walio katika makundi <strong>ya</strong> vijana, walio<strong>cha</strong>guliwa mmoja<br />

kutoka kila eneo;<br />

(d) Spika atakayekuwa mwana<strong>cha</strong>ma wa heshima.<br />

(2) U<strong>cha</strong>guzi chini <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> (1)(c) utafanyika kwa kuzingatia sheria <strong>ya</strong> bunge.<br />

(3) Baada <strong>ya</strong> ku<strong>cha</strong>guliwa, maseneta walio<strong>cha</strong>guliwa kutoka kila eneo watajenga<br />

kundi moja maalumu kwa ajili <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> 141(2)(a).<br />

(4) Hakuna chochote katika Kifungu hiki kitakachoangaliwa kama kinachowazuia<br />

wanawake dhidi <strong>ya</strong> kugombea n<strong>ya</strong>dhifa katika u<strong>cha</strong>guzi chini <strong>ya</strong> (1)(a).<br />

Uana<strong>cha</strong>ma katika Bunge<br />

126. (1) Bunge litajumuisha –<br />

(a) wabunge walio<strong>cha</strong>guliwa mmoja kutoka kila eneobunge itavyodokezwa na<br />

sheria;<br />

(b wanawake walio<strong>cha</strong>guliwa mmoja kutoka katika kila wila<strong>ya</strong>, kila wila<strong>ya</strong><br />

ikitoa mjumbe mmoja kwa kutazamwa kama eneobunge moja;<br />

(c) wana<strong>cha</strong>ma saba walemavu na wasiozidi wanne katika jinsi moja;<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!