04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

30<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

(d) kumshauri Rais wa Taifa, kuhusu uana<strong>cha</strong>ma wa mahakama<br />

maalum iliyorejelewa katika kifungu 207 (5)(a) na (b);<br />

(e) teua, pokea malalamiko kupinga,kuchunguza na kuwafuta au<br />

vinginevyo kuwaadhibu, wasajili,mahakimu na maafisa wengine wa idara<br />

<strong>ya</strong> mahakama, kwa njia ambayo imetolewa na na Sheria <strong>ya</strong> Bunge.<br />

(f) Kuandaa na kutekeleza mipango <strong>ya</strong> kuendelea kwa elimu na<br />

mafunzo <strong>ya</strong> majaji, mahakimu,maafisa wengine wa idara <strong>ya</strong> mahakama<br />

na wafan<strong>ya</strong>kazi wengine katika kazi hiyo; na<br />

(g) kuishauri serikali <strong>ya</strong> taifa kuboresha utendakazi na utekelezaji wa<br />

haki na pamoja na kutoa huduma za ushauri wa kisheria.<br />

(2) katika utekelezaji wa majukumu <strong>ya</strong>ke, Tume itaongozwa na <strong>ya</strong>fuatayo –<br />

(a) ushindani na utaratibu wenye uwazi katika kuwaajiri maafisa wa<br />

idara <strong>ya</strong> mahakama na wafan<strong>ya</strong>kazi wengine katika idara hiyo.<br />

(b) kukuza usawa wa kijinsia.<br />

Hazina <strong>ya</strong> Mahakama<br />

212. (1) Kuna hazina buniwa inayojulikana kama Hazina <strong>ya</strong> Mahakama ambayo<br />

itaongozwa na Msajili Mkuu wa Mahakama.<br />

(2) Hazina hiyo itahifadhi fedha –<br />

(a) fedha zitakazotengwa na Bunge<br />

(b) ruzuku zozote, zawadi, urithi na misaada;na<br />

(3) Hazina hiyo itatumika kugharamia usimamizi wa Mahakama na majukumu<br />

mengine kama itakavyokuwa muhimu katika utekelezaji wa majukumu <strong>ya</strong><br />

Mahakama.<br />

(4) Sheria Sheria itakuwa na kipengele <strong>cha</strong> udhibiti wa Hazina hiyo.<br />

SURA YA KUMI NA NNE<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1- Malengo na kanuni za serikali <strong>ya</strong> ugatuzi<br />

Malengo <strong>ya</strong> ugatuzi<br />

213. Malengo <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> ugatuzi ni:<br />

a) kuhakikisha kuwa kuna mamlaka <strong>ya</strong> kidemokrasi9a na uwajibikiaji wa<br />

serikali huru.<br />

b) kuhimiza umoja wa kitaifa kwa kutambua jamii mbalimbali.<br />

c) kuwapa watu katika kila ngazi mamlaka <strong>ya</strong> kujitawala na kushiriki katika<br />

utumizi wa mamlaka <strong>ya</strong> Serikali.<br />

d) kutambua haki haki za jamii zote katika kusimamia masuala <strong>ya</strong> jamii hizona<br />

kubuni mtandao na ushirika ili kusaidia katika usimamizi na kuharakisha<br />

maendeleo.<br />

e) kulinda na kuhamasisha maslahi na haki za jamii ndogondgo katika ngazi<br />

zote nchini..<br />

f) kustawisha miradi <strong>ya</strong> kijamii na kiuchumi na utoaji wa huduma kwa urahisi<br />

na za karibu kote nchini Ken<strong>ya</strong>.<br />

g) kuhakikisha kuna ugawaji sawa wa rasilmali zote za kijamii na za kitaifa<br />

kote nchini.<br />

h) kufanikisha ugatuzi wa mamlaka za taasisi za Serikali, uendeshaji wake wa<br />

shughuli ama huduma kutoka jijini Nairobi.<br />

i) kuhimiza ushiriki wa watu katika kufikia maamuzi <strong>ya</strong> masuala <strong>ya</strong>o na<br />

j) kuhakikisha kuna kudhibitiana na kugawana mamlaka kwa njia iliyo sawa.<br />

Kanuni za serikali <strong>ya</strong> ugatuzi<br />

214. Serikali zilizogatuliwa kulingana na <strong>Katiba</strong> hii zinazingatia kanuni zifuatazo:<br />

a) Serikali iliyogatuliwa itazingatia misingi <strong>ya</strong> kidemokrasia na ugawanaji wa<br />

mamlaka.<br />

b) Serikali iliyogatuliwa sharti iwe na njia za kuaminika za ukusan<strong>ya</strong>ji kodi na<br />

uhuru wa kutoa hudua kwa njia bora; na<br />

c) siyo zaidi <strong>ya</strong> theluthi mbili <strong>ya</strong> wana<strong>cha</strong>ma wawakilishi wa taasisi za umma<br />

katika serikali <strong>ya</strong> ugatuzi watakuwa wa jinsia moja.<br />

Serikali za maeneo<br />

215. (1) Kutakuwa na serikali <strong>ya</strong> eneo katika eneo, iliyo na bunge na kamati<br />

yenyewe mamlaka makuu.<br />

(2) Jukumu kuu la serikali <strong>ya</strong> eneo ni kuunganisha utekelezaji wa shughuli,<br />

katika wila<strong>ya</strong> zinazounda eneo , Pia mipango <strong>ya</strong> miradi iliyo katika wila<strong>ya</strong> mbili<br />

ua zaidi za eneo hilo.<br />

(3) Sheria <strong>ya</strong> Bunge, kulingana na hii <strong>Katiba</strong>, itatoa mwongozo kuhusu<br />

muundo wa utawala na usimamizi wa eneo la Nairobi kama eneo la jiji kuu na<br />

mji mkuu wa Ken<strong>ya</strong>.<br />

(4) Li<strong>cha</strong> <strong>ya</strong> eneo la <strong>ya</strong> Kifungu <strong>cha</strong> 228 na Mpangilio wa Nne, Sheria <strong>ya</strong> Bunge<br />

itatoa mamlaka kuhusu utozaji ushuru kwa serikali <strong>ya</strong> Eneo la Nairobi.<br />

Mabunge <strong>ya</strong> maeneo<br />

216. (1) Uwezo wa kutunga sheria wa eneo ni wa bunge la eneo hilo.<br />

(2) Bunge la eneo –<br />

(a) lina wana<strong>cha</strong>ma watatu walio<strong>cha</strong>guliwa na bunge la nchi kutoka<br />

katika kila wila<strong>ya</strong> eneo miongoni mwa wana<strong>cha</strong>ma wa bunge la nchi.<br />

(b) lina<strong>cha</strong>guliwa kwa muhula mmoja wa miaka mitano; na<br />

(c) lina uwezo wa kuidhinisha sheria zozote zilizo muhimu ama za<br />

kutyokea tu ghafla, uendeshaji na utekelezaji wowote uliokabidhiwa<br />

kwao.<br />

(3) Katika kuteua wawakilishi, bunge la nchi litaongozwa na makabila na<br />

mambo mengine mengi kama jinsia na uwakilishaji mwingine uliomo wila<strong>ya</strong>ni.<br />

(4) Bunge la eneo, huku likizingati ugawanaji wa mamlaka, lina uwezo wa<br />

kusimamia kamati yenye mamlaka kuu na taasisi yoyote yenye mamlaka kuu<br />

iliyoundwa kisheria na kupitishwa na bunge.<br />

Kamati za mamlaka kuu<br />

217. (1) Uwezo mkubwa wa mamlaka <strong>ya</strong> eneo utatumiwa na kamati kuu <strong>ya</strong> eneo<br />

hilo.<br />

(2) Kamati ina watu wafuatao:<br />

(a) mkurugenzi wa eneo, au kama ni Nairobi, me<strong>ya</strong>, aliye<strong>cha</strong>guliwa<br />

kulingana na vifungu v<strong>ya</strong> sheria 218 na 219 mtawalia.<br />

(b) naibu mkurugenzi wa eneo, au kama ni Nairobi naibu wa me<strong>ya</strong>, ambaye<br />

ame<strong>cha</strong>guliwa kulingana na vifungu v<strong>ya</strong> sheria 218 na 219 mlawalia.<br />

(c) wana<strong>cha</strong>ma wengine wasiozidi watano, ambao si wana<strong>cha</strong>ma wa<br />

bunge la eneo, walioteuliwa na mkurugenzi wa eneo kwa idhini <strong>ya</strong> bunge la<br />

neo hilo.<br />

(3) mkurugenzi wa eneo na naibu wake watakuwa afisa mkuu na naibu wa<br />

afisa mkuu wa eneo lao.<br />

(4) Jijini Nairobi, , me<strong>ya</strong> na naibu wake watakuwa maafisa wakuu mtawalia.<br />

(5) Wana<strong>cha</strong>ma wa maafisa wakuu wa eneo watawajibika kwa pamoja na<br />

kibinafsi kwa bunge la eneo ili kutekeleza majukumu na mamlaka <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

kuendesha shughuli za eneo lao.<br />

U<strong>cha</strong>guzi wa mkurugenzi wa eneo na nanibu wake<br />

218. (1) Mkurugenzi wa eneo na naibu wake wata<strong>cha</strong>guliwa na wajumbe ambao ni<br />

pamoja na wana<strong>cha</strong>ma wa bunge la wila<strong>ya</strong> la eneo hilo.<br />

(2) Mwana<strong>cha</strong>ma wa bunge la wila<strong>ya</strong> hawezi ku<strong>cha</strong>guliwa kama mkurugenzi<br />

wa eneo ama naibu wa mkurugenzi wa eneo.<br />

(3) Anayewania kiti katika kifungu (1) ambao anapata zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> kura<br />

katika u<strong>cha</strong>guzi atatangazwa mshindi.<br />

(4) Kama hakutakuwa na msnhindi, u<strong>cha</strong>guzi mwingine utafanywa na katika<br />

u<strong>cha</strong>guzi huo watakaogombea viti watakuwa:<br />

(a) mgombea, ama wagombea, waliopata kura nyingi; na<br />

(b) mgombea, au wagombea waliochukua nafasi <strong>ya</strong> pili kwa wingi wa kura<br />

(5) Mahali ambapo zaidi <strong>ya</strong> mgombea mmoja amepata kura nyingi sana ,<br />

kifungu <strong>cha</strong> (4)(b) hakitafuatwa na wagombea wa pekee katika u<strong>cha</strong>guzi huo<br />

mp<strong>ya</strong> watakuwa wale wanaokubalika kulingana na kifungu <strong>cha</strong> (4)(a).<br />

( 6) Mgombea anayepa kura nyingi, au nyingi zaidi, itakavyokuwa katika<br />

u<strong>cha</strong>guzi huo mp<strong>ya</strong>, atatangazwa kuwa mshindi.<br />

(7) Kulingana na kifungu <strong>cha</strong> (8), gavana wa wila<strong>ya</strong> na nanibu wake, kila<br />

mmoja atashikilia wadhifa wake kwa muhula mmoja wa miaka mitano na kila<br />

mmoja anaweza ku<strong>cha</strong>guliwa tena kwa kipindi kingine ambacho kitakuwa <strong>cha</strong><br />

mwisho.<br />

(8) Kulingana na kifungu <strong>cha</strong> (7), mtu ambaye amehudumu kwa miaka<br />

miwili mfululizo kama gavana wa wila<strong>ya</strong> ama naibu gavana atachuliwa kuwa<br />

alihudumu kwa kipindi kizima.<br />

U<strong>cha</strong>guzi wa me<strong>ya</strong> na naibu wa me<strong>ya</strong> jijini Nairobi<br />

219. (1) Me<strong>ya</strong> na naibu wa me<strong>ya</strong> wata<strong>cha</strong>guliwa na zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> kura za wapiga<br />

kura ambao watatimiza masharti <strong>ya</strong> kuwa wakazi wa eneo hili kulingana na<br />

Sheria za Bunge.<br />

(2) U<strong>cha</strong>guzi wa me<strong>ya</strong> na naibu wake utazingatia upigaji kura wa haki wa<br />

kimataifa.<br />

(3) Kwa mujibu wa kifungu <strong>cha</strong> (1), Sheria za Bunge, zitaelekeza taratibu za<br />

kuzingatiwa katika u<strong>cha</strong>guzi wa me<strong>ya</strong> na naibu wake.<br />

Shughuli za kamati kuu za maafisa wa maeneo<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!