Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
7<br />
(b) Inatambua na kulinda thamani za kimsingi na malengo <strong>ya</strong> utamaduni<br />
na inafurahia utamaduni kama msingi wa kukuza fahari <strong>ya</strong> kitaifa<br />
na utambulisho; na<br />
(c) inaakisi na kutilia nguvu upekee wa watu wa Ken<strong>ya</strong> na jamii katika<br />
ku<strong>cha</strong>ngia, na kushiriki katika utamaduni wa kilimwengu.<br />
Jukumu la Serikali kuhusiana na utamaduni<br />
27. Serikali –<br />
(a) Itakuza uelewano, uvumiliano na kuonea fahari mseto wa tamaduni;<br />
(b) itaheshimu, kuhifadhi, kulinda , kukuza na kuendeleza turathi za<br />
Ken<strong>ya</strong> na hasa, vifaa v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> kiutamaduni, kihistoria, kidini, takatifu,<br />
kiakiolojia na maeneo mengine muhimu;<br />
(c) Kukuza –<br />
(i) utafiti na sera <strong>ya</strong> elimu inayokuza utamaduni na thamani za<br />
kitamadun na inayowezesha watu kuwa na misingi thabiti <strong>ya</strong> imani<br />
na kimaadili;<br />
(ii) aina zote za kujieleza kitamaduni kote nchini kupitia fasihi,<br />
sanaa, sherehe za kitamaduni, sa<strong>ya</strong>nsi, mawasiliano, habari,<br />
vyombo v<strong>ya</strong> habari, ma<strong>cha</strong>pisho na maktaba na njia nyingine za<br />
kitamaduni; na<br />
(iii) utafiti na kurekodi utamaduni wa Ken<strong>ya</strong> ikiwemo historia <strong>ya</strong><br />
kitaifa na sheria za kiasili;<br />
(d) kutambua, kuunga mkono na kukuza matumizi <strong>ya</strong> kisasa na <strong>ya</strong><br />
kitamaduni <strong>ya</strong> matibabu;<br />
(e) kutambua jukumu la sa<strong>ya</strong>nsi na teknolojia za kiasili katika maendeleo<br />
<strong>ya</strong> nchi;<br />
(f) kuunga mkono,kukuza na kulinda maarifa <strong>ya</strong> kiasili na haki miliki za<br />
maarifa <strong>ya</strong> watu wa Ken<strong>ya</strong>;<br />
(g) kupitia kwa sheria, kuhakikisha kwamba jamii zinapewa fidia au<br />
mrabaha kwa kutumiwa kwa turathi zao za kitamaduni;<br />
(h) kukuza, pale inapohitajika, matumizi <strong>ya</strong> mifumo <strong>ya</strong> kitamaduni <strong>ya</strong><br />
ukulima, na v<strong>ya</strong>kula na vin<strong>ya</strong>ji v<strong>ya</strong> kiasili; na<br />
(i) kupitia kwa sheria, kutambua na kulinda umiliki wa mbegu na mimea<br />
<strong>ya</strong> kiasili, sifa zao za kimaumbile na matumizi <strong>ya</strong>o na jamii za Ken<strong>ya</strong>.<br />
SURA YA SITA<br />
SHERIA YA HAKI<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 1- Vipengele v<strong>ya</strong> jumla kuhusiana na Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
Haki na uhuru wa kimsingi –<br />
28. (1) Sheria hii <strong>ya</strong> Haki ni kiungo muhimu katika utawala wa kidemokrasia<br />
nchini Ken<strong>ya</strong> na ndiyo msingi wa sera za kijamii, kiuchumi na kitamaduni.<br />
(2) Umuhimu wa kutambua na kulinda haki za kibinadamu na uhuru<br />
muhimu ni kulinda heshima <strong>ya</strong> watu binafsi na jamaa na kukuza<br />
haki za kijamii na utambuaji wa uwezo wa binadamu wote.<br />
(3) Haki na uhuru wa kimsingi zinazotajwa katika sura hii-<br />
(a) ni za kila mtu binafsi na wala hazitolewi na serikali;<br />
(b) hazitengi haki na uhuru mwingine wa kimsingi ambao<br />
haukutajwa katika Sura hii, lakini zinazotambuliwa na kukubaliwa na<br />
sheria, ila endapo ni kwa kiwango ambapo hazikubaliani na sura hii;<br />
na<br />
(c) zinazingatia mipaka inayoelezwa katika <strong>Katiba</strong> hii.<br />
Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
29. (1) Sheria <strong>ya</strong> Haki inahusu sheria zote na inajumlisha mashirika yote <strong>ya</strong><br />
Serikali na watu wote. –<br />
(2) Kila mtu atafurahia haki na uhuru wa kimsingi uliotajwa katika Sheria <strong>ya</strong><br />
Haki, kwa kiwango kikubwa kuambatana na hali <strong>ya</strong> haki au uhuru wa kimsingi.<br />
(3) Katika kutekeleza kipengele Sheria <strong>ya</strong> Haki, mahakama inapaswa-<br />
(a) kutekeleza sheria kwa kiwango ambacho hakiathiri haki au uhuru<br />
wowote wa kimsingi; na<br />
(b) kuegemea fasiri inaendana na utekelezaji wa haki au uhuru wa<br />
wa kimsingi.<br />
(4) Katika kufasiri Sheria <strong>ya</strong> Haki, mahakama, mahakama maalumu, Tume<br />
<strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na maswala <strong>ya</strong> Kijinsia au mamlaka nyingine<br />
zitakuza-<br />
(a) maadili <strong>ya</strong>nayoongoza jamii huru na <strong>ya</strong> kidemokrasia kulingana na<br />
heshima <strong>ya</strong> ubinadamu, ulinganifu, usawa, na uhuru; na<br />
(b) imani, madhumuni na kusudi la Sheria <strong>ya</strong> Haki.<br />
(5) Wakati wa utekelezaji wa haki yoyote chini <strong>ya</strong> Vifungu 61 hadi 66,<br />
endapo serikali inadai kuwa haina raslimali za kutekeleza haki hiyo, Shirika<br />
la kiserikali,mahakama, mahakama maalumu, Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu<br />
na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia au mamlaka nyingine yoyote itaongozwa na kanuni<br />
zifuatazo –<br />
(a) ni jukumu la serikali kuonyesha kuwa raslimali hazipo;<br />
(b) katika kugawa raslimali, serikali ina jukumu la kuipa kipaumbele<br />
uhakikishaji wa uwezekano mkubwa wa kufurahia haki au uhuru wa<br />
kimsingi kwa kuzingatia hali halisi, ikiwemo kutengwa kwa baadhi <strong>ya</strong><br />
makundi au watu binafsi; na<br />
(c Mahakama, mahakama maalumu, Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na<br />
Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia au mamlaka nyingine haipaswi kuingilia uamuzi wa<br />
Asasi <strong>ya</strong> serikali kuhusu ugavi wa raslimali zilizopo, hasa kwa misingi<br />
kuwa utakuwa umefikia uamuzi tofauti.<br />
Utekelezaji wa haki na uhuru wa kimsingi<br />
30. (1) Ni jukumu la kimsingi la serikali na kila Asasi <strong>ya</strong> serikali kuzingatia,<br />
kuheshimu, kulinda, kukuza na kuhakikisha haki na uhuru wa kimsingi katika<br />
Sura hii, ilivyokatika utumizi wa nguvu na majukumu <strong>ya</strong>o.<br />
(2) Serikali itachukua hatua za kisheria, kisera na nyinginezo kuafiki<br />
utambuaji wa haki zinazotolewa chini <strong>ya</strong> vifungu 61 hadi 66<br />
(3) Bunge na Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia zitaweka<br />
viwango v<strong>ya</strong> upataji haki zilizotajwa katika sura (2)<br />
(4) Serikali itatambua na kurahisisha jukumu la makundi <strong>ya</strong> raia katika<br />
udumishaji na ulinzi wa haki na uhuru wa kimsingi vilivyomo katika Sheria <strong>ya</strong><br />
Haki.<br />
(5) Mashirika yote <strong>ya</strong> serikali na maofisa wa serikali wana jukumu la kuelewa,<br />
kujitahidi wenyewe kukabiliana na mahitaji <strong>ya</strong> makundi maalumu katika<br />
jamii, wakiwemo wanawake, wazee, walemavu, watoto, vijana na makundi<br />
<strong>ya</strong>liyotengwa, jumuia tengwa na wa jumuia fulani za kikabila, kidini na<br />
kitamaduni.<br />
(6) Serikali itaweka na kutekeleza sheria kurahisisha utimizaji wa malengo<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimataifa kwa mujibu wa haki za kibinadamu na uhuru wa kimsingi<br />
na itapaswa -<br />
(a) kutoa ripoti kwa wakati unaofaa kwa mashirika <strong>ya</strong> kimataifa <strong>ya</strong><br />
haki za kibinadamu kuhusu utekelezaji wa maafikiano kuhusu haki za<br />
kibinadamu na vyombo vinginevyo;<br />
(b) ku<strong>cha</strong>pisha ripoti zitakazotolewa na serikali kwa mashirika <strong>ya</strong><br />
kimataifa <strong>ya</strong> haki za kibinadamu kwa muda unaostahili na kurahisisha<br />
majadiliano na mijadala <strong>ya</strong> umma na kushiriki kwa mashirika <strong>ya</strong> kijamii<br />
kabla <strong>ya</strong> kurekebishwa na kuwasilishwa kwa ripoti hizo.<br />
(7) Serikali itasambaza kwa umma Maoni na Mapendekezo <strong>ya</strong> Jumla <strong>ya</strong><br />
mashirika <strong>ya</strong> kimataifa <strong>ya</strong> haki za kibinadamu kuhusiana na utekelezaji wa<br />
malengo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimataifa<br />
(8) Serikali <strong>ya</strong> kitaifa inapaswa kutangazia bunge kuhusu endapo na jinsi<br />
inavyokusudia kutekeleza mapendekezo hayo.<br />
(9) Serikali itaweka mifumo dhabiti <strong>ya</strong> kuipa nguvu kamili mielekeo <strong>ya</strong> Sheria<br />
<strong>ya</strong> Haki<br />
Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
31. (1) Mtu anayerejelewa katika sura (2) ana haki <strong>ya</strong> kutoa malalamiko kwa<br />
Tume <strong>ya</strong> Haki <strong>ya</strong> Kibinadamu na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia, na kuanzisha kesi , kudai<br />
kuwa haki au uhuru wa kimsingi uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki havijazinga<br />
tiwa,zimekiukwa, zimevunjwa au zimetishiwa –<br />
(2) Watu watakaotoa malalamiko kwa Tume au kuanzisha kesi kwa<br />
mujibu wa sura <strong>ya</strong> (1) ni -<br />
(a) mtu anaimiza mslahi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kibinafsi;<br />
(b) mtu anayemwakilisha mtu mwingine asiyeweza kujiwakisha;<br />
(c) mtu mwana<strong>cha</strong>ma wa, au kwa hiari <strong>ya</strong> kundi au tabaka fulani la watu;<br />
(d) mtu aliyejitolea kwa niaba <strong>ya</strong> umma; na<br />
(e) muungano uliojitolea kwa niaba <strong>ya</strong> mmoja au kundi miongoni mwa<br />
wana<strong>cha</strong>ma.<br />
(3) Jaji Mkuu ataweka kanuni zinazoruhusu kesi zilizotajwa katika sura <strong>ya</strong> (1),<br />
hizi zitazingatia vigezo kwamba–<br />
(a) haki za kulalamika zilizotolewa katika Kifungu hiki zinatekelezwa kwa<br />
ukamilifu;<br />
(b) Urasmi unaohusiana na kesi hizo , ikiwemo kuanzishwa kwa kesi,<br />
unawekwa kwa kiwango <strong>cha</strong> chini, na hasa kwamba pakiwa na haja,<br />
mahakama itakubali kuwepo wa kesi kwa misingi <strong>ya</strong> rekodi zisizo na<br />
lazima <strong>ya</strong> urasmi;<br />
(c) Hakuna fedha zitakazotozwa kwa kuanzisha kesi chini <strong>ya</strong> Kifungu hiki;<br />
(d) Mahakama, kwa kuzingatia kanuni za haki za kimsingi haitazuiwa bila<br />
sababu na mahitaji madogo madogo; na<br />
(e) Shirika au mtu binafsi mwenye ujuzi maalumu anaweza kwa idhini <strong>ya</strong><br />
mahakama, kujitokeza kama rafiki <strong>ya</strong> mahakama.<br />
(4) Kukosekana kwa kanuni zinazoangaziwa katika sura <strong>ya</strong> (3) hakutamnyima<br />
yeyote haki <strong>ya</strong> kuanzisha lalama chini <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii na kusikizwa kwa lalama<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja