04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

7<br />

(b) Inatambua na kulinda thamani za kimsingi na malengo <strong>ya</strong> utamaduni<br />

na inafurahia utamaduni kama msingi wa kukuza fahari <strong>ya</strong> kitaifa<br />

na utambulisho; na<br />

(c) inaakisi na kutilia nguvu upekee wa watu wa Ken<strong>ya</strong> na jamii katika<br />

ku<strong>cha</strong>ngia, na kushiriki katika utamaduni wa kilimwengu.<br />

Jukumu la Serikali kuhusiana na utamaduni<br />

27. Serikali –<br />

(a) Itakuza uelewano, uvumiliano na kuonea fahari mseto wa tamaduni;<br />

(b) itaheshimu, kuhifadhi, kulinda , kukuza na kuendeleza turathi za<br />

Ken<strong>ya</strong> na hasa, vifaa v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> kiutamaduni, kihistoria, kidini, takatifu,<br />

kiakiolojia na maeneo mengine muhimu;<br />

(c) Kukuza –<br />

(i) utafiti na sera <strong>ya</strong> elimu inayokuza utamaduni na thamani za<br />

kitamadun na inayowezesha watu kuwa na misingi thabiti <strong>ya</strong> imani<br />

na kimaadili;<br />

(ii) aina zote za kujieleza kitamaduni kote nchini kupitia fasihi,<br />

sanaa, sherehe za kitamaduni, sa<strong>ya</strong>nsi, mawasiliano, habari,<br />

vyombo v<strong>ya</strong> habari, ma<strong>cha</strong>pisho na maktaba na njia nyingine za<br />

kitamaduni; na<br />

(iii) utafiti na kurekodi utamaduni wa Ken<strong>ya</strong> ikiwemo historia <strong>ya</strong><br />

kitaifa na sheria za kiasili;<br />

(d) kutambua, kuunga mkono na kukuza matumizi <strong>ya</strong> kisasa na <strong>ya</strong><br />

kitamaduni <strong>ya</strong> matibabu;<br />

(e) kutambua jukumu la sa<strong>ya</strong>nsi na teknolojia za kiasili katika maendeleo<br />

<strong>ya</strong> nchi;<br />

(f) kuunga mkono,kukuza na kulinda maarifa <strong>ya</strong> kiasili na haki miliki za<br />

maarifa <strong>ya</strong> watu wa Ken<strong>ya</strong>;<br />

(g) kupitia kwa sheria, kuhakikisha kwamba jamii zinapewa fidia au<br />

mrabaha kwa kutumiwa kwa turathi zao za kitamaduni;<br />

(h) kukuza, pale inapohitajika, matumizi <strong>ya</strong> mifumo <strong>ya</strong> kitamaduni <strong>ya</strong><br />

ukulima, na v<strong>ya</strong>kula na vin<strong>ya</strong>ji v<strong>ya</strong> kiasili; na<br />

(i) kupitia kwa sheria, kutambua na kulinda umiliki wa mbegu na mimea<br />

<strong>ya</strong> kiasili, sifa zao za kimaumbile na matumizi <strong>ya</strong>o na jamii za Ken<strong>ya</strong>.<br />

SURA YA SITA<br />

SHERIA YA HAKI<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1- Vipengele v<strong>ya</strong> jumla kuhusiana na Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />

Haki na uhuru wa kimsingi –<br />

28. (1) Sheria hii <strong>ya</strong> Haki ni kiungo muhimu katika utawala wa kidemokrasia<br />

nchini Ken<strong>ya</strong> na ndiyo msingi wa sera za kijamii, kiuchumi na kitamaduni.<br />

(2) Umuhimu wa kutambua na kulinda haki za kibinadamu na uhuru<br />

muhimu ni kulinda heshima <strong>ya</strong> watu binafsi na jamaa na kukuza<br />

haki za kijamii na utambuaji wa uwezo wa binadamu wote.<br />

(3) Haki na uhuru wa kimsingi zinazotajwa katika sura hii-<br />

(a) ni za kila mtu binafsi na wala hazitolewi na serikali;<br />

(b) hazitengi haki na uhuru mwingine wa kimsingi ambao<br />

haukutajwa katika Sura hii, lakini zinazotambuliwa na kukubaliwa na<br />

sheria, ila endapo ni kwa kiwango ambapo hazikubaliani na sura hii;<br />

na<br />

(c) zinazingatia mipaka inayoelezwa katika <strong>Katiba</strong> hii.<br />

Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />

29. (1) Sheria <strong>ya</strong> Haki inahusu sheria zote na inajumlisha mashirika yote <strong>ya</strong><br />

Serikali na watu wote. –<br />

(2) Kila mtu atafurahia haki na uhuru wa kimsingi uliotajwa katika Sheria <strong>ya</strong><br />

Haki, kwa kiwango kikubwa kuambatana na hali <strong>ya</strong> haki au uhuru wa kimsingi.<br />

(3) Katika kutekeleza kipengele Sheria <strong>ya</strong> Haki, mahakama inapaswa-<br />

(a) kutekeleza sheria kwa kiwango ambacho hakiathiri haki au uhuru<br />

wowote wa kimsingi; na<br />

(b) kuegemea fasiri inaendana na utekelezaji wa haki au uhuru wa<br />

wa kimsingi.<br />

(4) Katika kufasiri Sheria <strong>ya</strong> Haki, mahakama, mahakama maalumu, Tume<br />

<strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na maswala <strong>ya</strong> Kijinsia au mamlaka nyingine<br />

zitakuza-<br />

(a) maadili <strong>ya</strong>nayoongoza jamii huru na <strong>ya</strong> kidemokrasia kulingana na<br />

heshima <strong>ya</strong> ubinadamu, ulinganifu, usawa, na uhuru; na<br />

(b) imani, madhumuni na kusudi la Sheria <strong>ya</strong> Haki.<br />

(5) Wakati wa utekelezaji wa haki yoyote chini <strong>ya</strong> Vifungu 61 hadi 66,<br />

endapo serikali inadai kuwa haina raslimali za kutekeleza haki hiyo, Shirika<br />

la kiserikali,mahakama, mahakama maalumu, Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu<br />

na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia au mamlaka nyingine yoyote itaongozwa na kanuni<br />

zifuatazo –<br />

(a) ni jukumu la serikali kuonyesha kuwa raslimali hazipo;<br />

(b) katika kugawa raslimali, serikali ina jukumu la kuipa kipaumbele<br />

uhakikishaji wa uwezekano mkubwa wa kufurahia haki au uhuru wa<br />

kimsingi kwa kuzingatia hali halisi, ikiwemo kutengwa kwa baadhi <strong>ya</strong><br />

makundi au watu binafsi; na<br />

(c Mahakama, mahakama maalumu, Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na<br />

Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia au mamlaka nyingine haipaswi kuingilia uamuzi wa<br />

Asasi <strong>ya</strong> serikali kuhusu ugavi wa raslimali zilizopo, hasa kwa misingi<br />

kuwa utakuwa umefikia uamuzi tofauti.<br />

Utekelezaji wa haki na uhuru wa kimsingi<br />

30. (1) Ni jukumu la kimsingi la serikali na kila Asasi <strong>ya</strong> serikali kuzingatia,<br />

kuheshimu, kulinda, kukuza na kuhakikisha haki na uhuru wa kimsingi katika<br />

Sura hii, ilivyokatika utumizi wa nguvu na majukumu <strong>ya</strong>o.<br />

(2) Serikali itachukua hatua za kisheria, kisera na nyinginezo kuafiki<br />

utambuaji wa haki zinazotolewa chini <strong>ya</strong> vifungu 61 hadi 66<br />

(3) Bunge na Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia zitaweka<br />

viwango v<strong>ya</strong> upataji haki zilizotajwa katika sura (2)<br />

(4) Serikali itatambua na kurahisisha jukumu la makundi <strong>ya</strong> raia katika<br />

udumishaji na ulinzi wa haki na uhuru wa kimsingi vilivyomo katika Sheria <strong>ya</strong><br />

Haki.<br />

(5) Mashirika yote <strong>ya</strong> serikali na maofisa wa serikali wana jukumu la kuelewa,<br />

kujitahidi wenyewe kukabiliana na mahitaji <strong>ya</strong> makundi maalumu katika<br />

jamii, wakiwemo wanawake, wazee, walemavu, watoto, vijana na makundi<br />

<strong>ya</strong>liyotengwa, jumuia tengwa na wa jumuia fulani za kikabila, kidini na<br />

kitamaduni.<br />

(6) Serikali itaweka na kutekeleza sheria kurahisisha utimizaji wa malengo<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimataifa kwa mujibu wa haki za kibinadamu na uhuru wa kimsingi<br />

na itapaswa -<br />

(a) kutoa ripoti kwa wakati unaofaa kwa mashirika <strong>ya</strong> kimataifa <strong>ya</strong><br />

haki za kibinadamu kuhusu utekelezaji wa maafikiano kuhusu haki za<br />

kibinadamu na vyombo vinginevyo;<br />

(b) ku<strong>cha</strong>pisha ripoti zitakazotolewa na serikali kwa mashirika <strong>ya</strong><br />

kimataifa <strong>ya</strong> haki za kibinadamu kwa muda unaostahili na kurahisisha<br />

majadiliano na mijadala <strong>ya</strong> umma na kushiriki kwa mashirika <strong>ya</strong> kijamii<br />

kabla <strong>ya</strong> kurekebishwa na kuwasilishwa kwa ripoti hizo.<br />

(7) Serikali itasambaza kwa umma Maoni na Mapendekezo <strong>ya</strong> Jumla <strong>ya</strong><br />

mashirika <strong>ya</strong> kimataifa <strong>ya</strong> haki za kibinadamu kuhusiana na utekelezaji wa<br />

malengo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimataifa<br />

(8) Serikali <strong>ya</strong> kitaifa inapaswa kutangazia bunge kuhusu endapo na jinsi<br />

inavyokusudia kutekeleza mapendekezo hayo.<br />

(9) Serikali itaweka mifumo dhabiti <strong>ya</strong> kuipa nguvu kamili mielekeo <strong>ya</strong> Sheria<br />

<strong>ya</strong> Haki<br />

Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />

31. (1) Mtu anayerejelewa katika sura (2) ana haki <strong>ya</strong> kutoa malalamiko kwa<br />

Tume <strong>ya</strong> Haki <strong>ya</strong> Kibinadamu na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia, na kuanzisha kesi , kudai<br />

kuwa haki au uhuru wa kimsingi uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki havijazinga<br />

tiwa,zimekiukwa, zimevunjwa au zimetishiwa –<br />

(2) Watu watakaotoa malalamiko kwa Tume au kuanzisha kesi kwa<br />

mujibu wa sura <strong>ya</strong> (1) ni -<br />

(a) mtu anaimiza mslahi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kibinafsi;<br />

(b) mtu anayemwakilisha mtu mwingine asiyeweza kujiwakisha;<br />

(c) mtu mwana<strong>cha</strong>ma wa, au kwa hiari <strong>ya</strong> kundi au tabaka fulani la watu;<br />

(d) mtu aliyejitolea kwa niaba <strong>ya</strong> umma; na<br />

(e) muungano uliojitolea kwa niaba <strong>ya</strong> mmoja au kundi miongoni mwa<br />

wana<strong>cha</strong>ma.<br />

(3) Jaji Mkuu ataweka kanuni zinazoruhusu kesi zilizotajwa katika sura <strong>ya</strong> (1),<br />

hizi zitazingatia vigezo kwamba–<br />

(a) haki za kulalamika zilizotolewa katika Kifungu hiki zinatekelezwa kwa<br />

ukamilifu;<br />

(b) Urasmi unaohusiana na kesi hizo , ikiwemo kuanzishwa kwa kesi,<br />

unawekwa kwa kiwango <strong>cha</strong> chini, na hasa kwamba pakiwa na haja,<br />

mahakama itakubali kuwepo wa kesi kwa misingi <strong>ya</strong> rekodi zisizo na<br />

lazima <strong>ya</strong> urasmi;<br />

(c) Hakuna fedha zitakazotozwa kwa kuanzisha kesi chini <strong>ya</strong> Kifungu hiki;<br />

(d) Mahakama, kwa kuzingatia kanuni za haki za kimsingi haitazuiwa bila<br />

sababu na mahitaji madogo madogo; na<br />

(e) Shirika au mtu binafsi mwenye ujuzi maalumu anaweza kwa idhini <strong>ya</strong><br />

mahakama, kujitokeza kama rafiki <strong>ya</strong> mahakama.<br />

(4) Kukosekana kwa kanuni zinazoangaziwa katika sura <strong>ya</strong> (3) hakutamnyima<br />

yeyote haki <strong>ya</strong> kuanzisha lalama chini <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii na kusikizwa kwa lalama<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!