Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
8<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
hiyo na kushughulikiwa na mahakama.<br />
Mamlaka <strong>ya</strong> mahakama kudumisha na kutekeleza Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
32. (1) Mahakama <strong>ya</strong> Kikatiba na Mahakama Kuu zina mamlaka kwa mujibu wa<br />
Vifungu 203 na 204 kusikiliza maombi <strong>ya</strong> kusikizwa up<strong>ya</strong> kwa lalama dhidi <strong>ya</strong><br />
ukiukaji wa haki za kibinadamu au uhuru wa kimsngi uliotajwa katika Sheria<br />
<strong>ya</strong> Haki.<br />
(2) Bunge litatunga sheria kutoa uwezo wa kiasili kwa mahakama za chini<br />
katika kusikiza maombi <strong>ya</strong> kusikizwa up<strong>ya</strong> kwa ukiukaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki.<br />
(3) Katika kesi yoyote inayoletwa mbele <strong>ya</strong>ke chini <strong>ya</strong> Kifungu 31, mahakama<br />
inaweza kutoa usaidizi, ikiwemo-<br />
(a) kukiri haki;<br />
(b) agizo la mahakama;<br />
(c) amri <strong>ya</strong> uhifadhi;<br />
(d) utangazaji kutotakikana tena kwa sheria yoyote inayotatiza Sheria <strong>ya</strong><br />
Haki na haikubaliwi kwa misingi <strong>ya</strong> Kifungu 33;<br />
(e) amri <strong>ya</strong> kufidiwa dhidi <strong>ya</strong> Serikali au mtu yeyote anayehusika na<br />
uvunjaji wa haki au uhuru wowote wa kimsingi; na<br />
(f) amri <strong>ya</strong> marekebisho <strong>ya</strong> kisheria<br />
(4) katika vikao v<strong>ya</strong> mahakama dhidi <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> umma kwa kukiuka<br />
Sheria <strong>ya</strong> Haki, mahakama huenda ikakosa kumtoza mshtaki gharama, au<br />
aliyetuma ombi isipokuwa mahakama ikigundua kuwa kesi hiyo haikuwa<br />
na maana au haikustahili.<br />
Mipaka <strong>ya</strong> haki na uhuru wa kimsingi<br />
33. (1) Hakuna haki au uhuru wowote wa kimsingi unaotajwa katika Sheria <strong>ya</strong><br />
Haki unaoweza kuwekewa mipaka isipokuwa-<br />
(a) kwa mpaka au ufaafu uliolezwa wazi katika kifungu kinachojumuisha<br />
haki hiyo au uhuru huo wa kimsingi au kisheria; na<br />
(b) kwa kiwango kuwa mipaka hiyo haikubaliki katika jamii huru na <strong>ya</strong><br />
kidemokrasia kwa mujibu wa heshima <strong>ya</strong> ubinadamu, usawa na uhuru<br />
ikizingatiwa vipengele vyote muhimu ikidwemo-<br />
(i) hali <strong>ya</strong> haki hiyo au uhuru huo wa kimsingi;<br />
(ii) umuhimu wa jukumu la mpaka huo;<br />
(iii) hali na kiwango <strong>cha</strong> mipaka hiyo;<br />
(iv) haja <strong>ya</strong> kuhakikisha kuwa ufurahiaji wa haki hizo na uhuru huo<br />
wa kibinafsi na mtu yeyote hautatizi haki na uhuru wa kimsingi wa<br />
wengine; na<br />
(v) uhusiano uliopo kati <strong>ya</strong> mpaka na jukumu lake na endapo kuna<br />
njia nyingine zisizotatiza sana kuafikia jukumu hilo.<br />
(2) Li<strong>cha</strong> <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> (1), kifungu <strong>cha</strong> kisheria kinachowekea mipaka haki au<br />
uhuru wa kimsingi-<br />
(a) haikubaliki katika sheria iliyotungwa au kurekebishwa baada <strong>ya</strong> siku<br />
<strong>ya</strong> kutekeleza katiba hii, isipokuwa sheria hiyo ikidhihirisha nia <strong>ya</strong> kuzuia<br />
haki hiyo au uhuru huo na hali na kiwango <strong>cha</strong> mipaka hiyo;<br />
(b) haitachukuliwa kama uzuiaji haki au uhuru uliotajwa katika Sheria <strong>ya</strong><br />
Haki isipokuwa pale ambapo kipengele <strong>cha</strong> sheria kinaeleza wazi na kwa<br />
<strong>ya</strong>kini kuhusu haki au uhuru wa kimsingi unaopaswa kuzuiwa na hali au<br />
kiwango <strong>cha</strong> mipaka hiyo; na<br />
(c) haitazuia haki au uhuru wa kimsingi unaotajwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
ili kupuuza maswala nyeti na muhimu katika haki hiyo.<br />
(3) Serikali au mtu anayetaka kutosheleza kumnyima haki mtu atapaswa<br />
kuthibitishia mahakama, mahakama maalumu au mamlaka nyingine kuwa<br />
mahitaji <strong>ya</strong> Kifungu hiki <strong>ya</strong>mezingatiwa.<br />
(4) Maelezo <strong>ya</strong> Sura hii kuhusu usawa <strong>ya</strong>takubaliwa hadi kwa viwango v<strong>ya</strong><br />
utekelezaji wa Sharia <strong>ya</strong> Kiislamu kwa waumini wa Kiislamu kwa mujibu wa<br />
hadhi zao za kibinafsi, hali <strong>ya</strong> ndoa, talaka na urithi.<br />
Haki na uhuru unaoweza kuwekewa mipaka<br />
34. Li<strong>cha</strong> <strong>ya</strong> chochote katika <strong>Katiba</strong> hii, hakutakuwa na uwekaji mipaka kwa haki<br />
na uhuru wa kimsingi ufuatao -<br />
(a) uhuru dhidi <strong>ya</strong> mateso, un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>saji au adhabu zilizokiuka ubinadamu;<br />
(b) uhuru dhidi <strong>ya</strong> utumwa;<br />
(c) haki <strong>ya</strong> kusikiziwa mashtaka ; na<br />
(d) haki <strong>ya</strong> kuitikiwa amri <strong>ya</strong> kufikishwa mahakamani<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 2- Haki na uhuru wa kimsingi<br />
Haki <strong>ya</strong> kuishi<br />
35. (1) Kila mtu ana haki <strong>ya</strong> kuishi.<br />
(2) Mtu hatauwawa kiholela.<br />
Usawa<br />
36. (1) Kila mtu ni sawa mbele <strong>ya</strong> sheria na ana haki <strong>ya</strong> kulindwa na manufaa<br />
sawa <strong>ya</strong> sheria.<br />
(2) Usawa unajumuisha ufurahiaji kwa ukamilifu haki zote na uhuru wote wa<br />
kimsingi.<br />
Uhuru dhidi <strong>ya</strong> kubaguliwa<br />
37. (1) Serikali haitabagua kwa vyovyote dhidi <strong>ya</strong> mtu yeyote kwa misingi yoyote<br />
ikiwemo asili, jinsia, mimba, hadhi <strong>ya</strong> kindoa, hali <strong>ya</strong> kiaf<strong>ya</strong>, asili <strong>ya</strong> kikabila au kijamii,<br />
rangi, umri, ulemavu, dini, dhamiri, imani, utamaduni, mavazi, lugha au kuzaliwa.<br />
(2) Mtu hatambagua mwingine kwa ivyovyote dhidi <strong>ya</strong> mwingine kwa misingi<br />
hiyo.<br />
(3) Mtu hatalazimishwa kuonyesha au kueleza kabila au asili <strong>ya</strong> mtu huyo.<br />
(4) Li<strong>cha</strong> <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> (1), Serikali itachukua hatua za kisheria na nyinginezo,<br />
ikiwemo japo sio lazima mipango <strong>ya</strong> usawa na sera zilizopangwa kushughulikia<br />
up<strong>ya</strong> matatizo <strong>ya</strong>liyomkumba mtu yeyote au makundi kwa mujibu wa ubaguzi<br />
wa mbeleni.<br />
(5) Hatua yoyote inayochukuliwa chini <strong>ya</strong> (4) itatoa nafasi kwa manufaa kuwa<br />
misingi <strong>ya</strong> haja maalumu.<br />
Jinsia<br />
38. Wanawake na wanaume wana haki <strong>ya</strong> kushughulikiwa kwa usawa ikiwemo<br />
haki <strong>ya</strong> kupata nafasi sawa katika shughuli za kisiasa, kiuchumi, kitamaduni na<br />
kijamii.<br />
Wazee katika jamii<br />
39. (1) Wazee katika jamii wako huru kuendelea kufurahia haki zote na uhuru<br />
wa kimsingi uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki.<br />
(2) Serikali itachukua hatua za kisheria na za kisera kuwahakikishia wazee<br />
haki za-<br />
(a) kushiriki kwa ukamilifu katika maswala <strong>ya</strong> jamii;<br />
(b) kufan<strong>ya</strong> shughuli za maendeleo <strong>ya</strong>o;<br />
(c kuwa huru dhidi <strong>ya</strong> aina zote za ubaguzi na kutumiwa;<br />
(d kuishi katika maadili na heshima;<br />
(e) kuhifadhi hadhi zao kijamii, kiuchumi na kisiasa; na<br />
(f) kupata malezi <strong>ya</strong> kufaa na usaidizi kutoka kwa familia zao na Serikali.<br />
(3) Bunge litatunga sheria kuweka shirika la kufafanua na kushauri kuhusu<br />
sera na mipango <strong>ya</strong> malezi na ulinzi wa wazee katika jamii.<br />
Vijana<br />
40. (1) Vijana wanajenga sehemu muhimu <strong>ya</strong> jamii na wanaruhusiwa kufurahia<br />
haki zote na uhuru wa kimsingi uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki, ikizingatiwa<br />
haja zao za kipekee.<br />
(2) Serikali itachukua hatua za kisheria na nyinginezo, ikiwemo japo sio<br />
lazima sera na mipango <strong>ya</strong> usawa ili-<br />
(a) kukuza maswala <strong>ya</strong> vijana;<br />
(b) kuhakikisha kushirikishwa kwa vijana katika siasa; na<br />
(c) kuwalinda vijana dhidi <strong>ya</strong> tamaduni zinazodhalilisha maadili na hadhi<br />
<strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o.<br />
Watoto<br />
41. (1) Watoto ni sehemu muhimu katika jamii.<br />
(2) Ni jukumu la wazazi, familia, jamii na serikali kuwalea, kuwalinda na<br />
kuwasomesha watoto.<br />
(3) Watoto wote, ama waliozaliwa katika ndoa au nje ndoa, wako sawa mbele<br />
<strong>ya</strong> sheria na wana haki sawa chini <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii.<br />
(4) Maslahi bora <strong>ya</strong> mtoto <strong>ya</strong>takuwa na umuhimu mkubwa katika swala<br />
lolote kuhusiana na motto.<br />
(5) Baba na mamaye mtoto, iwe wameoana au hawajaoana, wana jukumu<br />
sawa la kumtunza na kumshughulikia mtoto.<br />
(6) Kila mtoto ana haki <strong>ya</strong>-<br />
(a) jina na uraia kuanzia anapozaliwa na kusajiliwa kwa kuzaliwa kwao;<br />
(b) malezi <strong>ya</strong> wazazi au yoyote mbadala wakitenganishwa na wazazi;<br />
(c) elimu <strong>ya</strong> bure na <strong>ya</strong> lazima;<br />
(d) kulindwa dhidi <strong>ya</strong> kubaguliwa, tamaduni za kuumiza, kutumiwa<br />
viba<strong>ya</strong>, kutupwa au kun<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>swa;<br />
(e) kulindwa dhidi <strong>ya</strong> aina yoyote <strong>ya</strong> kun<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>swa na kazi yoyote<br />
itakayohatarisha maslahi <strong>ya</strong>o;<br />
(f) <strong>cha</strong>kula <strong>cha</strong> kutosha, makazi, huduma za malezi <strong>ya</strong> kiaf<strong>ya</strong> na huduma<br />
za kijamii;<br />
(g) kutolazimishiwa ghasia au kuadhibiwa katika njia mbovu, zilizokiuka<br />
ubinadamu shuleni na katika taasisi nyingine zinazohusika katika malezi<br />
<strong>ya</strong> watoto;<br />
(h) kutoshiriki katika uhasama au kujiunga na mizozo <strong>ya</strong> kutumia silaha<br />
na kulindwa dhidi <strong>ya</strong> hali hizo;<br />
(i) kutoshikwa au kufungwa isipokuwa endapo hiyo ndio hatua <strong>ya</strong><br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja