Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
40<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
(d) Kamanda wa Jeshi;<br />
(e) Kamanda wa Air Force;<br />
(f) Kamanda wa Navy; na<br />
(g) Katibu Mkuu katika Wizara inayohusika na ulinzi.<br />
4)Baraza la Ulinzi litamteua Katibu wake.<br />
(5) Baraza la Ulinzi litahusika na sera nzima, kudhibiti, na kusimamia Vikosi<br />
v<strong>ya</strong> Ulinzi v<strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> pamoja na majukumu mengine kulingana na jinsi Bunge<br />
litakavyopitisha.<br />
Uongozi<br />
285. (1) Rais wa Taifa, baada <strong>ya</strong> kushauriana na Baraza la Ulinzi, atateua Mkuu wa<br />
Majeshi, Kamanda wa Majeshi, Kamanda wa Air Force na Kamanda wa Navy.<br />
(2) Uongozi wa Majeshi <strong>ya</strong> Ulinzi wa Ken<strong>ya</strong> utaakisi tofauti za kimaeneo na za<br />
watu wa jamii mbalimbali nchini.<br />
(3) Kuzingatia mamlaka <strong>ya</strong> uongozi wa Rais wa Taifa kama Kamanda Mkuu,<br />
Vikosi v<strong>ya</strong> Ulinzi na makamanda wa huduma watatoa amri kwa vikosi v<strong>ya</strong><br />
Ulinzi wa Ken<strong>ya</strong> na kutekeleza majukumu mengine kisheria kulingana na<br />
sheria <strong>ya</strong> Bunge .<br />
Sehemu 3 – Huduma za Taifa za Upelelezi<br />
Kubuniwa kwa Huduma za Taifa za Upelelezi<br />
286. (1) Kuna taasisi buniwa <strong>ya</strong> Huduma za Taifa za Upelelezi .<br />
(2) taasisi <strong>ya</strong> Huduma za Taifa za Upelelezi itahusika na shughuli za<br />
kiupelelezi kuhusu usalama ili kuimarisha usalama wa taifa, na kulinda <strong>Katiba</strong><br />
hii, maslahi <strong>ya</strong> Taifa na <strong>ya</strong> watu wa Ken<strong>ya</strong>, na itatekeleza majukumu mengine<br />
kulingana na Sheria <strong>ya</strong> Bunge.<br />
(3) Huduma <strong>ya</strong> upelelezi, tofauti na Huduma za Taifa za Upelelezi, ambayo ni<br />
tawi la Majeshi wa Ulinzi la Ken<strong>ya</strong> au Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> haitabuniwa<br />
isipokuwa kwa njia <strong>ya</strong> sheria.<br />
Mkurugenzi –Mkuu wa Huduma<br />
287. (1) Kuna ofisi buniwa <strong>ya</strong> Baraza la Kitaifa la Upelelezi linalohusisha –<br />
(a) Waziri anayewajibika na masuala <strong>ya</strong>nayohusiana na upepelezi wa<br />
kitaifa, ambaye atakuwa mwenyekiti;<br />
(b) Waziri anayehusika na mashauri <strong>ya</strong> kigeni;<br />
(c) Waziri anayehusika na masuala <strong>ya</strong> fedha; na<br />
(d) Mwanasheria Mkuu<br />
(2) Mkurugenzi-Mkuu wa Huduma za Taifa za Upelelezi atakuwa katibu wa<br />
Baraza la Kitaifa la Upelelezi.<br />
(3) Majukumu <strong>ya</strong> Baraza la Taifa la Upelelezi <strong>ya</strong>takuwa ni-<br />
(a) kushauri Huduma Taifa za Upelelezi katika masuala yote<br />
<strong>ya</strong>nayohusiana na -<br />
(i) usalama wa kitaifa na sera kuhusu usalama;<br />
(ii) usimamizi wa Huduma; na<br />
(iii) matumizi <strong>ya</strong> fedha na Huduma; na<br />
(b) kutekeleza majukumu mengine kama <strong>ya</strong>navyotolewa na Baraza<br />
kulingana na sheria.<br />
Baraza la Kitaifa la Ujasusi .<br />
288. (1) Kumeundwa Baraza la Kitaifa la Ujasusi linalojumuisha —<br />
(a) Waziri anayehusika na masuala <strong>ya</strong>nayohusiana na upelelezi wa taifa,<br />
ambaye atakuwa mwenyekiti;<br />
(b)Waziri anayehusika na masuala <strong>ya</strong> nchi za Kigeni<br />
(c) Waziri wa Fedha; na<br />
(d) Mwanasheria Mkuu.<br />
(2) Mkurugenzi Mkuu wa Huduma <strong>ya</strong> Upelelezi atakuwa katibu wa Baraza la<br />
Kitaifa la Upalalazi.<br />
(3) Majukumu <strong>ya</strong> Baraza la Kitaifa la Upelelezi—<br />
(a) shauri Huduma <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Upelelezi kuhusu mambo yote<br />
<strong>ya</strong>nayohusiana na—<br />
(i) Usalama wa kitaifa na sera za upelezi ;<br />
(ii) Usimamizi wa Huduma ; na<br />
(iii) Matumizi <strong>ya</strong> pesa katika Huduma; na<br />
(b) Tekeleza majukumu mengine kama <strong>ya</strong>takavyotolewa kwa Baraza na<br />
sheria.<br />
Sehemu 4 – Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong><br />
Kuundwa kwa Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong><br />
289. (1) Kuna Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> iliyobuniwa -<br />
(2) Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ni huduma <strong>ya</strong> kitaifa <strong>ya</strong> polisi, na ugavi wa<br />
majukumu <strong>ya</strong>ke utafanywa kwa njia itakayozingatia muundo wa serikali <strong>ya</strong><br />
Ken<strong>ya</strong> iliyogatuliwa.<br />
(3)Bunge litatunga sheria kupitisha Kifungu hiki.<br />
Malengo na Majukumu<br />
290. (1) Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ita-<br />
(a) jitahidi kufikia viwango v<strong>ya</strong> juu v<strong>ya</strong> kitaaluma na nidhamu miongoni<br />
mwa wafan<strong>ya</strong>kazi wake; na<br />
(b) zuia ufisadi na kukuza uwazi;<br />
(c) zingatia kanuni zilizotajwa katika Kifungu 280 ( 2);<br />
(d) zingatia viwango v<strong>ya</strong> haki za binadamu;<br />
(e) fundisha wafan<strong>ya</strong>kazi wake kufikia viwango v<strong>ya</strong> juu zaidi <strong>ya</strong> uwezo<br />
na maadili na kuheshimu haki za binadamu na uhuru na heshima za<br />
kimsingi;<br />
(f) zingatia kanuni za uwazi na uwajibikaji; na<br />
(g) kimu na kukuza mahusiano na jamii pana.<br />
(2) Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> itafan<strong>ya</strong> kazi kwa karibu na jamii kuhakikisha –<br />
(a) kudumishwa kwa sheria na mpango;<br />
(b) mazingira salama na yenye amani;<br />
(c) kulindwa kwa haki za binadamu na uhuru wa kimsingi;<br />
(d) usalama kwa watu;<br />
(e) imezuia na kugundua uhalifu;<br />
(f) kuwatunza waathiriwa wa uhalifu na ghasia;<br />
(g) imelinda maisha na mali;<br />
(h) imechunguza uhalifu na makosa; na<br />
(i) imetekeleza sheria ambazo imepewa jukumu la kufan<strong>ya</strong> hiyo;<br />
Uteuzi na ufutaji kazi wa Inspekta-Mkuu<br />
291. (1) Kuna ofisi buniwa <strong>ya</strong> Inspekta Mkuu wa Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>.<br />
(2) Kwa ushauri wa Baraza la Mawaziri, na idhini <strong>ya</strong> Bunge, Rais wa Taifa<br />
atamteua Inspekta-Mkuu wa Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>.<br />
(3) Inspekta- Mkuu atahudumu wadhifa huo kwa kipindi kimoja <strong>cha</strong> miaka sita<br />
na hatateuliwa tena kwa kipindi <strong>cha</strong> pili.<br />
(4) Inspekta-Mkuu anaweza kuondolewa mamlakani na Rais wa Taifa pekee<br />
kwa –<br />
(a) kushindwa kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke ambayo <strong>ya</strong>naweza<br />
kusababishwa na<br />
ulemavu wa akili au mwili;<br />
(b) utovu wa nidhamu ama akiwa mamlakani au vinginevyo;<br />
(c ) kutojiweza kazini;<br />
(d) sababu nyingine nzuri;<br />
(e) kufilisika;au<br />
(f) kukiuka kanuzi za Sura <strong>ya</strong> Tisa.<br />
(5) Inspekta-Mkuu hataondolewa kwenye wadhifa huo isipokuwa kupitia kwa<br />
pendekezo la jopo litakaloteuliwa na Rais wa Taifa litakalohusisha –<br />
a) jaji wa Mahakama Kuu,ambaye atakuwa mwenyekiti;<br />
b) mwenyekiti wa Tume <strong>ya</strong> Huduma <strong>ya</strong> Polisi;na<br />
c) mtu mwingine mmoja mwenye maadili ambaye amewahi kuhudumia<br />
umma kwa ufanisi .<br />
(6) Li<strong>cha</strong> <strong>ya</strong> ibara (5), Rais wa Kitaifa, kwa ushauri wa Baraza la Mawaziri,<br />
anaweza kumsimamisha kazi<br />
Inspekta-Mkuu ambaye anaangaziwa katika utaratibu wa ibara (5).<br />
(7)Rais wa Kitaifa, kwa kuzingatia ushauri wa Baraza la Mawaziri anaweza<br />
kumteua kaimu Inspekta-Mkuu pale ambapo Inspekta-Mkuu anaachishwa<br />
kazi chini <strong>ya</strong> ibara (6)<br />
Majukumu na uhuru wa Inspekta -Mkuu<br />
292. (1) Inspekta-Mkuu atatumia mamlaka <strong>ya</strong> Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> na<br />
kutekeleza majukumu mengine ambayo Bunge linaweza kupendekeza<br />
kisheria.<br />
(2) Inspekta- Mkuu atatekeleza majukumu <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke katika ofisi hiyo kwa<br />
njia huru, kulingana na <strong>Katiba</strong> na sheria na bila woga, upendeleo wala chuki.<br />
(3) Waziri anayehusika na usalama wa taifa anaweza kutoa mwelekeo kisheria<br />
kwa Inspekta-Mkuu kuhusu suala lolote la sera kuhusu Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong><br />
Ken<strong>ya</strong>; lakini hakuna mtu yeyote anayeweza kutoa maagizo kwa Inspekta-<br />
Mkuu kuhusiana na –<br />
(a) uchunguzi wa kosa fulani kosa au makosa fulani mahususi;<br />
(b) kutekeleza sheria dhidi <strong>ya</strong> mtu au watu fulani mahususi; au<br />
(c) kuajiri, kutoa kazi, kupandisha cheo, kusimamisha au kufuta kazi kwa<br />
mfan<strong>ya</strong>kazi yeyote wa Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>.<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja