04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

2<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

UTANGULIZI<br />

SURA YA KWANZA<br />

UTAWALA WA WATU NA MAMLAKA YA KATIBA<br />

1. Utawala wa watu<br />

2. Mamlaka <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong><br />

3. Kulinda <strong>Katiba</strong><br />

JAMHURI<br />

4. Ikirari <strong>ya</strong> Jamhuri<br />

5. Eneo<br />

6. Ugatuzi<br />

7. Mji Mkuu wa Ken<strong>ya</strong><br />

8. Upatianaji Huduma<br />

9. Lugha na Njia za Mawasiliano<br />

10. Nchi na Dini<br />

11. Nembo za Kitaifa<br />

12. Siku za Kitaifa<br />

SURA YA PILI<br />

SURA YA TATU<br />

THAMANI ZA KITAIFA, KANUNI NA MALENGO<br />

13. Thamani za Kitaifa, Kanuni na Malengo<br />

SURA YA NNE<br />

URAIA<br />

14. Kauli za Kijumla<br />

15. Kudumisha kwa Uraia Uliopo<br />

16. Kufuata Uraia<br />

17. Urai kwa Kuzaliwa<br />

18. Uraia na Ndoa<br />

19. Uraia kwa Kujiandikisha<br />

20. Watoto wanaopatikana Ken<strong>ya</strong> na watoto wa kupanga<br />

21. Uraia Mara Mbili<br />

22. Kupokonywa Uraia<br />

23. Makao<br />

24. Majukumu <strong>ya</strong> Raia<br />

25. Sheria na uraia<br />

SURA YA TANO<br />

UTAMADUNI<br />

26. Kutambua Utamaduni<br />

27. Jukumu la Serikali kuhusiana na utamaduni<br />

SURA YA SITA<br />

SHERIA YA HAKI<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1- Vipengele v<strong>ya</strong> jumla kuhusiana na Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />

28. Haki na uhuru wa kimsingi<br />

29. Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />

30. Utekelezaji wa haki na uhuru wa kimsingi<br />

31. Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />

32. Mamlaka <strong>ya</strong> mahakama kudumisha na kutekeleza Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />

33. Mipaka <strong>ya</strong> haki na uhuru wa kimsingi<br />

34. Haki na uhuru unaoweza kuwekewa mipaka<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 2- Haki na uhuru wa kimsingi<br />

35. Haki <strong>ya</strong> kuishi<br />

36. Usawa<br />

37. Uhuru dhidi <strong>ya</strong> kubaguliwa<br />

38. Jinsia<br />

39. Wazee katika jamii<br />

40. Vijana<br />

41. Watoto<br />

42. Familia<br />

43. Walemavu<br />

44. Makundi Tengwa<br />

45. Hadhi <strong>ya</strong> kibinadamu<br />

46. Uhuru na usalama wa mtu<br />

47. Utumwa na kazi <strong>ya</strong> kulazimishwa<br />

48. Usiri<br />

49. Uhuru wa dhamiri, dini, imani na maoni<br />

50. Uhuru wa kujieleza<br />

51. Uhuru wa vyombo v<strong>ya</strong> habari<br />

52. Uwezo wa kuafikia habari<br />

53. Uhuru wa kutangamana<br />

54. Mikutano, maandamano, migomo na malalamishi<br />

55. Haki za kisiasa<br />

56. Uhuru wa kutembea na kuishi<br />

57. Wakimbizi na wanaotafuta hifadhi<br />

58. Uhuru wa biashara, kazi na taaluma<br />

59. Ulinzi wa haki <strong>ya</strong> kumiliki mali<br />

60. Mahusiano <strong>ya</strong> kikazi<br />

61. Usalama wa kijamii<br />

62. Af<strong>ya</strong><br />

63. Elimu<br />

64. Makao<br />

65. Chakula<br />

66. Maji<br />

67. Mazingira<br />

68. Lugha na Utamaduni<br />

69. Haki za Watumiaji<br />

70. Hatua <strong>ya</strong> Haki za Kiutawala<br />

71. Uwezo wa kupata haki<br />

72. Haki za Mahabusu<br />

73. Haki katika kusikizwa kwa kesi<br />

74. Haki za walio vizuizini<br />

75. Hali <strong>ya</strong> hatari<br />

76. Tume <strong>ya</strong> Haki na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia<br />

ARDHI NA MALI<br />

77. Kanuni za sera <strong>ya</strong> ardhi<br />

78. Utoaji na uainishaji wa ardhi<br />

79. Ardhi <strong>ya</strong> umma<br />

80. Ardhi <strong>ya</strong> jumuia<br />

81. Ardhi <strong>ya</strong> kibinafsi<br />

82. Umilikaji Ardhi na wasio raia<br />

83. Udhibiti wa matumizi <strong>ya</strong> ardhi<br />

84. Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Ardhi<br />

85. Sheria kuhusu Ardhi<br />

86. Ustawishaji wa makao<br />

SURA YA SABA<br />

SURA YA NANE<br />

MAZINGIRA NA MALI ASILI<br />

87. Kanuni na wajibu kuhusiana na mazingira<br />

88. Utunzaji wa mazingira<br />

89. Hifadhi <strong>ya</strong> mazingira<br />

90. Utekelezaji wa haki kuhusu mazingira<br />

91. Ustawishaji na maendeleo <strong>ya</strong> mali asili<br />

92. Makubaliano kuhusiana na mali asili<br />

93. Sheria kuhusu Mazingira<br />

SURA YA TISA<br />

UONGOZI NA MAADILI<br />

94. Majukumu <strong>ya</strong> uongozi<br />

95. Kiapo <strong>cha</strong> uamnifu<br />

96. Mienendo <strong>ya</strong> maofisa wa Serikali<br />

97. Fedha za maofisa wa Serikali<br />

98. Uzuiaji wa shughuli<br />

99. Tume <strong>ya</strong> Maadili na Kupambana na Ufisadi<br />

100. Wajibu wa kuhakikisha uzingatifu<br />

101. Sheria kuhusu uongozi<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!