Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
2<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
UTANGULIZI<br />
SURA YA KWANZA<br />
UTAWALA WA WATU NA MAMLAKA YA KATIBA<br />
1. Utawala wa watu<br />
2. Mamlaka <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong><br />
3. Kulinda <strong>Katiba</strong><br />
JAMHURI<br />
4. Ikirari <strong>ya</strong> Jamhuri<br />
5. Eneo<br />
6. Ugatuzi<br />
7. Mji Mkuu wa Ken<strong>ya</strong><br />
8. Upatianaji Huduma<br />
9. Lugha na Njia za Mawasiliano<br />
10. Nchi na Dini<br />
11. Nembo za Kitaifa<br />
12. Siku za Kitaifa<br />
SURA YA PILI<br />
SURA YA TATU<br />
THAMANI ZA KITAIFA, KANUNI NA MALENGO<br />
13. Thamani za Kitaifa, Kanuni na Malengo<br />
SURA YA NNE<br />
URAIA<br />
14. Kauli za Kijumla<br />
15. Kudumisha kwa Uraia Uliopo<br />
16. Kufuata Uraia<br />
17. Urai kwa Kuzaliwa<br />
18. Uraia na Ndoa<br />
19. Uraia kwa Kujiandikisha<br />
20. Watoto wanaopatikana Ken<strong>ya</strong> na watoto wa kupanga<br />
21. Uraia Mara Mbili<br />
22. Kupokonywa Uraia<br />
23. Makao<br />
24. Majukumu <strong>ya</strong> Raia<br />
25. Sheria na uraia<br />
SURA YA TANO<br />
UTAMADUNI<br />
26. Kutambua Utamaduni<br />
27. Jukumu la Serikali kuhusiana na utamaduni<br />
SURA YA SITA<br />
SHERIA YA HAKI<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 1- Vipengele v<strong>ya</strong> jumla kuhusiana na Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
28. Haki na uhuru wa kimsingi<br />
29. Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
30. Utekelezaji wa haki na uhuru wa kimsingi<br />
31. Utekelezaji wa Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
32. Mamlaka <strong>ya</strong> mahakama kudumisha na kutekeleza Sheria <strong>ya</strong> Haki<br />
33. Mipaka <strong>ya</strong> haki na uhuru wa kimsingi<br />
34. Haki na uhuru unaoweza kuwekewa mipaka<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 2- Haki na uhuru wa kimsingi<br />
35. Haki <strong>ya</strong> kuishi<br />
36. Usawa<br />
37. Uhuru dhidi <strong>ya</strong> kubaguliwa<br />
38. Jinsia<br />
39. Wazee katika jamii<br />
40. Vijana<br />
41. Watoto<br />
42. Familia<br />
43. Walemavu<br />
44. Makundi Tengwa<br />
45. Hadhi <strong>ya</strong> kibinadamu<br />
46. Uhuru na usalama wa mtu<br />
47. Utumwa na kazi <strong>ya</strong> kulazimishwa<br />
48. Usiri<br />
49. Uhuru wa dhamiri, dini, imani na maoni<br />
50. Uhuru wa kujieleza<br />
51. Uhuru wa vyombo v<strong>ya</strong> habari<br />
52. Uwezo wa kuafikia habari<br />
53. Uhuru wa kutangamana<br />
54. Mikutano, maandamano, migomo na malalamishi<br />
55. Haki za kisiasa<br />
56. Uhuru wa kutembea na kuishi<br />
57. Wakimbizi na wanaotafuta hifadhi<br />
58. Uhuru wa biashara, kazi na taaluma<br />
59. Ulinzi wa haki <strong>ya</strong> kumiliki mali<br />
60. Mahusiano <strong>ya</strong> kikazi<br />
61. Usalama wa kijamii<br />
62. Af<strong>ya</strong><br />
63. Elimu<br />
64. Makao<br />
65. Chakula<br />
66. Maji<br />
67. Mazingira<br />
68. Lugha na Utamaduni<br />
69. Haki za Watumiaji<br />
70. Hatua <strong>ya</strong> Haki za Kiutawala<br />
71. Uwezo wa kupata haki<br />
72. Haki za Mahabusu<br />
73. Haki katika kusikizwa kwa kesi<br />
74. Haki za walio vizuizini<br />
75. Hali <strong>ya</strong> hatari<br />
76. Tume <strong>ya</strong> Haki na Maswala <strong>ya</strong> Kijinsia<br />
ARDHI NA MALI<br />
77. Kanuni za sera <strong>ya</strong> ardhi<br />
78. Utoaji na uainishaji wa ardhi<br />
79. Ardhi <strong>ya</strong> umma<br />
80. Ardhi <strong>ya</strong> jumuia<br />
81. Ardhi <strong>ya</strong> kibinafsi<br />
82. Umilikaji Ardhi na wasio raia<br />
83. Udhibiti wa matumizi <strong>ya</strong> ardhi<br />
84. Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Ardhi<br />
85. Sheria kuhusu Ardhi<br />
86. Ustawishaji wa makao<br />
SURA YA SABA<br />
SURA YA NANE<br />
MAZINGIRA NA MALI ASILI<br />
87. Kanuni na wajibu kuhusiana na mazingira<br />
88. Utunzaji wa mazingira<br />
89. Hifadhi <strong>ya</strong> mazingira<br />
90. Utekelezaji wa haki kuhusu mazingira<br />
91. Ustawishaji na maendeleo <strong>ya</strong> mali asili<br />
92. Makubaliano kuhusiana na mali asili<br />
93. Sheria kuhusu Mazingira<br />
SURA YA TISA<br />
UONGOZI NA MAADILI<br />
94. Majukumu <strong>ya</strong> uongozi<br />
95. Kiapo <strong>cha</strong> uamnifu<br />
96. Mienendo <strong>ya</strong> maofisa wa Serikali<br />
97. Fedha za maofisa wa Serikali<br />
98. Uzuiaji wa shughuli<br />
99. Tume <strong>ya</strong> Maadili na Kupambana na Ufisadi<br />
100. Wajibu wa kuhakikisha uzingatifu<br />
101. Sheria kuhusu uongozi<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja