Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
36<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
(c) kuwawekea vikwazo walio na kandarasi ambazo hazijafanywa<br />
kulingana na makubalianao <strong>ya</strong> kandarasi, taratibu zinazothibitiwa<br />
kitaaluma, au kwa sheria ; na<br />
(d) kuwawekea vikwazo wale ambao wamekosa kutekeleza wajibu wao<br />
wa kulipa ushuru au wemapatikana na hatia <strong>ya</strong> ufisadi au ukiukaji<br />
mkubwa wa kanuni na sheria za uajiri.<br />
Akaunti na ukaguzi wa hesabu za fedha katika mashirika <strong>ya</strong> umma<br />
262. (1) Katibu mkuu aliye na mamlaka katika wizara na na ofisa <strong>ya</strong> kuhifadhi<br />
akaunti za pesa katika idara au shirika la umma, wana wajibu kwa Bunge<br />
kuhusiana na fedha katika Wizara au idara au shirika la umma.<br />
(2) Akaunti zozote za sarikali na taifa zitakaguliwa na Mkurugenzi mkuu wa<br />
hesabu za serikali;<br />
(3) Akaunti za ofisi <strong>ya</strong> Mthibiti Bajeti na za Mkaguzi Mkuu wa hesabu<br />
za serikali zitakaguliwa na ripoti kutolewa na mhasibu aliyehitimu na<br />
aliye<strong>cha</strong>guiwa na Bunge<br />
(4) Iwapo, akiwa katika ofisi <strong>ya</strong> umma, ikiwa ni pamoja na ofisi za kisiasa,mtu<br />
anaelekeza na kuidhinisha matumizi <strong>ya</strong> fedha kinyume na sheria kanuni<br />
au maagizo,mtu huyo anahusika na kupotea hasara yoyote kutokana na<br />
matumizi na anawajibika kulipia hasara hiyo ikiwa ataendelea kuwa ofinisi au<br />
la.<br />
(5) Sheria <strong>ya</strong> Bunge itatoa kanuni za kuhifadhi rekodi za ukaguzi wa akaunti<br />
za maendeleo <strong>ya</strong> Serikali ambazo zimeidhinishwa na kueleza hatua nyingine<br />
za kuhifadhi ufanisi, uwazi na usimamizi wa fedha za serikali.<br />
Udhibiti wa hazina<br />
263 (1) Sheria <strong>ya</strong> bunge itabainisha taasisi <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> taifa ambayo itajulikana<br />
kama hazina na kubuni taratibu za kuhakikisha uwazi na udhibiti wa matumizi<br />
katika kila kiwango <strong>cha</strong> serikali.<br />
(2) kwa kukubaliana na waziri wa fedha, inaweza kusimamisha uhamishaji wa<br />
fedha kwa taasisi <strong>ya</strong> taifa ama shirika lingine la umma kwa kufan<strong>ya</strong> kosa ba<strong>ya</strong>,<br />
ama kurudia kosa hilo mara kadhaa, katika taratibu zilizowekwa kulingana na<br />
ibara <strong>cha</strong> (1)<br />
(3) Uamuzi wa kusimamisha uhamishaji wa fedha uliochukuliwa kulingana na<br />
ibara <strong>ya</strong> (2) huenda usisimamishe kuhamishwa kwa zaidi <strong>ya</strong> asilimia hamsini<br />
<strong>ya</strong> fedha zilizotengewa maendeleo yoyote <strong>ya</strong> serikali.<br />
(4) Uamuzi wa kusimamisha kuhamishwa kwa fedha uliochukuliwa kulingana<br />
na ibara <strong>ya</strong> (2)<br />
a) hakutasimamisha uhamishaji wa fedha kwa zaidi <strong>ya</strong> siku sitini; na<br />
b) kunaweza kuanza kutekelezwa mara moja, lakini kutasitishwa pole<br />
pole, isipokuwa katika siku thelathini baada <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> uamuzi Bunge<br />
liidhinishe kwa uamuzi uliopitishwa ba bunge zote mbili.<br />
(5) Bunge linaweza kuanisha tena uamuzi kusimamisha uhamishaji wa fedha<br />
kwa muda wa siku zaidi <strong>ya</strong> siku sitini kwa wakati mmoja.<br />
(6) Kabla <strong>ya</strong> bunge kuidhinisha kuanisha tena uamuzi wa kusimamisha<br />
uhamishaji wa fedhaa)<br />
Mdhibiti wa bajeti atawasilisha ripoti kwa bunge; na<br />
b) serikali gatuliwa inayoathiriwa, taasisi <strong>ya</strong> serikali au shirika la umma<br />
litafahamishwa kuhusu kosa na kupewa nafasi <strong>ya</strong> kujitetea dhidi<br />
<strong>ya</strong> madai hayo, na kueleza msimamo wake kwa kamati <strong>ya</strong> bunge<br />
inayohusika.<br />
Mdhibiti Bajeti<br />
264. (1) Kutakuwa na mdhibiti bajeti ambaye atateuliwa na Rais wa taifa kwa<br />
idhini <strong>ya</strong> bunge.<br />
(2) Kuteuliwa kama mdhibiti bajeti mtu atakuwa –<br />
a) mhasibu aliyetaalamika kwa miaka isiyopungua kumi na aliye na<br />
tajriba katika usimamizi wa fedha za umma; na<br />
b) mtu mwaminifu na mwadilifu<br />
3) Mdhibiti bajeti atakuwa mamlakani kwa kipindi <strong>cha</strong> miaka mitano na<br />
anaweza kuteuliwa tena, iwapo atafaulu, kwa kipindi kingine kimoja <strong>cha</strong><br />
mwisho.<br />
4) Mdhibiti bajeti atasimamia utekelezaji wa bajeti kama ilivyoidhinishwa na<br />
viwango v<strong>ya</strong> serikali kwaa)<br />
Kuhakikisha kwamba pesa zinatumika kulingana mgao ama ikiwa pesa<br />
zimetolewa kwa hazina dharura kwa mujibu wa sheria <strong>ya</strong> bunge kama<br />
inavyoelezwa katika kifungu 252;<br />
b) Kutoa mahesabu yenyewe, badala <strong>ya</strong> bajeti iliyota<strong>ya</strong>rishwa; na<br />
c) Kufan<strong>ya</strong> kazi kwa karibu na hazina, Idara na Wizara.<br />
5) Katika kipindi <strong>cha</strong> miezi miwili, baada <strong>ya</strong> kumalizika kwa kila mwaka wa<br />
kifedha, mdhibiti bajeti atawasilisha kwa Bunge ripoti kuhusu shughuli za ofisi<br />
<strong>ya</strong> Mdhibiti Bajeti katika mwaka huo wa kifedha.<br />
6) katika kipindi <strong>cha</strong> miezi mitatu, baada <strong>ya</strong> kuwasilisha ripoti kulinaga na<br />
ibara <strong>ya</strong> (5) Bunge litajadili na kuitathmini ripoti na kuchukua hatua inayofaa.<br />
7) Katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi, Mdhibiti Bajeti hataelekezwa au<br />
kudhibitiwa na mtu au mamlaka yoyote.<br />
8) Mshahara na marupurupu <strong>ya</strong> Mdhibiti Bajeti <strong>ya</strong>tatolewa kwa Hazina <strong>ya</strong><br />
Pamoja.<br />
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
265. (1) Kutakuwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ambaye atateuliwa na<br />
Rais wa Taifa na kuidhinishwa na Bunge.<br />
(2) Ili kuteuliwa kama Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali mtu atakuwaa)<br />
mhasibu aliyetaalamika kwa miaka isiyopungua kumi na aliye na<br />
tajriba katika usimamizi wa fedha za umma; ukaguzi na usimamizi wa<br />
fedha za umma; na<br />
b) mtu mwaminifu na mwadilifu<br />
(3) Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali mamlakani kwa kipindi <strong>cha</strong> miaka<br />
mitano na anaweza kuteuliwa tena, iwapo atafaulu, kwa kipindi kingine<br />
kimoja <strong>cha</strong> mwisho.<br />
(4) Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikalia)<br />
Atakagua akaunti za serikali <strong>ya</strong> taifa na serikali iliyogatuliwa na<br />
mashirika <strong>ya</strong> serikali.<br />
b) Kudhibitisha kwamba mgao wa pesa zote uliotolewa na Bunge au<br />
zilizotolewa na kiwago chochote <strong>cha</strong> serikali na kutolewa zimetumiwa<br />
kwa lengo lililokusudiwa, na kwamba matumizi <strong>ya</strong>talingana na mamlaka<br />
inayosimamia na kuwa utumiaji pesa ulikuwa wa njia inayofaa na sawa;<br />
na<br />
c) Katika kipindi <strong>cha</strong> miezi sita baada <strong>ya</strong> kumalizika kwa mwaka wa<br />
kifedha kukagua na kuripoti kwa mujibu wa mwaka huo wa fedha<br />
kuhusu-<br />
(i) akaunti za umma za kitaifa na za viwango serikali zilizogatuliwa<br />
ii) akaunti zote za hazina na mamlaka za serikali za kitaifa na viwango<br />
mbali mbali v<strong>ya</strong> serikali iliyogatuliwa.<br />
iii) Akaunti za mahakama<br />
iv) akaunti za kila tume iliyobuniwa na <strong>Katiba</strong> hii na kamishna wa<br />
v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa.<br />
v) akaunti za bunge na Seneti<br />
vi) akaunti za v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa vinavyopata msaada kutoka kwa<br />
fedha za umma.<br />
vii) Kaunti za mashirika mengine <strong>ya</strong>nayopata msaada kutoka fedha<br />
za umma; na<br />
viii) deni la umma<br />
(5) katika kipindi <strong>cha</strong> miezi mitatu baada <strong>ya</strong> kuwasilishwa kwa ripoti<br />
kwa mujibu wa ibara (4) (c) Bunge litajadili, na kutathmini ripoti hizi<br />
na kuchukua hatua zinazofaa.<br />
(6) Sheria <strong>ya</strong> Bunge itatoa mwongozo kuhusu uwekaji wa rekodi na<br />
kukagua akaunti za serikali iliyogatuliwa na kueleza hatua nyingine<br />
kufikia usimamizi wa fedha ulio wazi na unaofaa.<br />
(7) katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi, mkaguzi Mkuu wa Hesabu za<br />
Serikali, hataelekezwa au kudhibitiwa na mtu au mamlaka yoyote.<br />
(8) Mshahara na marupurupu <strong>ya</strong> Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
utatoka kwa Hazina <strong>ya</strong> Pamoja.<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 7- Taasisi<br />
Mamlaka <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Ushuru<br />
266. (1)Kunaundwa Mamlaka <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Ushuru.<br />
(2) Mamlaka <strong>ya</strong>tajumuisha atu wafuatao walioteuliwa na rais wa taifaa)<br />
mwenyekiti<br />
b) Mteuliwa mmoja kutoka kila baraza la eneo.<br />
c) watu wawili wanaowakilisha serikali za mitaa walio<strong>cha</strong>guliwa kwa<br />
mujibu wa sheria <strong>ya</strong> Bunge.<br />
d) Watu wawili walioteuliwa na Bunge.<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja