Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
26<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
Maamuzi, majukumu na kuwajibika kwa Baraza la Mawaziri<br />
187. (1) Barasa la Mwaziri litakutana agalau mara moja kwa mwezi.<br />
(2) Idadi inayotakikana kwa Baraza la mawaziri itakuwa nusu <strong>ya</strong> Baraza lote la<br />
Mawaziri.<br />
(3) Uamuzi wa Barasa la Mawaziri utakuwa katika maandishi na<br />
utawasilishwa haraka kwa Rais wa Taifa.<br />
(4) Uamuzi wa Baraza la Mawaziri hautakuwa halali na hautatekelezwa<br />
isipokuwa uwe umetiwa saini na Waziri Mkuu.<br />
(5) Baraza la Mawaziri linawajibika kwa pamoja na Mawaziri kuwajibikia Bunge<br />
kibinafsi-<br />
(a) Kutumia mamlaka <strong>ya</strong>o na utendaji wa majukumu <strong>ya</strong>o; na<br />
(b) Utekelezaji na usimamizi wa sheria zinazowahusu.<br />
(6) Waziri atahudhuria Bunge, kamati za Bunge, anaapohitajika kufan<strong>ya</strong><br />
hivyo,na atajibu maswali yote kuhusu suala lililogawiwa Waziri.<br />
(7) Waziriwa katika Baraza la Mawaziri atato kwa Bunge ripoti kamili na za<br />
mara kwa mara kuhusu maswala <strong>ya</strong>liyo chini <strong>ya</strong> uthibiti wao.<br />
Raisi wa Taifa kufahamishwa kwa ukamilifu kuhusu mienendo <strong>ya</strong> Serikali<br />
188. Waziri Mkuu atakuwa akimfahamisha mara kwa mara na kwa ukamilifu Rais<br />
wa Taifa kuhusu jumla <strong>ya</strong> mienendo <strong>ya</strong> Serikali na atampasha Rais waTaifa<br />
habari zozote ambazo Rais wa Taifa ataomba kutokana na masuala<br />
<strong>ya</strong>nayohusu serikali.<br />
Kugawa majukumu<br />
189. (1) Kwa kiasi <strong>cha</strong> kutoambatana na Sheria za Bunge , Waziri Mkuu atagawa<br />
majukumu <strong>ya</strong> kutekeleza na kusimsamia Sheria yoyote <strong>ya</strong> Bunge kwaa)<br />
Naibu Waziri Mkuu;au<br />
b) Waziri katika Baraza la Mwaziri;<br />
c) Naibu wa Waziri.<br />
(2) kwa kiasi ambacho si <strong>cha</strong> kutoambatana na Shera za Bunge,Waziri Mkuu<br />
anaweza kuhamisha jukumu la kutekeleza na kusimamia Sheria yoyote <strong>ya</strong> Bunge<br />
kutoka kwa mmoja wa Mawaziri katika Baraza la Mawaziri hadi kwa mwingine.<br />
(3) Waziri Mkuu anaweza kugawia Naibu wa Waziri Mkuu, Waziri au Naibu Waziri<br />
mamlaka au jukumu la Waziri mwingine katika Baraza la Mawaziri, au Naibu<br />
mwingine wa Waziri ambaye hana wajibu au hawezi kutumia kwa muda mfupi<br />
mamlaka hayo kutenda jukumu hilo, lakini Waziri Mkuu hatatawagawia Rais na<br />
Naibu Rais wa Taifa mamlaka na majukumu.<br />
(4) Uamuzi wa Waziri Mkuu chini <strong>ya</strong> Ibara(2) na (3) uta<strong>cha</strong>pishwa kwenye Gazeti<br />
rasmi la serikali.<br />
(5) Waziri Mkuu anaweza kumwalika mti yeyote kwa mkutanao wa Baraza la<br />
Mawaziri iwapo kwa maoni <strong>ya</strong>ke suala fulani limetokea au lina uwezekano wa kutokea<br />
katika mkutanao huo ambalo linahitaji kuhudhuria au kushiriki kwa mtu huyo.<br />
(6) Mtu yeyote ambaye amealikwa katika ibara (5) atafungwa na taratibu na<br />
sheria za Baraza la mawaziri lakini hawaruhusuwi kupiga kura kwa suala lolote<br />
katika katika mkutano huo.<br />
Katibu wa Baraza la Mawaziri<br />
190 (1). Kuna ofisi teule <strong>ya</strong> Katibu wa Baraza la Mawaziri<br />
(2) Ofisi <strong>ya</strong> Katibu wa Baraza la Mawaziri itakuwa ofisi katika utumishi wa umma.<br />
(3) katibu wa Baraza la Mawaziri-<br />
(a) atateuliwa na Rais wa Taifa kwa ushauri wa Waziri<br />
Mkuu; na<br />
(b) ataachizwa kazi na Rais wa Taifa kwa ushauri wa Waziri Mkuu.<br />
(4) Katibu katika Baraza la Mawaziri-<br />
(a) Kiongozi wa ofisi <strong>ya</strong> Baraza la Mwaziri;<br />
(b) Kuwajibika kulingana na maelekezo <strong>ya</strong> Baraza la Mawaziri, kwa<br />
kupanga shughuli za Baraza la Mawaziri na kuweka kumbukumbu <strong>ya</strong><br />
mikutano <strong>ya</strong> Baraza la Mawaziri;<br />
(c) Kupeleka uamuzi wa Baraza la Mawaziri kwa watu au mamlaka<br />
<strong>ya</strong>nayofaa; na<br />
(d) Awe na majukumu kama ikavyoagizwa na Baraza la Mwaziri.<br />
(5) Katibu wa Baraza la Mawaziri anaweza kujiuzulu kwa kutoa notisi kwa<br />
maandishi kwa Rais wa Taifa kupitia kwa Waziri Mkuu, na notisi itaanza<br />
kutekelezwa ikipokelewa na Rais wa Taifa.<br />
(6) serikali mp<strong>ya</strong> ikishika mamlaka, yule aliye mamlakani kama Katibu wa Baraza la<br />
Mawaziri hatakuwa na mamlaka tena lakini anaweza kuteuliwa kwa mra nyingine.<br />
Uteuzi na kuachizwa kazi kwa Makatibu Vinara<br />
191. (1) Kuna ofisi <strong>ya</strong> buniwa <strong>ya</strong> Katibu Kinara ambayo ni ofisi katika utumishi wa<br />
umma.<br />
(2) Kila Wizara itakuwa chini <strong>ya</strong> usimamizi wa Katibu Kinara.<br />
Uteuzi na kuachishwa kazi kwa Makatibu Vinara<br />
192. Katibu Kinara-<br />
(a) atapendekezwa na tume <strong>ya</strong> Utumishi kwa umma na kuteuliwa na<br />
Rais waTaifa;<br />
(b) ataachishwa kazi na Rais waTaifa kwa ushauri wa Waziri Mkuu;<br />
(c) Anaweza kustaafu kwa kutoa notisi kwa Rais wa Taifa kupitia kwa Waziri<br />
Mkuu.<br />
SEHEMU YA 4- OFISI NYINGINE<br />
Mwanasheria Mkuu<br />
193. (1) Kuna ufisi buniwa <strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu<br />
(2) Mwanasheria Mkuu atateuliwa na Rais wa Taifa na kuidhinishwa na<br />
Bunge.<br />
(3) Sifa za kuteuliwa kama kama Mwanasheria Mkuu ni sawa na za uteuzi kwa<br />
ofisi <strong>ya</strong> Jaji Mkuu.<br />
(4) Mwanasheria Mkuu atakuwa mshauri mkuu wa kisheria kwa Serikali <strong>ya</strong><br />
taifa na atawajibika kwa –<br />
(a) kuandika, kupitia na kuidhinisha pendekezo (vinginevyo) la kama<br />
makubaliano, mikataba na maazimio na hati kwa jina lolote, ambayo<br />
serikali ni mshiriki au pale serikali inapendelea kama inavyoelezewa katika<br />
Sheria.<br />
(b) kuwakilisha serikali <strong>ya</strong> taifa mahakamani au au kasi nyingine za kisheria<br />
zile ambazo serikali inahusika, isipokuwa kesi za uhalifu; na<br />
(c) kuandika sheria ,ikihusisha, sheri ndogo za serikali <strong>ya</strong> kitaifa.<br />
(5) Mwanasheria Mkuu atakuwa na mamlaka, kwa ruhusa <strong>ya</strong> mahakama , kuwa<br />
kama rafiki wa mahakama katika kesi za umma zile ambazo serikali si mhusika.<br />
(6) Mwanasheria Mkuu atakuza, kuhifadhi na kufuata sheria, na kulinda maslahi<br />
<strong>ya</strong> Jamhuri.<br />
(7) Mamlaka <strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu <strong>ya</strong>naweza kutekelezwa na yeye mwenyewe au<br />
na wasaidizi katika ofisi <strong>ya</strong>ke akitekeleza kulingana na maagizo maalum <strong>ya</strong> jumla.<br />
(8) Mwanashera Mkuu hatakuwa chini <strong>ya</strong> maelekezo au uthibiti wa wa mtu yeyote<br />
au mamlaka yoyote katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu.<br />
(9) Mwanasheria Mkuu atahudumu kwa kipindi <strong>cha</strong> miaka sita na hatoweza<br />
kuteuliwa tena.<br />
Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> Umma<br />
194. (1) Kuna ofisi buniwa <strong>ya</strong> Mkurugenzi wa mashtaka <strong>ya</strong> umma<br />
(2) Mkurugenzi wa mashtaka <strong>ya</strong> umma atateuliwa na Rais wa Taifa na<br />
kuidhinishwa na Bunge.<br />
(3) Sifa za uteuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> umma zitakuwa sawa zile za<br />
uteuzi wa Jaji wa Mahakama Kuu.<br />
(4) Mkurugenzi wa mashtaka <strong>ya</strong> umma atakuwa na mamlaka <strong>ya</strong> kumwagiza<br />
Mkaguzi Mkuu wa Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> kuchunguza habari yoyote au<br />
madai <strong>ya</strong> vitendo v<strong>ya</strong> uhalifu.<br />
(5) Mkurugenzi wa mashtaka <strong>ya</strong> umma atatekeleza mamlaka <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />
kuongoza mashtaka na anaweza-<br />
(a) Kuanzisha na kuendeleza mashtaka <strong>ya</strong> kesi za uhalifu dhidi <strong>ya</strong> mtu<br />
yeyote katika mahakama yoyote (isipokuwa mahakama za jeshi) kutokana<br />
na kosa linalotuhumiwa kuwa limefanywa;<br />
(b) Kuchukua na kuendeleza kesi zozote <strong>ya</strong> uhalifu zilizoanzishwa katika<br />
mahakama yoyote ( isipokuwa katika mahakama za jeshi) zilizoanzishwa<br />
na kuendelezwa na mtu mwingine au mamlaka; na<br />
(c) Kwa kutegemea Ibara (8), kukomesha katika hatua yoyote, kabla <strong>ya</strong><br />
hukumu kutolewa, kesi yoyote <strong>ya</strong> uhalifu iliyoanzishwa na Mkurugenzi<br />
wa Mashtaka <strong>ya</strong> umma au kuchukuliwa na Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong><br />
umma kulingana na a<strong>ya</strong> (b)<br />
(6) Pale ambapo kukokomeshwa kwa kesi kunakorejelewa katika ibara (5)(<br />
c) kunapotekelezwa baada <strong>ya</strong> mshitakiwa kukamilisha kutoa utetezi wake ,<br />
mshitakiwa ataaachiliwa huru.<br />
(7) Bunge linaweza kwa sheria za Bunge kumkabidhi uwezo wa kushitaki mamlaka<br />
nyingine isipokuwa Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> umma.<br />
(8) Mkurugenzi wa mashtaka <strong>ya</strong> umma hawezi kukomesha kesi bila idhini <strong>ya</strong> Mahakama.<br />
(9) Mamalaka <strong>ya</strong> Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong>naweza kutekelezwa na Mkurugenzi<br />
bmwenyewe au maofisa wasaidizi wakitekeleza kulingana maagizo maalum au <strong>ya</strong> jumla.<br />
(10) Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> umma hatahitaji adhini <strong>ya</strong> mtu au mamalaka<br />
yoyote kuanzisha kesi za uhalifu, na kutekeleza mamalaka au majukumu <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja