Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
51<br />
kimataifa kuhusiana na uhuru wa idara <strong>ya</strong> mahakama.<br />
(6)Katika kushughulikia kila jaji, Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama<br />
itazingatia malalamiko yoyote ambayo ha<strong>ya</strong>jashughulikiwa kuhusiana na<br />
jaji yeyote katika siku <strong>ya</strong> kuanza kutekeleza <strong>Katiba</strong> hii kabla <strong>ya</strong> mambo<br />
<strong>ya</strong>fuatayo—<br />
(a) Tume <strong>ya</strong> Kupambana na Ufisadi;<br />
(b) Tume kuhusu Malalamiko <strong>ya</strong> Mawakili ama Kamati <strong>ya</strong> Nidhamu <strong>ya</strong><br />
Mawakili<br />
(c) Tume <strong>ya</strong> kudumu kuhusu Malalamiko <strong>ya</strong> Umma;<br />
(d) Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama; na<br />
(e) Ofisi <strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu.<br />
(7) Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itashughulikia kesi zifuatazo<br />
kulingana na uzito wake—<br />
(a) Majaji wa mahakama <strong>ya</strong> rufani kulingana na cheo ;<br />
(b) Majaji kumi wa Mahakama Kuu kila mara, kulingana na cheo.<br />
(8) Kila mara, baada <strong>ya</strong> mwanzoni kumsikiliza kila jaji Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong><br />
Huduma za Mahakama itakuwa na maoni kuwa kuna sababu za kuamini<br />
kuwa jaji huyo ni anaweza kuwa asiyefaa kuhudumu kama jaji, Tume <strong>ya</strong> muda<br />
<strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itamhitaji jaji anayehusika kwenda kwa likizo akiwa<br />
analipwa mshahara wake kama kawaida huku akisubiri kukamilishwa kwa<br />
uchuguzi kuhusiana na kesi <strong>ya</strong>ke<br />
(9) Wakati ambapo malalamiko ama jambo fulani kumhusu jaji<br />
limeshughulikiwa na kumamilishwa na kufikiwa uamuzi kuwa mtu<br />
anayehusika hafai kuwa jaji, Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama<br />
itaweza kumjulisha jaji huyo kwa kumwandikia na kumweleza hivyo na kutoka<br />
siku <strong>ya</strong> barua hiyo, jaji huyo atachukuliwa kuwa ameachishwa kazi.<br />
(10) Katika wakati wowote wa kuchunguza majaji, ikiwa Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong><br />
Huduma za Mahakama itamfikiria jaji kufaa kuendelea na kazi, itatangaza<br />
hivyo na jaji huyo ataendelea na majukumu <strong>ya</strong> ofisi kama kwamba<br />
ameteuliwa katika <strong>Katiba</strong> hii.<br />
(11) Nafasi zitakazoachwa kutokana na shughuli hii na zile zinazotokana na<br />
utekelezaji wa vipengele v<strong>ya</strong> Sura <strong>ya</strong> Kumi na Tatu zitajazwa baada <strong>ya</strong> Tume<br />
mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama imeteuliwa kama inavyofafanuliwa katika<br />
<strong>Katiba</strong> hii.<br />
(12) Isipokuwa muhula wake uongezwe kwa kauli <strong>ya</strong> Bunge, Tume <strong>ya</strong> Muda<br />
<strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itavujwa baada <strong>ya</strong> mwaka mmoja kuanzia siku<br />
ilipoanza kazi.<br />
(13) Kuunda na kuteuliwa kwa majaji kwa mahakama yenye Mamlaka Kuu na<br />
Mahakama <strong>ya</strong> Kikatiba kutashughulikiwa katika mwaka mmoja kuanzia siku<br />
<strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii.<br />
Vikao v<strong>ya</strong> mahakama na masuala ambayo ha<strong>ya</strong>jakamilishwa<br />
16. Isipokuwa kama imeelezwa katika <strong>Katiba</strong> hii, vikao vyote v<strong>ya</strong> mahakama<br />
ambavyo havijakamilishwa mahakamani vitaendelea kusikizwa na kuamuliwa na<br />
mahakama hiyo hiyo ama mahakama nyingine kama hiyo iliyobuniwa na <strong>Katiba</strong><br />
hii ama kama ilivyoelekezwa na Jaji Mkuu ama Msajili wa Mahakama Kuu.<br />
Kuwachunguza maafisa wa Mahakama<br />
17. (1) Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itatekeleza uchunguzi wa kwa maafisa<br />
wote wa mahakama.<br />
(2) Katika kuwachunguza maafisa wote wa mahakama kulingana na sehemu<br />
ndogo (1) sehemu 15 itatekelezwa pamoja na mabadiliko <strong>ya</strong>nayofaa.<br />
Tume za Kikatiba<br />
18. (1) Tume <strong>ya</strong> Maadili na Kupambana na Ufisadi na Tume kuhusu Utekelezaji<br />
wa <strong>Katiba</strong> itaundwa kati <strong>ya</strong> siku tisini kuanzia siku <strong>ya</strong> kuanza kutekelezwa kwa<br />
<strong>Katiba</strong> hii.<br />
(2) Katika miezi tisa <strong>ya</strong> kuteuliwa kwa Tume <strong>ya</strong> Maadili na Uadilifu na Tume<br />
kuhusu Utekelezaji wa <strong>Katiba</strong>, Tume zifuatazo zitateuliwa kulingana na<br />
umuhimu wake—<br />
(a) tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama;<br />
(b) tume <strong>ya</strong> Ugawaji wa Mapato ;<br />
(c) tume <strong>ya</strong> Huduma za Polisi;<br />
(d) tume <strong>ya</strong> Utumishi wa Umma;<br />
(e) tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia;<br />
(f) tume <strong>ya</strong> Mishahara;<br />
(g) tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Ardhi;<br />
(h) Tume <strong>ya</strong> Kuwaajiri Walimu.<br />
mahakama yenye Mamlaka Kuu ama Mahakama <strong>ya</strong> Kikatiba<br />
Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia<br />
20. (1) Makamishna wa Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia wakiteuliwa<br />
chini <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia, inaanza siku <strong>ya</strong> kuanza<br />
kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hiii na makamishna wa Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Jinsia<br />
na Maendeleo watakuwa makamishna wa Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia<br />
kwa wakati muda wao wa kuhudumu hautakuwa umeisha lakini kila kamishana<br />
atahifadhi masharti <strong>ya</strong> kazi kuanzia siku <strong>ya</strong> kuanzia kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii.<br />
(2) Mwenyekiti wa Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Haki za Kibinadamu na Jinsia<br />
atakuwa mwenyekiti wa Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia kwa muda<br />
wake wa kuhudumu uliosalia.<br />
Tume Huru <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka<br />
21. Tume Huru <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka ikibuniwa katika <strong>Katiba</strong> iliyoko<br />
kabla <strong>ya</strong> kuanza kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii itaendelea kwa kipindi <strong>cha</strong> miezi<br />
ishirini na minne tangu siku <strong>ya</strong> kuteuliwa kwa makamishna wao katika <strong>Katiba</strong><br />
iliyoko kuanzia siku <strong>ya</strong> kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii, isipokuwa kipindi hicho<br />
kiongezwe na Bunge, na Tume Huru <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka itateuliwa<br />
kwa <strong>Katiba</strong> hii kabla <strong>ya</strong> kuisha kwa kpindi hicho<br />
Tume <strong>ya</strong> Uadilifu na Kupambana dhidi <strong>ya</strong> Ufisadi<br />
22. Mkurugenzi wa Tume <strong>ya</strong> Kupambana na Ufisadi yuko ofisini kulingana na<br />
sheria <strong>ya</strong> Tume <strong>ya</strong> Kupambana na Ufisadi na Makosa <strong>ya</strong> Kiuchumi kuanzia siku<br />
<strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii ataendelea na wajibu wake kwa kipindi <strong>cha</strong>ke<br />
ambacho kimebaki.<br />
Ukiukaji wa haki za kibinadamu wa siku za nyuma<br />
23. Bunge linaweza, katika miezi sita <strong>ya</strong> kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii kwa sheria<br />
itawezesha Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia ama taasisi yoyote nyingine<br />
iliyobuniwa na Bunge—<br />
(a) Kuchunguza aina zote za ukiukaji wa haki za kibinadamu<br />
kulikofanywa na yeyote ama kundi kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong><br />
hii.<br />
(b) Kuchunguza <strong>cha</strong>nzo <strong>cha</strong> migogoro kati <strong>ya</strong> raia pamoja na mauaji<br />
<strong>ya</strong> halaiki, mapigano <strong>ya</strong> kikabila na mauaji <strong>ya</strong> kisiasa na kuwatambua<br />
waliohusika; na<br />
(c) Toa mapendekezo kuhusu –<br />
(i) Kushtakiwa kwa wale wanaohusika;<br />
(ii) Kuwalipa fidia waathiriwa;<br />
(iii) Maridhiano; na<br />
(iv) kulipa fidia.<br />
Umiliki wa Ardhi<br />
24. (1) Siku <strong>ya</strong> kuanza kutumika <strong>Katiba</strong> hii, yeyote anayetaka ardhi yenye<br />
mkataba wa kupangisha ulio zaidi <strong>ya</strong> miaka tisini na tisa, ikiwa itatolewa na<br />
yeyote yule likiwa limemilikiwa na mtu asiye raia utarudishwa na kuwa wenye<br />
miaka tisini na tisa, isipokuwa ibatilishwe vinginevyo.<br />
(2) Hadi jamii zitakapotambuliwa na hati zao kuandikishwa, mashamba <strong>ya</strong><br />
kijamii <strong>ya</strong>tahifadhiwa na Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Ardhi kwa niaba <strong>ya</strong> jamii<br />
mbali mbali.<br />
(3) Katika hali ambapo wakati wa kuanza kutumika <strong>Katiba</strong> hii, mtu yeyote<br />
ambaye si raia wa Ken<strong>ya</strong> alimliki ardhi isiyo na masharti nchini Ken<strong>ya</strong>, haki<br />
hiyo <strong>ya</strong>ke itarejeshwa kwa Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ili kuhifadhi kwa niaba <strong>ya</strong> raia wa<br />
Ken<strong>ya</strong> na taifa litampa mtu huyo haki baadala <strong>ya</strong> kiwango <strong>cha</strong> chini na kulipa<br />
kodi kwa mkataba wa kupangisha usiozidi miaka tisini na tisa.<br />
Mafunzo <strong>ya</strong> Umma<br />
25.Kuanzia siku <strong>ya</strong> utekelezaji wa <strong>Katiba</strong> hii, Serikali kupitia kwa taasisi husika,<br />
itatekeleza mafunzo kwa umma kuhusu <strong>Katiba</strong> hii kwa raia wa Ken<strong>ya</strong> katika<br />
lugha za taifa na lugha za kiasili.<br />
Fedha<br />
26. Hakuna chochote katiba mp<strong>ya</strong>.<br />
Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama<br />
19. Kuundwa kwa Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama kutafanywa katika siku<br />
sitini tangu siku <strong>ya</strong> utekelezaji wa <strong>Katiba</strong> hii na Tume itachukuliwa kuwa<br />
iliyoundwa sawa kulingana na <strong>Katiba</strong> hii ingawa kunaweza kuwa na nafasi katika<br />
uana<strong>cha</strong>ma wake kwa sababu huenda uteuzi usiwe umefanywa na majaji wa<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja