04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

51<br />

kimataifa kuhusiana na uhuru wa idara <strong>ya</strong> mahakama.<br />

(6)Katika kushughulikia kila jaji, Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama<br />

itazingatia malalamiko yoyote ambayo ha<strong>ya</strong>jashughulikiwa kuhusiana na<br />

jaji yeyote katika siku <strong>ya</strong> kuanza kutekeleza <strong>Katiba</strong> hii kabla <strong>ya</strong> mambo<br />

<strong>ya</strong>fuatayo—<br />

(a) Tume <strong>ya</strong> Kupambana na Ufisadi;<br />

(b) Tume kuhusu Malalamiko <strong>ya</strong> Mawakili ama Kamati <strong>ya</strong> Nidhamu <strong>ya</strong><br />

Mawakili<br />

(c) Tume <strong>ya</strong> kudumu kuhusu Malalamiko <strong>ya</strong> Umma;<br />

(d) Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama; na<br />

(e) Ofisi <strong>ya</strong> Mwanasheria Mkuu.<br />

(7) Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itashughulikia kesi zifuatazo<br />

kulingana na uzito wake—<br />

(a) Majaji wa mahakama <strong>ya</strong> rufani kulingana na cheo ;<br />

(b) Majaji kumi wa Mahakama Kuu kila mara, kulingana na cheo.<br />

(8) Kila mara, baada <strong>ya</strong> mwanzoni kumsikiliza kila jaji Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong><br />

Huduma za Mahakama itakuwa na maoni kuwa kuna sababu za kuamini<br />

kuwa jaji huyo ni anaweza kuwa asiyefaa kuhudumu kama jaji, Tume <strong>ya</strong> muda<br />

<strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itamhitaji jaji anayehusika kwenda kwa likizo akiwa<br />

analipwa mshahara wake kama kawaida huku akisubiri kukamilishwa kwa<br />

uchuguzi kuhusiana na kesi <strong>ya</strong>ke<br />

(9) Wakati ambapo malalamiko ama jambo fulani kumhusu jaji<br />

limeshughulikiwa na kumamilishwa na kufikiwa uamuzi kuwa mtu<br />

anayehusika hafai kuwa jaji, Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama<br />

itaweza kumjulisha jaji huyo kwa kumwandikia na kumweleza hivyo na kutoka<br />

siku <strong>ya</strong> barua hiyo, jaji huyo atachukuliwa kuwa ameachishwa kazi.<br />

(10) Katika wakati wowote wa kuchunguza majaji, ikiwa Tume <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong><br />

Huduma za Mahakama itamfikiria jaji kufaa kuendelea na kazi, itatangaza<br />

hivyo na jaji huyo ataendelea na majukumu <strong>ya</strong> ofisi kama kwamba<br />

ameteuliwa katika <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(11) Nafasi zitakazoachwa kutokana na shughuli hii na zile zinazotokana na<br />

utekelezaji wa vipengele v<strong>ya</strong> Sura <strong>ya</strong> Kumi na Tatu zitajazwa baada <strong>ya</strong> Tume<br />

mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama imeteuliwa kama inavyofafanuliwa katika<br />

<strong>Katiba</strong> hii.<br />

(12) Isipokuwa muhula wake uongezwe kwa kauli <strong>ya</strong> Bunge, Tume <strong>ya</strong> Muda<br />

<strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itavujwa baada <strong>ya</strong> mwaka mmoja kuanzia siku<br />

ilipoanza kazi.<br />

(13) Kuunda na kuteuliwa kwa majaji kwa mahakama yenye Mamlaka Kuu na<br />

Mahakama <strong>ya</strong> Kikatiba kutashughulikiwa katika mwaka mmoja kuanzia siku<br />

<strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii.<br />

Vikao v<strong>ya</strong> mahakama na masuala ambayo ha<strong>ya</strong>jakamilishwa<br />

16. Isipokuwa kama imeelezwa katika <strong>Katiba</strong> hii, vikao vyote v<strong>ya</strong> mahakama<br />

ambavyo havijakamilishwa mahakamani vitaendelea kusikizwa na kuamuliwa na<br />

mahakama hiyo hiyo ama mahakama nyingine kama hiyo iliyobuniwa na <strong>Katiba</strong><br />

hii ama kama ilivyoelekezwa na Jaji Mkuu ama Msajili wa Mahakama Kuu.<br />

Kuwachunguza maafisa wa Mahakama<br />

17. (1) Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama itatekeleza uchunguzi wa kwa maafisa<br />

wote wa mahakama.<br />

(2) Katika kuwachunguza maafisa wote wa mahakama kulingana na sehemu<br />

ndogo (1) sehemu 15 itatekelezwa pamoja na mabadiliko <strong>ya</strong>nayofaa.<br />

Tume za Kikatiba<br />

18. (1) Tume <strong>ya</strong> Maadili na Kupambana na Ufisadi na Tume kuhusu Utekelezaji<br />

wa <strong>Katiba</strong> itaundwa kati <strong>ya</strong> siku tisini kuanzia siku <strong>ya</strong> kuanza kutekelezwa kwa<br />

<strong>Katiba</strong> hii.<br />

(2) Katika miezi tisa <strong>ya</strong> kuteuliwa kwa Tume <strong>ya</strong> Maadili na Uadilifu na Tume<br />

kuhusu Utekelezaji wa <strong>Katiba</strong>, Tume zifuatazo zitateuliwa kulingana na<br />

umuhimu wake—<br />

(a) tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama;<br />

(b) tume <strong>ya</strong> Ugawaji wa Mapato ;<br />

(c) tume <strong>ya</strong> Huduma za Polisi;<br />

(d) tume <strong>ya</strong> Utumishi wa Umma;<br />

(e) tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia;<br />

(f) tume <strong>ya</strong> Mishahara;<br />

(g) tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Ardhi;<br />

(h) Tume <strong>ya</strong> Kuwaajiri Walimu.<br />

mahakama yenye Mamlaka Kuu ama Mahakama <strong>ya</strong> Kikatiba<br />

Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia<br />

20. (1) Makamishna wa Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia wakiteuliwa<br />

chini <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia, inaanza siku <strong>ya</strong> kuanza<br />

kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hiii na makamishna wa Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Jinsia<br />

na Maendeleo watakuwa makamishna wa Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia<br />

kwa wakati muda wao wa kuhudumu hautakuwa umeisha lakini kila kamishana<br />

atahifadhi masharti <strong>ya</strong> kazi kuanzia siku <strong>ya</strong> kuanzia kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(2) Mwenyekiti wa Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Haki za Kibinadamu na Jinsia<br />

atakuwa mwenyekiti wa Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia kwa muda<br />

wake wa kuhudumu uliosalia.<br />

Tume Huru <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka<br />

21. Tume Huru <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka ikibuniwa katika <strong>Katiba</strong> iliyoko<br />

kabla <strong>ya</strong> kuanza kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii itaendelea kwa kipindi <strong>cha</strong> miezi<br />

ishirini na minne tangu siku <strong>ya</strong> kuteuliwa kwa makamishna wao katika <strong>Katiba</strong><br />

iliyoko kuanzia siku <strong>ya</strong> kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii, isipokuwa kipindi hicho<br />

kiongezwe na Bunge, na Tume Huru <strong>ya</strong> Muda <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka itateuliwa<br />

kwa <strong>Katiba</strong> hii kabla <strong>ya</strong> kuisha kwa kpindi hicho<br />

Tume <strong>ya</strong> Uadilifu na Kupambana dhidi <strong>ya</strong> Ufisadi<br />

22. Mkurugenzi wa Tume <strong>ya</strong> Kupambana na Ufisadi yuko ofisini kulingana na<br />

sheria <strong>ya</strong> Tume <strong>ya</strong> Kupambana na Ufisadi na Makosa <strong>ya</strong> Kiuchumi kuanzia siku<br />

<strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii ataendelea na wajibu wake kwa kipindi <strong>cha</strong>ke<br />

ambacho kimebaki.<br />

Ukiukaji wa haki za kibinadamu wa siku za nyuma<br />

23. Bunge linaweza, katika miezi sita <strong>ya</strong> kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii kwa sheria<br />

itawezesha Tume <strong>ya</strong> Haki za Kibinadamu na Jinsia ama taasisi yoyote nyingine<br />

iliyobuniwa na Bunge—<br />

(a) Kuchunguza aina zote za ukiukaji wa haki za kibinadamu<br />

kulikofanywa na yeyote ama kundi kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong><br />

hii.<br />

(b) Kuchunguza <strong>cha</strong>nzo <strong>cha</strong> migogoro kati <strong>ya</strong> raia pamoja na mauaji<br />

<strong>ya</strong> halaiki, mapigano <strong>ya</strong> kikabila na mauaji <strong>ya</strong> kisiasa na kuwatambua<br />

waliohusika; na<br />

(c) Toa mapendekezo kuhusu –<br />

(i) Kushtakiwa kwa wale wanaohusika;<br />

(ii) Kuwalipa fidia waathiriwa;<br />

(iii) Maridhiano; na<br />

(iv) kulipa fidia.<br />

Umiliki wa Ardhi<br />

24. (1) Siku <strong>ya</strong> kuanza kutumika <strong>Katiba</strong> hii, yeyote anayetaka ardhi yenye<br />

mkataba wa kupangisha ulio zaidi <strong>ya</strong> miaka tisini na tisa, ikiwa itatolewa na<br />

yeyote yule likiwa limemilikiwa na mtu asiye raia utarudishwa na kuwa wenye<br />

miaka tisini na tisa, isipokuwa ibatilishwe vinginevyo.<br />

(2) Hadi jamii zitakapotambuliwa na hati zao kuandikishwa, mashamba <strong>ya</strong><br />

kijamii <strong>ya</strong>tahifadhiwa na Tume <strong>ya</strong> Kitaifa kuhusu Ardhi kwa niaba <strong>ya</strong> jamii<br />

mbali mbali.<br />

(3) Katika hali ambapo wakati wa kuanza kutumika <strong>Katiba</strong> hii, mtu yeyote<br />

ambaye si raia wa Ken<strong>ya</strong> alimliki ardhi isiyo na masharti nchini Ken<strong>ya</strong>, haki<br />

hiyo <strong>ya</strong>ke itarejeshwa kwa Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ili kuhifadhi kwa niaba <strong>ya</strong> raia wa<br />

Ken<strong>ya</strong> na taifa litampa mtu huyo haki baadala <strong>ya</strong> kiwango <strong>cha</strong> chini na kulipa<br />

kodi kwa mkataba wa kupangisha usiozidi miaka tisini na tisa.<br />

Mafunzo <strong>ya</strong> Umma<br />

25.Kuanzia siku <strong>ya</strong> utekelezaji wa <strong>Katiba</strong> hii, Serikali kupitia kwa taasisi husika,<br />

itatekeleza mafunzo kwa umma kuhusu <strong>Katiba</strong> hii kwa raia wa Ken<strong>ya</strong> katika<br />

lugha za taifa na lugha za kiasili.<br />

Fedha<br />

26. Hakuna chochote katiba mp<strong>ya</strong>.<br />

Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama<br />

19. Kuundwa kwa Tume <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama kutafanywa katika siku<br />

sitini tangu siku <strong>ya</strong> utekelezaji wa <strong>Katiba</strong> hii na Tume itachukuliwa kuwa<br />

iliyoundwa sawa kulingana na <strong>Katiba</strong> hii ingawa kunaweza kuwa na nafasi katika<br />

uana<strong>cha</strong>ma wake kwa sababu huenda uteuzi usiwe umefanywa na majaji wa<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!