04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

21<br />

Maamuzi <strong>ya</strong> Seneti<br />

146. (1) Endapo kwa maoni <strong>ya</strong> Spika wa Seneti, mswada fulani unahusu maeneo au<br />

wila<strong>ya</strong> utakuwa na idhini <strong>ya</strong> Spika wa Seneti kwamba ni swala linaloathiri<br />

maeneo au wila<strong>ya</strong>.<br />

(2) Endapo Seneti inapaswa kupiga kura kuhusiana na swala lolote, Spika<br />

ataamua iwapo swala hilo linaathiri au haliathiri maeneo au wila<strong>ya</strong>.<br />

(3) Seneti inapopiga kura kuhusu swala linaloathiri maeneo au wila<strong>ya</strong> kila<br />

seneta atakuwa na kura moja.<br />

(4) Katika Seneti, isipokuwa pale ambapo <strong>Katiba</strong> hii inasema kinyume-<br />

(a) kila eneo litakuwa na kura moja kwa niaba <strong>ya</strong> kiongozi wa eneo hilo<br />

au, na endapo hakuna kiongozi wa ujumbe huo litaongozwa na mtu<br />

mwingine yeyote kwa niaba <strong>ya</strong> ujumbe huo; na<br />

(b) maswala yote <strong>ya</strong>taamuliwa na thuluthi-mbili <strong>ya</strong> wingi wa idadi <strong>ya</strong> ujumbe<br />

huo.<br />

(5) Sheria <strong>ya</strong> kitaifa itakayotungwa kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa kwa<br />

kupitisha Miswada inayoathiri mweneo au wila<strong>ya</strong>, itatoa mazingira sawa<br />

ambapo ujumbe wa Seneti utashauriana kwa ajili <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> (4)(a).<br />

(6) Mwana<strong>cha</strong>ma yeyote wa Baraza la mawaziri au Naibu Waziri anaweza<br />

kuhudhuria na kuzungumza katika Seneti, lakini hatashiriki u<strong>cha</strong>guzi wa<br />

swala lolote la Seneti.<br />

Kudhibitiwa kwa utaratibu<br />

147.(1) Kila Bunge-<br />

(a) litadhibiti taratibu zake lenyewe;<br />

(b) linaweza kuanzisha kamati; na<br />

(c) litatunga Kanuni za Bunge ili kudhibiti vikao v<strong>ya</strong>ke ikiwemo vikao v<strong>ya</strong><br />

kamati zake.<br />

(2) Bunge linaweza kuanzisha kamati za pamoja zinazojumuisha wabunge<br />

kutoka mabunge yote mawili na kwa pamoja kudhibiti utaratibu wa kamati hizo.<br />

(3) Marejeleo yoyote katika <strong>Katiba</strong> hii kwa mwanakamati yeyote wa Bunge, <strong>ya</strong>na<br />

chukuliwa kama marejeleo <strong>ya</strong> mwanakamati <strong>ya</strong> pamoja isipokuwa endapo<br />

muktadha unapendekeza tofauti.<br />

(4) Vikao v<strong>ya</strong> kila mojawapo wa mabunge hayo havitazuiwa kuendelea kwa<br />

sababu <strong>ya</strong>-<br />

(a) pengo katika uana<strong>cha</strong>ma; au<br />

(b) kuwepo au kushiriki kwa mtu yeyote asiyepaswa kuwepo au kushiriki<br />

katika vikao v<strong>ya</strong> bunge hilo.<br />

Uwezo wa kutaka ushahidi<br />

148. Katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke-<br />

(a) bunge lolote na yoyote katika kamati zake, inaweza kumwita mtu<br />

yeyote anayesimamia ofisi <strong>ya</strong> umma au mtu binafssi kutoa ushahidi<br />

mbele <strong>ya</strong>ke;<br />

(b) kamati <strong>ya</strong> mojawapo wa bunge inaweza kumteua mbunge yeyote au<br />

kumwajiri mtu yeyote wa kusaidia katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke; na<br />

(c) bunge lolote linaweza na mojawapo wa kamati zake litakuwa na<br />

mamlaka <strong>ya</strong> Mahakama Kuu katika-<br />

(i) kuhakikisha mahudhurio <strong>ya</strong> mashahidi na kuwaapisha, au<br />

pengine;<br />

(ii) kuwashurutisha kutoa ushahidi wa vibali; na<br />

(iii) kutoa ombi la kuwahoji mashahidi walio katika mataifa <strong>ya</strong> nje.<br />

Kufikiwa na umma<br />

149. (1) Bunge-<br />

(a) litafan<strong>ya</strong> shughuli zake kwa njia <strong>ya</strong> uwazi, na kufan<strong>ya</strong> vikao v<strong>ya</strong>ke na<br />

vile v<strong>ya</strong> kamati zake mbele <strong>ya</strong> umma; na<br />

(b) litarahisisha kushiriki kwa umma katika jukumu la Bunge la kutunga<br />

sheria na shughuli zake nyingine kamati zake.<br />

(2) Bunge halitatenga umma au chombo chochote <strong>cha</strong> habari dhidi <strong>ya</strong><br />

kuhudhuria vikao isipokuwa katika hali mahsusi ambazo Spika ataamua<br />

kwamba kuna sababu za kutosha kufan<strong>ya</strong> hivyo.<br />

Uwezo, haki na kinga<br />

150.(1) Kutakuwa na uhuru wa kujieleza na kujadiliana Bungeni.<br />

(2) Bunge kwa ajili <strong>ya</strong> kushughulikia majukumu <strong>ya</strong>ke kwa mpangilio na ukamilifu<br />

linatoa uwezo , haki na kinga kwake, kamati zake na wabunge wake.<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 5 – Ziada<br />

Usajili wa Sheria buniwa<br />

151.(1) Kwa kupitia njia <strong>ya</strong> sheria Bunge litaanzisha-<br />

(a) Rejista <strong>ya</strong> Sheria buniwa kwa umma itakayoandikwa katika Kiswahili<br />

na Kiingereza kwa njia <strong>ya</strong> kuona na Breli chini <strong>ya</strong> Ulinzi wa Spika wa<br />

Bunge; na<br />

(b) taratibu nyingine za ziada kuhusu ku<strong>cha</strong>pisha na kusambaza sheria<br />

zilizotungwa.<br />

(2) Nakala <strong>ya</strong> kila sheria buniwa itahifadhiwa katika Rejista <strong>ya</strong> Sheria buniwa.<br />

(3) Nakala <strong>ya</strong> kila sheria buniwa iliyohifadhiwa katika Hifadhi iliyokubaliwa kuwa<br />

sawa na msajili ni ushahidi wa vipengele v<strong>ya</strong> sheria hiyo buniwa.<br />

(4) Endapo kutakuwa na mgongano kati <strong>ya</strong> matoleo <strong>ya</strong> lugha tofauti <strong>ya</strong> sheria<br />

buniwa, toleo litakalokuwa limetiwa saini na Rais wa Taifa litatumika.<br />

(5) Serikali <strong>ya</strong> kitaifa itahakikisha kwamba sheria zote buniwa-<br />

(a) zinakuwepo katika maktaba zote za umma; na<br />

(b) zinakuwepo katika Breli na vyombo vingine vinavyofaa vipofu na<br />

walio na ulemavu mwingine.<br />

Makao <strong>ya</strong> Bunge<br />

152. (1) Kuambatana na ibara (2), makao <strong>ya</strong> Bunge <strong>ya</strong>takuwa Nairobi.<br />

(2) Vikao v<strong>ya</strong> Bunge lolote vitafanyiwa katika sehemu nyingine, na vitaanza<br />

wakati utakaoamuliwa na Bunge.<br />

(3) Kila kutakapo<strong>cha</strong>guliwa Bunge mp<strong>ya</strong>, Rais wa Taifa kwa kupitia notisi <strong>ya</strong><br />

Gazeti maalumu la serikali, atateua mahali na tarehe, sio siku saba baada<br />

<strong>ya</strong> kukamilika kwa kipindi <strong>cha</strong> Bunge lililopita katika kikao <strong>cha</strong> kwanaza <strong>cha</strong><br />

Bunge.<br />

Kipindi <strong>cha</strong> Bunge<br />

153. (1) Kipindi <strong>cha</strong> kila bunge ni miaka mitano kutoka tarehe <strong>ya</strong> kikao <strong>cha</strong> kwanza<br />

baada <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi isipokuwa katika Bunge kuu linavunjwa mapema kwa<br />

mujibu wa Kifungu 180(8).<br />

(2)Wakati wowote Ken<strong>ya</strong> ikiwa katika vita, Bunge linaweza kuamua kwa njia <strong>ya</strong><br />

kura <strong>ya</strong> idadi isiyopungua thuluthi-mbili <strong>ya</strong> wabunge kuongeza kipindi <strong>cha</strong><br />

Bunge kwa muda usiozidi miezi sita.<br />

(3) Kipindi <strong>cha</strong> bunge hakitaongezwa chini <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> (2)-<br />

(a) kwa jumla <strong>ya</strong> zaidi <strong>ya</strong> miezi kumi na miwili; au<br />

(b) kabla <strong>ya</strong> kukamilika kwa kipindi <strong>cha</strong>ke baada <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi mkuu<br />

unaofanyika kulingana na Kifungu 129(1).<br />

Tume <strong>ya</strong> Huduma za Bunge<br />

154.(1) Kuna Tume buniwa <strong>ya</strong> Huduma <strong>ya</strong> Bunge itakayojumuisha-<br />

(a) mwenyekiti na makamu wake walio<strong>cha</strong>guliwa na Tume kutoka kwa<br />

wana <strong>cha</strong>ma walioteuliwa kwa mujubu wa a<strong>ya</strong> (b);<br />

(b) wana<strong>cha</strong>ma saba walioteuliwa na Bunge kutoka miongoni mwa<br />

wabunge ambapo-<br />

(i) wanne watateuliwa kwa usawa kutoka Mabunge yote mawili na<br />

<strong>cha</strong>ma au washrika katika muungano unaojenga serikali <strong>ya</strong> kitaifa<br />

na ambao wawili kati <strong>ya</strong>o watakuwa wanawake; na<br />

(ii) watatu watakuwa wamteuliwa na v<strong>ya</strong>ma visivyo sehemu <strong>ya</strong><br />

serikali <strong>ya</strong> taifa, angalau mmoja wao atateuliwa kutoka kila Bunge<br />

na angalau mmoja wao atakuwa mwanamke; na<br />

(c) mwanamume na mwanamke walioteuliwa na Bunge kutoka<br />

watu ambao si wabunge lakini wana uzoefu mkubwa kwa maswala<br />

<strong>ya</strong>nayohusu umma.<br />

(2) Tume itateua makatibu wake.<br />

(3) Mwana<strong>cha</strong>ma wa Tume atatoka ofisini-<br />

(a) iwapo mtu huyo ni Mbunge-<br />

(i) baada <strong>ya</strong> kukamilika kwa kipindi <strong>cha</strong> Bunge ambacho mtu huyo<br />

alikuwa mbuge;<br />

(ii) mtu huyo anakoma kuwa Mbunge; au<br />

(iii) ikitokea hali kwamba mtu asingalikuwa Mbunge asingaliruhusiwa<br />

ku<strong>cha</strong>guliwa katika wadhifa kama huo; au<br />

(b) iwapo mtu huyo ni mteule, baada <strong>ya</strong> kufutiliwa mbali kwa uteuzi<br />

wake na Bunge.<br />

(4) Kando na ibara <strong>ya</strong> (3), baada <strong>ya</strong> kuvunjwa kwa Bunge, mwana<strong>cha</strong>ma wa<br />

Tume aliyeteuliwa kwa mujibu wa ibara (1)(b) ataendelea kuwa ofisini hadi<br />

mwana<strong>cha</strong>ma mwingine atakapoteuliwa na Bunge kushika nafasi <strong>ya</strong>ke.<br />

(5) Tume ina jukumu la-<br />

(a) kutoa huduma na vifaa ili kuhakikisha utendaji kazi wa Bunge;<br />

(b) kujenga ofisi katika huduma <strong>ya</strong> Bunge na ku<strong>cha</strong>gua na kusimamia<br />

wafan<strong>ya</strong>kazi;<br />

(c) kuta<strong>ya</strong>risha makadirio <strong>ya</strong> kila mwaka <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> pesa katika<br />

huduma za Bunge na kudhibiti bejeti <strong>ya</strong>ke;<br />

(d) kuanzisha ama kibinafsi au katika mashirika husika, mipango <strong>ya</strong><br />

kukuza maadili <strong>ya</strong> demokrasia <strong>ya</strong> bunge; na<br />

(e) kutekeleza majukumu mengine-<br />

(i) muhimu kwa manufaa <strong>ya</strong> wabunge na wafan<strong>ya</strong>kazi wa Bunge; au<br />

(ii) <strong>ya</strong>takayopendekezwa na au kwa mujibu wa sheria.<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!