Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
47<br />
MKUU ILI KUTEKELEZA KAZI YA KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI /<br />
KATIBU MKUU<br />
Mimi, ……………………, nikiwa ninahitajika kuchukua wajibu wa katibu wa Baraza la<br />
Mawaziri/ Katibu Mkuu ninaapa <strong>ya</strong> kwamba/ninakubali kwamba, isipokuwa nikiwa<br />
nimepewa na idhini <strong>ya</strong> Waziri Mkuu, kwa njia <strong>ya</strong> moja kwa moja ama isiyo <strong>ya</strong> moja<br />
kwa moja, sitafichua majadiliano, kumbukumbu ama n<strong>ya</strong>raka za baraza la mawaziri<br />
ambazo nimezihifadhi, isipokuwa itakavyohitajika katika utendakazi wangu kama<br />
Katibu wa Baraza la Mawaziri/Katibu Mkuu. (Kama ni kiapo: Ee Mungu nisaidie)<br />
VIAPO KWA JAJI MKUU/RAIS WA MAHAKAMA YENYE MAMLAKA KUU,<br />
MAJAJI WA MAHAKAMA YENYE MAMLAKA KUU, MAJAJI WA MAHAKAMA<br />
YA RUFANI, MAJAJI WA MAHAKAMA YA KIKATIBA, NA MAJAJI WA<br />
MAHAKAMA KUU.<br />
Mimi, ……………………, (Jaji Mkuu /Rais wa Mahakama yenye mamlaka Kuu, jaji wa<br />
Mahakama yenye Mamlaka Kuu, Jaji wa Mahakama <strong>ya</strong> Rufani, Jaji wa Mahakama<br />
<strong>ya</strong> Kikatiba, jaji wa Mahakama Kuu) ninaapa (naapa kwa jina la Mwenyezi Mungu)/<br />
nakubali kwa dhati kutumikia Waken<strong>ya</strong> na Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> na kutekeleza haki<br />
bila mapendeleo kulingana na <strong>Katiba</strong> iliyowekwa, na sheria na desturi za Jamhuri,<br />
bila woga wowote, mapendeleo, ubaguzi, chuki, ama mapendeleo yoyote <strong>ya</strong><br />
kisiasa kidini, ama ushawishi wowote. Katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> kisheria<br />
ambayo nimepewa, wakati wote, kwa uwezo wangu wote, nitatetea, nitahifadhi<br />
na kusimamia, na kuhifadhi <strong>Katiba</strong> kwa minajili <strong>ya</strong> kulinda hadhi na heshima <strong>ya</strong><br />
mahakama na mfumo wa mahakama wa Ken<strong>ya</strong> na kukuza haki, uhuru, uwezo wa<br />
kisheria na uadilifu ndani <strong>ya</strong>ke. (E Mungu nisaidie)<br />
KIAPO/KUKIRI KUWA MBUNGE (SENETI/BUNGE)<br />
Mimi,……………………, nikiwa nime<strong>cha</strong>guliwa mwa<strong>cha</strong>ma wa Seneti/Bunge ninaapa<br />
(Kwa jina la Mwenyezi Mungu) (ninadhibitisha ) kwamba nitakuwa mwaminifu na<br />
mtiifu kwa raia na Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; kwamba nitatii heshimu, kutetea, kulinda na<br />
kuhifadhi <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; na kwamba nitatekeleza majukumu <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong><br />
Mbunge kwa uaminifu na makini (Ee Mungu nisaidie).<br />
KIAPO CHA SPIKA/NAIBU SPIKA WA SENETI/BUNGE<br />
Mimi ,……………….. , nikiwa nime<strong>cha</strong>guliwa kama Spika/ Naibu Spika wa Seneti/<br />
Bunge ninaapa kwamba(Kwa jina la Mwenyezi Mungu) (nakubali kwa dhati)<br />
kwamba nitakuwa mwaminifu kwa raia na Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; kwamba nitatekeleza<br />
majukumu <strong>ya</strong>ngu kama Spika/Naibu Spika kwa uaminifu na makini wa Seneti/<br />
Bunge; kwamba nitatii nitaheshimu, nitatea, nitahifadhi nitalinda na kuitetea <strong>Katiba</strong><br />
<strong>ya</strong> Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; na kwamba nitafan<strong>ya</strong> haki kwa watu wote kulingana na <strong>Katiba</strong><br />
<strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> na sheria na desturi za Bunge bila mapendeleo ama chuki(Ee Mungu<br />
nisaidie)<br />
MPANGILIO WA NNE<br />
(Kifungu 228(1))<br />
MGAO WA MAJUKUMU KATI YA SERIKALI YA KITAIFA NA SERIKALI<br />
ZILIZOGATULIWA<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 1 – Serikali <strong>ya</strong> Kitaifa<br />
1. Mashauri <strong>ya</strong> kigeni, sera <strong>ya</strong> kigeni, na Biashara <strong>ya</strong> Kimataifa<br />
2. Kwa ushauriano na maeneo na wila<strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> maji <strong>ya</strong> kimataifa na raslimali<br />
za maji.<br />
3. Uhamiaji na uraia.<br />
4. Uhusiano kati <strong>ya</strong> dini na taifa.<br />
5. Sera <strong>ya</strong> lugha na ukuzaji wa lugha rasmi na lugha za kiasili.<br />
6. Ulinzi wa kitaifa na matumizi <strong>ya</strong> huduma za usalama za kitaifa..<br />
7. Usalama wa Kitaifa , pamoja na—<br />
(a) Kuweka viwango v<strong>ya</strong> kuandikisha askari wap<strong>ya</strong>, kutoa mafunzo kwa<br />
polisi na matumizi <strong>ya</strong> huduma za polisi;<br />
(b) Sheria <strong>ya</strong> Kiuhalifu; na<br />
(c) Huduma za Marekebisho.<br />
8. Mahakama.<br />
9. Sera <strong>ya</strong> kitaifa <strong>ya</strong> uchumi na mipango.<br />
10. Sera <strong>ya</strong> fedha sarafu, benki (pamoja na benki kuu) kuanzishwa na usimamizi wa<br />
shughuli za benki, bima na mashirika <strong>ya</strong> kifedha.<br />
11. Takwimu za kitaifa na data kuhusu idadi <strong>ya</strong> watu, uchumi na jamii kwa jumla.<br />
12. Haki miliki kuhusu ujuzi wa kiakili<br />
13. Viwango v<strong>ya</strong> Leba.<br />
14. Ulinzi wa watumiaji, pamoja na viwango v<strong>ya</strong> usalama wa kijamii mipango <strong>ya</strong><br />
pensheni za kitaalamu.<br />
15. Sera <strong>ya</strong> elimu, viwango, Mitaala, mitihani, na kutoa kwa hati za vyuo vikuu.<br />
16. Vyuo vikuu, taasisi za elimu <strong>ya</strong> juu na taasisi nyingine za utafiti na elimu <strong>ya</strong><br />
juu na shule za msingi, elimu maalum kipekee, shule za upili, na taasisi za elimu<br />
maalum.<br />
17. Ukuzaji wa michezo na elimu juu <strong>ya</strong> michezo.<br />
18. Uchukuzi na mawasiliano, pamoja na, hasa—<br />
(a) Usafiri wa barabara;<br />
(b) Ujenzi na utumikaji wa barabara kuu za kitaifa<br />
(c) Viwango v<strong>ya</strong> ujenzi na uhifadhi wa barabara nyingine na maeneo na<br />
Wila<strong>ya</strong>;<br />
(d) Reli;<br />
(e) Mabomba;<br />
(f) Usafiri wa baharini;<br />
(g) vyombo v<strong>ya</strong> anga vinavyotumiwa na raia;<br />
(h) Usafiri wa angani;<br />
(i) Huduma za posta;<br />
(j) Mawasiliano <strong>ya</strong> simu, redio na televisheni, na;<br />
(k) matangazo <strong>ya</strong> redio na televisheni.<br />
19. Ujenzi wa kitaifa.<br />
20. Sera <strong>ya</strong> nyumba.<br />
21. Kanuni za kijumla za mipango <strong>ya</strong> ardhi na ushirikishaji wa mipango <strong>ya</strong> maeneo<br />
na wila<strong>ya</strong>.<br />
22. Uhifadhi wa mazingira na mali asili kwa mpango wa kuanzisha mfumo wa<br />
maendeleo <strong>ya</strong> kudumu, pamoja na, hasa—<br />
(a) Uvuvi, usasi na ukusan<strong>ya</strong>ji matunda;<br />
(b) Ulinzi wa wan<strong>ya</strong>ma na wan<strong>ya</strong>ma pori;<br />
(c) Uhifadhi wa maji, kuhifadhi maji <strong>ya</strong>nayobaki <strong>ya</strong> kutosha, taaluma<br />
kuhusu maji na usalama wa maji kwenye mabawa; na<br />
(d) Sera <strong>ya</strong> kawi .<br />
23. Nyenzo kuu za kitaifa za kiaf<strong>ya</strong>.<br />
24. Usimamizi wa majanga.<br />
25. Minara <strong>ya</strong> ukumbusho <strong>ya</strong> zamani na <strong>ya</strong> kihistoria yenye umuhimu wa kitaifa.<br />
26. Chaguzi za kitaifa.<br />
28. Sera <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />
29. Sera <strong>ya</strong> Kilimo.<br />
30. sera <strong>ya</strong> utatibu wa mifugo.<br />
31. Sera <strong>ya</strong> kawi pamoja na nguvu za umeme na mtandao wa gesi na usimamiaji wa<br />
kawi.<br />
32. Uwezeshaji na msaada wa kifundi kwa wila<strong>ya</strong>.<br />
33. Uwekezaji wa umma.<br />
34. Sera <strong>ya</strong> utalii na bahati nasibu.<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 2—Serikali za Kimaeneo<br />
Isipokuwa ambapo <strong>Katiba</strong> hii na sheria inapoeleza vinginevyo mamlaka na<br />
majukumu <strong>ya</strong> serikali za kimaeneo katika maeneo <strong>ya</strong>o yote, kwa kushauriana na<br />
wila<strong>ya</strong> katika eneo hilo, <strong>ya</strong>takuwa—<br />
(a) Kushirikisha na kusimamia Wila<strong>ya</strong> katika juhudi zao za kutekeleza<br />
sera za kimaeneo na kitaifa na viwango;<br />
(b) Uundaji wa sera za kimaeneo;<br />
(c) Uundaji wa viwango v<strong>ya</strong> kimaeneo;<br />
(d) Mipango <strong>ya</strong> kimaeneo;<br />
(e) Usimamizi na tathmini <strong>ya</strong> utekelezaji;<br />
(f) Ushirikishi wa, usimamizi na utoaji wa huduma za kimaeneo;<br />
(g) Kushirikisha shughuli na kutunza miundo msingi na huduma za<br />
kimaeneo;<br />
(h)Kuwezesha na kusawazisha shughuli katika eneo; na<br />
(i) Uwezeshaji na na msaada wa kifundi kwa wila<strong>ya</strong>.<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 3—Serikali za Wila<strong>ya</strong><br />
Mamlaka na majukumu <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> ni—<br />
1. Kilimo, pamoja na—<br />
(a) Kilimo <strong>cha</strong> mimea na wan<strong>ya</strong>ma;<br />
(b) Viwanja v<strong>ya</strong> kuuzia wan<strong>ya</strong>ma;<br />
(c) Vichinjio v<strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong>;<br />
(d) Udhibiti wa magonjwa <strong>ya</strong> mimea na wan<strong>ya</strong>ma; na<br />
(e) Uvuvi.<br />
2. Huduma za af<strong>ya</strong> za wila<strong>ya</strong>, pamoja na, hasa—<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja