04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

47<br />

MKUU ILI KUTEKELEZA KAZI YA KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI /<br />

KATIBU MKUU<br />

Mimi, ……………………, nikiwa ninahitajika kuchukua wajibu wa katibu wa Baraza la<br />

Mawaziri/ Katibu Mkuu ninaapa <strong>ya</strong> kwamba/ninakubali kwamba, isipokuwa nikiwa<br />

nimepewa na idhini <strong>ya</strong> Waziri Mkuu, kwa njia <strong>ya</strong> moja kwa moja ama isiyo <strong>ya</strong> moja<br />

kwa moja, sitafichua majadiliano, kumbukumbu ama n<strong>ya</strong>raka za baraza la mawaziri<br />

ambazo nimezihifadhi, isipokuwa itakavyohitajika katika utendakazi wangu kama<br />

Katibu wa Baraza la Mawaziri/Katibu Mkuu. (Kama ni kiapo: Ee Mungu nisaidie)<br />

VIAPO KWA JAJI MKUU/RAIS WA MAHAKAMA YENYE MAMLAKA KUU,<br />

MAJAJI WA MAHAKAMA YENYE MAMLAKA KUU, MAJAJI WA MAHAKAMA<br />

YA RUFANI, MAJAJI WA MAHAKAMA YA KIKATIBA, NA MAJAJI WA<br />

MAHAKAMA KUU.<br />

Mimi, ……………………, (Jaji Mkuu /Rais wa Mahakama yenye mamlaka Kuu, jaji wa<br />

Mahakama yenye Mamlaka Kuu, Jaji wa Mahakama <strong>ya</strong> Rufani, Jaji wa Mahakama<br />

<strong>ya</strong> Kikatiba, jaji wa Mahakama Kuu) ninaapa (naapa kwa jina la Mwenyezi Mungu)/<br />

nakubali kwa dhati kutumikia Waken<strong>ya</strong> na Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> na kutekeleza haki<br />

bila mapendeleo kulingana na <strong>Katiba</strong> iliyowekwa, na sheria na desturi za Jamhuri,<br />

bila woga wowote, mapendeleo, ubaguzi, chuki, ama mapendeleo yoyote <strong>ya</strong><br />

kisiasa kidini, ama ushawishi wowote. Katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> kisheria<br />

ambayo nimepewa, wakati wote, kwa uwezo wangu wote, nitatetea, nitahifadhi<br />

na kusimamia, na kuhifadhi <strong>Katiba</strong> kwa minajili <strong>ya</strong> kulinda hadhi na heshima <strong>ya</strong><br />

mahakama na mfumo wa mahakama wa Ken<strong>ya</strong> na kukuza haki, uhuru, uwezo wa<br />

kisheria na uadilifu ndani <strong>ya</strong>ke. (E Mungu nisaidie)<br />

KIAPO/KUKIRI KUWA MBUNGE (SENETI/BUNGE)<br />

Mimi,……………………, nikiwa nime<strong>cha</strong>guliwa mwa<strong>cha</strong>ma wa Seneti/Bunge ninaapa<br />

(Kwa jina la Mwenyezi Mungu) (ninadhibitisha ) kwamba nitakuwa mwaminifu na<br />

mtiifu kwa raia na Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; kwamba nitatii heshimu, kutetea, kulinda na<br />

kuhifadhi <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; na kwamba nitatekeleza majukumu <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong><br />

Mbunge kwa uaminifu na makini (Ee Mungu nisaidie).<br />

KIAPO CHA SPIKA/NAIBU SPIKA WA SENETI/BUNGE<br />

Mimi ,……………….. , nikiwa nime<strong>cha</strong>guliwa kama Spika/ Naibu Spika wa Seneti/<br />

Bunge ninaapa kwamba(Kwa jina la Mwenyezi Mungu) (nakubali kwa dhati)<br />

kwamba nitakuwa mwaminifu kwa raia na Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; kwamba nitatekeleza<br />

majukumu <strong>ya</strong>ngu kama Spika/Naibu Spika kwa uaminifu na makini wa Seneti/<br />

Bunge; kwamba nitatii nitaheshimu, nitatea, nitahifadhi nitalinda na kuitetea <strong>Katiba</strong><br />

<strong>ya</strong> Jamhuri <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; na kwamba nitafan<strong>ya</strong> haki kwa watu wote kulingana na <strong>Katiba</strong><br />

<strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> na sheria na desturi za Bunge bila mapendeleo ama chuki(Ee Mungu<br />

nisaidie)<br />

MPANGILIO WA NNE<br />

(Kifungu 228(1))<br />

MGAO WA MAJUKUMU KATI YA SERIKALI YA KITAIFA NA SERIKALI<br />

ZILIZOGATULIWA<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1 – Serikali <strong>ya</strong> Kitaifa<br />

1. Mashauri <strong>ya</strong> kigeni, sera <strong>ya</strong> kigeni, na Biashara <strong>ya</strong> Kimataifa<br />

2. Kwa ushauriano na maeneo na wila<strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> maji <strong>ya</strong> kimataifa na raslimali<br />

za maji.<br />

3. Uhamiaji na uraia.<br />

4. Uhusiano kati <strong>ya</strong> dini na taifa.<br />

5. Sera <strong>ya</strong> lugha na ukuzaji wa lugha rasmi na lugha za kiasili.<br />

6. Ulinzi wa kitaifa na matumizi <strong>ya</strong> huduma za usalama za kitaifa..<br />

7. Usalama wa Kitaifa , pamoja na—<br />

(a) Kuweka viwango v<strong>ya</strong> kuandikisha askari wap<strong>ya</strong>, kutoa mafunzo kwa<br />

polisi na matumizi <strong>ya</strong> huduma za polisi;<br />

(b) Sheria <strong>ya</strong> Kiuhalifu; na<br />

(c) Huduma za Marekebisho.<br />

8. Mahakama.<br />

9. Sera <strong>ya</strong> kitaifa <strong>ya</strong> uchumi na mipango.<br />

10. Sera <strong>ya</strong> fedha sarafu, benki (pamoja na benki kuu) kuanzishwa na usimamizi wa<br />

shughuli za benki, bima na mashirika <strong>ya</strong> kifedha.<br />

11. Takwimu za kitaifa na data kuhusu idadi <strong>ya</strong> watu, uchumi na jamii kwa jumla.<br />

12. Haki miliki kuhusu ujuzi wa kiakili<br />

13. Viwango v<strong>ya</strong> Leba.<br />

14. Ulinzi wa watumiaji, pamoja na viwango v<strong>ya</strong> usalama wa kijamii mipango <strong>ya</strong><br />

pensheni za kitaalamu.<br />

15. Sera <strong>ya</strong> elimu, viwango, Mitaala, mitihani, na kutoa kwa hati za vyuo vikuu.<br />

16. Vyuo vikuu, taasisi za elimu <strong>ya</strong> juu na taasisi nyingine za utafiti na elimu <strong>ya</strong><br />

juu na shule za msingi, elimu maalum kipekee, shule za upili, na taasisi za elimu<br />

maalum.<br />

17. Ukuzaji wa michezo na elimu juu <strong>ya</strong> michezo.<br />

18. Uchukuzi na mawasiliano, pamoja na, hasa—<br />

(a) Usafiri wa barabara;<br />

(b) Ujenzi na utumikaji wa barabara kuu za kitaifa<br />

(c) Viwango v<strong>ya</strong> ujenzi na uhifadhi wa barabara nyingine na maeneo na<br />

Wila<strong>ya</strong>;<br />

(d) Reli;<br />

(e) Mabomba;<br />

(f) Usafiri wa baharini;<br />

(g) vyombo v<strong>ya</strong> anga vinavyotumiwa na raia;<br />

(h) Usafiri wa angani;<br />

(i) Huduma za posta;<br />

(j) Mawasiliano <strong>ya</strong> simu, redio na televisheni, na;<br />

(k) matangazo <strong>ya</strong> redio na televisheni.<br />

19. Ujenzi wa kitaifa.<br />

20. Sera <strong>ya</strong> nyumba.<br />

21. Kanuni za kijumla za mipango <strong>ya</strong> ardhi na ushirikishaji wa mipango <strong>ya</strong> maeneo<br />

na wila<strong>ya</strong>.<br />

22. Uhifadhi wa mazingira na mali asili kwa mpango wa kuanzisha mfumo wa<br />

maendeleo <strong>ya</strong> kudumu, pamoja na, hasa—<br />

(a) Uvuvi, usasi na ukusan<strong>ya</strong>ji matunda;<br />

(b) Ulinzi wa wan<strong>ya</strong>ma na wan<strong>ya</strong>ma pori;<br />

(c) Uhifadhi wa maji, kuhifadhi maji <strong>ya</strong>nayobaki <strong>ya</strong> kutosha, taaluma<br />

kuhusu maji na usalama wa maji kwenye mabawa; na<br />

(d) Sera <strong>ya</strong> kawi .<br />

23. Nyenzo kuu za kitaifa za kiaf<strong>ya</strong>.<br />

24. Usimamizi wa majanga.<br />

25. Minara <strong>ya</strong> ukumbusho <strong>ya</strong> zamani na <strong>ya</strong> kihistoria yenye umuhimu wa kitaifa.<br />

26. Chaguzi za kitaifa.<br />

28. Sera <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong>.<br />

29. Sera <strong>ya</strong> Kilimo.<br />

30. sera <strong>ya</strong> utatibu wa mifugo.<br />

31. Sera <strong>ya</strong> kawi pamoja na nguvu za umeme na mtandao wa gesi na usimamiaji wa<br />

kawi.<br />

32. Uwezeshaji na msaada wa kifundi kwa wila<strong>ya</strong>.<br />

33. Uwekezaji wa umma.<br />

34. Sera <strong>ya</strong> utalii na bahati nasibu.<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 2—Serikali za Kimaeneo<br />

Isipokuwa ambapo <strong>Katiba</strong> hii na sheria inapoeleza vinginevyo mamlaka na<br />

majukumu <strong>ya</strong> serikali za kimaeneo katika maeneo <strong>ya</strong>o yote, kwa kushauriana na<br />

wila<strong>ya</strong> katika eneo hilo, <strong>ya</strong>takuwa—<br />

(a) Kushirikisha na kusimamia Wila<strong>ya</strong> katika juhudi zao za kutekeleza<br />

sera za kimaeneo na kitaifa na viwango;<br />

(b) Uundaji wa sera za kimaeneo;<br />

(c) Uundaji wa viwango v<strong>ya</strong> kimaeneo;<br />

(d) Mipango <strong>ya</strong> kimaeneo;<br />

(e) Usimamizi na tathmini <strong>ya</strong> utekelezaji;<br />

(f) Ushirikishi wa, usimamizi na utoaji wa huduma za kimaeneo;<br />

(g) Kushirikisha shughuli na kutunza miundo msingi na huduma za<br />

kimaeneo;<br />

(h)Kuwezesha na kusawazisha shughuli katika eneo; na<br />

(i) Uwezeshaji na na msaada wa kifundi kwa wila<strong>ya</strong>.<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 3—Serikali za Wila<strong>ya</strong><br />

Mamlaka na majukumu <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> ni—<br />

1. Kilimo, pamoja na—<br />

(a) Kilimo <strong>cha</strong> mimea na wan<strong>ya</strong>ma;<br />

(b) Viwanja v<strong>ya</strong> kuuzia wan<strong>ya</strong>ma;<br />

(c) Vichinjio v<strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong>;<br />

(d) Udhibiti wa magonjwa <strong>ya</strong> mimea na wan<strong>ya</strong>ma; na<br />

(e) Uvuvi.<br />

2. Huduma za af<strong>ya</strong> za wila<strong>ya</strong>, pamoja na, hasa—<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!