04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

24<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

litatetea kamati maalum litakalohusisha watu kumi na mmoja kati <strong>ya</strong>o<br />

kulichunguza suala hili.<br />

(4) Tume hii maalum itachunguza suala hilo kwa muda wa siku kumi na<br />

kuripoti kwa Seneti ikiwa imepata tuhuma halisi dhidi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />

zinzoweza kuthibitishwa.<br />

(5) Rais wa Taifa ana haki <strong>ya</strong> kwenda au kuwakilishwa mbele <strong>ya</strong> tume hii<br />

maalum wakati wa uchunguzi wao.<br />

(6) Iwapo kamati maalum itaripoti kuwa <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyomo katika tuhuma dhidi <strong>ya</strong><br />

Rais wa Taifa ha<strong>ya</strong>jathibitishwa hakuna mashtaka zaidi <strong>ya</strong>tayochukuliwa chini<br />

<strong>ya</strong> Kifungu hiki kutokana na tuhuma hizi.<br />

(7) Iwapo kamati maalum itaripoti kwamba <strong>ya</strong>liyomo kwenye tuhuma yoyote<br />

dhidi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa <strong>ya</strong>methibitihshwa, Seneti, baada <strong>ya</strong> kumpa Rais wa<br />

Taifa nafasi <strong>ya</strong> kusikilizwa, itapigia kura mashtaka <strong>ya</strong> kutokuwa na imani,<br />

na Rais wa Taifa ataa<strong>cha</strong> kuwa Rais iwapo theluthi mbili <strong>ya</strong> Wabunge watapiga<br />

kura kuunga mkono mashtaka <strong>ya</strong> kutokuwa na imani.<br />

Nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />

171. (1) Ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa itakuwa wazi iwapo mwen<strong>ya</strong> ofisi hiyo-<br />

(a) anaaga dunia;<br />

(b) Anaa<strong>cha</strong> kazi kwa kumwandikia barua S pikawa Bunge; au<br />

(c) Anaondolewa kwa ofisi kulingana na <strong>Katiba</strong> hii<br />

(2) Pale ambapo ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa, Naibu Rais wa Taifa atachukua ofisa<br />

kama Rais wa Taifa-<br />

(a) Pale ambapo nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa imetokea ikiwa<br />

kumesalia miaka miwili na nusu kabla <strong>ya</strong> tarehe <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi ujao<br />

wa Urais kulingana na Kifungu 162, Naibu Rais wa Kitaifa atachukua<br />

uongozi kama Raia wa Taifa kwa wakati unaosalia wa kipindi <strong>cha</strong> Rais<br />

waTaifa.<br />

(b) Pale ambapo nafasi itatokea kukiwa kumesalia zaidi <strong>ya</strong> miaka<br />

miwili na nusu kabla <strong>ya</strong> tareha <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi ujao kulingana Kifungu 162,<br />

u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> wa fisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa utafanyika siku sitini baada ofisi<br />

<strong>ya</strong> Rais wa Taifa kuwa wazi.<br />

(3) Pale ambapo nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa napia katika ofisi <strong>ya</strong> Naibu<br />

Rais wa Taifa itatokea au pale ambapo Naibu Rais waTaifa hawezi kushikilia,<br />

Spika wa bunge atashikilia kama Rais wa Taifa, na iwapo kwa sababu yoyote<br />

Spika wa Bunge hataweza kushikilia,spika wa seneti atashikilia kama Rais wa<br />

Taifa.<br />

(4) Pale ambapo nafasi itatokea kwa hali zinazokusudiwa na ibara (3),<br />

u<strong>cha</strong>guzi Rais wa Taifa utafanyika siku sitini baada <strong>ya</strong> Spika wa Bunge<br />

kuchukua ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa.<br />

(5) Mtu yule ambaye anachukua hatamu za uongozi wa Rais wa Taifa chini <strong>ya</strong><br />

kifungu hiki, isipokuwa aondolewe kutoka kwa mamlaka na <strong>Katiba</strong> hii,<br />

ataendelea na wadhifa huo mpaka u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> ufanyike na Rais wa Taifa<br />

aliye<strong>cha</strong>guliwa up<strong>ya</strong> kuchukua uongozi.<br />

Mamlaka <strong>ya</strong> huruma wa Rais<br />

172. (1) kutakuwa na mamlaka <strong>ya</strong> msamaha ambao utatekelezwa kwa ombi la<br />

Rais wa Taifa kwa mtu yeyeyote kulingana na ushuru wa Kamati <strong>ya</strong> Ushauri<br />

inayorejelewa katika kifungu (2).<br />

(2) Kutakakuapo na Kamati <strong>ya</strong> Ushauri kuhusu mamalaka <strong>ya</strong> msama wa Rais,<br />

itawahusisha-<br />

(a) Mkuu wa Sheria;<br />

(b) Waziri anaye husika na huduma za urekebishaji; na<br />

(c) Angalau watu wengine watano,na wasiwe watu walio kwenye<br />

utumishi wa umma au afisi za serikali,na kama inavyoidhinishwa na<br />

sheria za Bunge.<br />

(3) (a) Sheria <strong>ya</strong> Bunge itatoa muda wa kushika cheo kwa wanakamati wa<br />

Kamati <strong>ya</strong> Ushauri;<br />

b) Taratibu za Kamati <strong>ya</strong> Ushauri<br />

(c) Kigezo ambacho kitatumiwa na Kamati <strong>ya</strong> Ushauri katika kueleza<br />

ushauri<br />

wake.<br />

(4) Kwa kutekeleza mamlaka aliyopewa katika ibara (1), Rais wa Taifa<br />

anaweza-<br />

(a) Kumsamehe mtu ambaye amepatikana na hatia, ama huru au kwa<br />

masharti;<br />

(b) Kuhairisha ama, kwa muda fulani mahususi au kwa muda<br />

usiojulikana, utekelezaji wa adhabu.<br />

(c) Kubadili adhabu ndogo kwa adhabu inayostihili.<br />

(d) Kusamehe semu <strong>ya</strong> adhabu au adhabu yote.<br />

(5) Kamati <strong>ya</strong> ushauri itatilia maanani maoni <strong>ya</strong> wathiriwa wa hatia kutokana<br />

nayo, ambapo watapendekeza <strong>ya</strong> kutekelezwa kwa mamlaka <strong>ya</strong> msamaha<br />

na Rais wa Taifa.<br />

Ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />

173. (1) Kutakuwa na Naibu Rais wa Taifa wa Jamhuri.<br />

(2) Kila mgombeaji u<strong>cha</strong>guzi wa Urais atateua mtu ambaye amehitimu kwa<br />

u<strong>cha</strong>guzi Rais wa Taifa kama mgombeaji wa u<strong>cha</strong>guziwa Naibu Rais wa Taifa.<br />

(3) tume huru <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi na na Mipaka <strong>ya</strong> maeneo Bunge haitafan<strong>ya</strong><br />

u<strong>cha</strong>guzi<br />

wa kando wa Naibu Rais wa Taifa lakini<br />

itatangaza yula ambaye ameteuliwa<br />

na aliye<strong>cha</strong>guliwa<br />

Rais wa Taifa kuwa ndiye ame<strong>cha</strong>guliwa kuwa Naibu Rais<br />

wa Taifa.<br />

(4) Kuapishwa kwa Naibu Rais wa Taifa kutafanyika mbele <strong>ya</strong> Hakimu Mkuu<br />

au iwapo Hakimu Mkuu hayupo, mbele <strong>ya</strong> Nibu wa Hakumu Mkuu N wananchi.<br />

(5) Naibu Rais wa Taifa mteule Atachukua mamlaka kwa kula na kutia sainia)<br />

Kiapo <strong>cha</strong> uaminifu; na<br />

b) Kiapo <strong>cha</strong> kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi kama ilivyoidhinishwa katika<br />

Mpangilio wa Tatu.<br />

(6) Mashart <strong>ya</strong> Ofisi <strong>ya</strong> Naibi Rais wa Taifa <strong>ya</strong>tanza kutumuka kutoka siku ile<br />

Rais wa Taifa atachukua mamlaka na kukomaa)<br />

Wakati Rais Mp<strong>ya</strong> wa Taifa aliye<strong>cha</strong>guliwa atachukua mamlaka;<br />

b) Wakati Naibu Rais wa Taifa atachukua mamlaka <strong>ya</strong> Rais;<br />

c) Aikijuzulu , kuaga dunia au kuachizwa kazi.<br />

(7) Naibu Rais wa Taifa ananweza, kwa wakati wowote, kujiuzulu kwa<br />

kumwandikiia notisi Rais wa Taifa na kujiuzulu huku kutaanza kutekelezwa saa<br />

na tarehe iliobaishwa katika notisi hiyo, iwapo tare haijabainishwa, adhuhuri <strong>ya</strong><br />

siku <strong>ya</strong> kupokelewa kwa notisi hiyo.<br />

(8) Naibu Naibu Rais wa taifa hahudumu kwa zaidi <strong>ya</strong> vipindi viwili.<br />

(9) Kwa kusudi la ibara (8), mtu Yule ambaye ameendelea kuhudumu kama<br />

Naibu Rais waTaifa angalau kwa muda wa miaka miwili na nusu <strong>ya</strong> kipindi <strong>cha</strong><br />

Rais wa Taifa, itachukuliwa kuwa ametumikia kipindi kizima.<br />

Nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />

174. (1) Iwapo kuna nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais Wa Taifa, Rais wa Taifa, kwa<br />

muda wa siku kumi na nne za ofisi hii kuwa wazi, atamteua mtu ambaye<br />

ataidhinishwa na Bunge kujaza nafasi hii.<br />

(2) Bunge litapiga kura <strong>ya</strong> uamuzi wa uteuzi ndani <strong>ya</strong> muda siku sitini.<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />

175 (1) Naibu Rais wa Taifa atakuwa Msaidizi Mkuu wa Rais wa Taifa na<br />

atamwakilisha Rais katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Rais.<br />

(2) Naibu Rais wa Taifa atatekeleza majukumu <strong>ya</strong>liyotolewa na <strong>Katiba</strong> au<br />

majukumu yoyote <strong>ya</strong> Rais wa Taifa atakayopewa na Rais.<br />

(3) Wakati Rais hatakuwa na uwezo kwa muda mfupi au hayumo Nchini,<br />

Naibu Rais wa Taifa takuwa kaimu Rais wa Tafa.<br />

(4) Naibu Rais wa Taifa hatashikilia ofisi nyingine <strong>ya</strong> Umma au Sarikali.<br />

Kifo kabla <strong>ya</strong> kuchukua mamlaka<br />

176. (1) Iwapo mtu ambaye ametangazwa kuwa Rais mteule wa Taifa anaaga<br />

dunia kabla <strong>ya</strong> kuchukua mamlaka Yule abba<strong>ya</strong> ameshatangazwa kuwa<br />

Naibu Rais wa Taifa atakuwa kaimu Rais na U<strong>cha</strong>guzi wa Rais wa Taifa<br />

kufanyika chini <strong>ya</strong> muda wa siku sititini baada <strong>ya</strong> kifo <strong>cha</strong> Rais mteule wa Taifa.<br />

(2) Iwapo mtu ambaye ametangazwa kuwa Naibu Rais mteule wa Taifa taaga<br />

dunia kabla <strong>ya</strong> kuchukua mamlaka, ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa itatangazwa<br />

kuwa wazi baada <strong>ya</strong> Rais mteule kuchukua mamlaka.<br />

(3) Iwapo Rais mteule wa Taifa pamoja na naibu Rais wa taifa wanaaga<br />

dunia kabla <strong>ya</strong> kuchukua maliaka, Spika wa Bunge atakuwa kaimu Rais wa<br />

Taifa na u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> kufanyika chini <strong>ya</strong> siku sitini baada <strong>ya</strong> kifo <strong>cha</strong> pili.<br />

Kuondolewa kwa naibi Rais wa taifa<br />

177.(1) Naibu Rais wa Taifa anaweza kuondolewa mamlakani-<br />

(a) kwa misingi <strong>ya</strong> kutokuwa na uwezo wa kiakili na kimwili wa<br />

kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> kiofisi;<br />

(b) kwa kura <strong>ya</strong> kutokuwa na imani-<br />

(i) kwa misingi <strong>ya</strong> ukiukaji mkubwa wa katiba hii au sheria;<br />

(ii) kwa sababu kuna sababu kubwa kuamini kuwa Naibu Rais wa<br />

Taifa amefan<strong>ya</strong> uhalifu wa jinai chini <strong>ya</strong> sheria za taifa na kimataifa<br />

(iii) utovu mkubwa wa nidhamu<br />

(2) Vipengele v<strong>ya</strong> katiba katika Vifingu v<strong>ya</strong> 169 na 170 vinavyohusiana na<br />

kutolewa kwa Rais wa Taifa, na kwa marekibisho <strong>ya</strong>nayotakikana, vitatumika<br />

katika kumwondoa Naibu Rais wa Taifa.<br />

Mshahara na marupurupu <strong>ya</strong> Rais wa Taifa na Naibu Rais wa Taifa<br />

178. (1) mshahara na marupurupu <strong>ya</strong>takayolipwa Rais wa Taifa na Naibu Rais wa<br />

Taifa <strong>ya</strong>tatoka kwa Hazina <strong>ya</strong>pamoja <strong>ya</strong> Fedha.<br />

(2) malipo na marupurupu na faida za Rais waTaifa na Naibu Rais wa Taifa<br />

ha<strong>ya</strong>tashushwa wakiwa ofisini na wakiwa wamestaafu.<br />

(3) Malipo<strong>ya</strong> uzeeni <strong>ya</strong>nayopaswa kulipwa Rais mstaafu wa Taifa na Naibu<br />

Rais mstaafu wa Taifa pamoja na marupurupu menginine wanayostahili<br />

ha<strong>ya</strong>tabadilishwa kwenda chini au kuondolewa katika uhai wao.<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!