Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
33<br />
na watu 500 waliosajiliwa kama wapiga kura katika wadi husika kama<br />
inavyoruhusiwa na Tume Huru <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka.<br />
(2) Mtu hataruhusiwa kugombea uana<strong>cha</strong>ma wa bunge la eneo kama:<br />
(a) ana cheo serikalini au ofisi <strong>ya</strong> umma, mbali na hiyo <strong>ya</strong> bunge la eneo<br />
ama wila<strong>ya</strong> anakowania kiti.<br />
(b) hana akili timamu<br />
(c) imetangazwa na kuthibitishwa kuwa amefilisika<br />
(d) anatumikia kifungo gerezani <strong>cha</strong> miezi sita au zaidi; au<br />
(e) amepatikana , kulingana na sheria yoyote, kwamba ametumia viba<strong>ya</strong><br />
ofisi <strong>ya</strong> umma ama kwa njia yoyote kukiuka kanuni za Sura <strong>ya</strong> Tisa.<br />
(3) Mtu hatazuiwa kulingana na ibara <strong>ya</strong> (2) ila tu uwezekano wa kukata<br />
rufani ama kesi <strong>ya</strong>ke kushughulikiwa up<strong>ya</strong> kwa kifungo <strong>cha</strong>ke na mbinu zote<br />
za kujitetea zimekwisha.<br />
Kuondoka katika ofisi kama mwana<strong>cha</strong>ma wa bunge la eneo au wila<strong>ya</strong><br />
237. (1) Ofisi <strong>ya</strong> mwana<strong>cha</strong>ma wa bunge la eneo au wila<strong>ya</strong> huwa wazi kutokana na:<br />
(a) mwana<strong>cha</strong>ma akifa;<br />
(b) mwana<strong>cha</strong>ma akijiuzulu na kumwandikia kiongozi wa bunge.<br />
(c) kama mtu huyo akipigwa marufuku kwa mujibu wa Kifungu <strong>cha</strong><br />
236(8)<br />
(d) kwisha kwa kipindi <strong>cha</strong>ke <strong>cha</strong> bunge<br />
(e) kama mwana<strong>cha</strong>ma atakosa vikao vinane muhimu v<strong>ya</strong> bunge bila<br />
idhini <strong>ya</strong> maandishi kwa kiongozi wa shughuli za bunge.<br />
(f) kama mwana<strong>cha</strong>ma ataondolewa ofisini kisheria ilivyowekwa katika<br />
Kifungu <strong>cha</strong> 101;<br />
(g) kama mwana<strong>cha</strong>ma atajiuzulu ama kufukuzwa kutoka katika <strong>cha</strong>ma<br />
<strong>cha</strong> siasa kulingana na Kifungu <strong>cha</strong> 115; au<br />
(h) baada <strong>ya</strong> ku<strong>cha</strong>guliwa bungeni kama mgombea huru, anajiunga na<br />
<strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> kisiasa.<br />
Uwezo wa kuita mashahidi<br />
238. (1) bunge la eneo au wila<strong>ya</strong> lina uwezo wa kumwita mtu yeyote mbele <strong>ya</strong>ke<br />
ama <strong>ya</strong> kamati <strong>ya</strong>ke yoyote ili kutoa ushahidi au habari zinazotakikana.<br />
(2) Kulingana na kifungu <strong>cha</strong> (1), bunge lina mamlaka <strong>ya</strong> Mahakama Kuu juu<br />
<strong>ya</strong>:<br />
(a) kuhimiza mahudhurio <strong>ya</strong> mashahidi na kuwahoji baada <strong>ya</strong> kula kiapo.<br />
(b) kuwalazimisha mashahidi kutoa n<strong>ya</strong>raka muhimu mahakamani<br />
(c) kutafuta idhini <strong>ya</strong> kuwahoji mashahidi ng’ambo<br />
Ushirikiano na umma, uwezo, nafuu na ulinzi<br />
239. (1) Vifungu 149 na 150 vinarejelea wana<strong>cha</strong>ma wa mabaraza <strong>ya</strong> eneo na<br />
<strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong> kwa idadi sawa na vile walivyokuqwa wakiomba viti v<strong>ya</strong> uana<strong>cha</strong>ma<br />
wa nbunge.<br />
Usawa na tofauti za kijinsia<br />
240. (1) Si zaidi <strong>ya</strong> theluthi mbili <strong>ya</strong> wana<strong>cha</strong>ma wa bunge lililobuniwa kulingana na<br />
sura wanafaa kluwa wa jinsia moja.<br />
(2) Kisheria, Bunge litahakikisha kwamba wingi wa masuala <strong>ya</strong> utamaduni na<br />
sheria <strong>ya</strong> eneo au willa<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naonyeshwa katika mashirika yenye uwezo mkuu.<br />
(3) Bila kujifunga tu na ibara <strong>ya</strong> (2), kitengo <strong>cha</strong> sheria kitalinda maslahi <strong>ya</strong><br />
jamii zilizotengwa katika wila<strong>ya</strong> zote.<br />
Serikali katika kipindi <strong>cha</strong> mpwito<br />
241. Wakati u<strong>cha</strong>guzi unapoendelea ili kuunda kikao katika Sura hii, kamati<br />
kuu iliyoundwa awali inabakia ilivyokuwa kuendesha shughuli za bunge hadi<br />
itakapoundwa up<strong>ya</strong> baada <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi.<br />
Ku<strong>cha</strong>pishwa kwa sheria<br />
242. (1) Sheria ama kanuni nyingine zisizo na mamlaka makubwa na kuundwa na<br />
bunge au kamati kuu haiwezi kuchukua hatamu za uongozi hadi itangazwe<br />
katika Gazeti rami la Serikali.<br />
(2) Sheria za taifa, wila<strong>ya</strong> na mikoa zaweza kuwa na mahitaji mengi <strong>ya</strong> serikali<br />
iliyogatuliwa.<br />
(3) <strong>ya</strong> kila sheria au kanuni nyinginezo zilizoundwa na bunge au kamati kuu<br />
<strong>ya</strong> serikali iliyogatuliwa itawasilishwa kwa Rekodi <strong>ya</strong> Sheria zilizoundwa.<br />
Vipengele vitakavyoundwa na Sheria za Bunge<br />
243. (1) Bunge, kulingana na sheria litaunda taratibu kabambe katika masuala yote<br />
muhimu au <strong>ya</strong> lazima kwa mujibu wa Sura hii.<br />
(2) Nafasi <strong>ya</strong>weza kutolewa <strong>ya</strong>:<br />
(a) usimamizi wa Nairobikama jiji kuu, miji mingine mikuu na miji<br />
mingine<br />
(b) kuhamishwa kwa mamlaka na shughuli kwa ngazi moja <strong>ya</strong> serikali<br />
hadi nyingine, pamoja na kuhamishwa kutoka kwa serikali <strong>ya</strong> taifa hadi<br />
serikali za maeneo ama za wila<strong>ya</strong> kisheria kulingana na a<strong>ya</strong> zifuatazo<br />
za Sheria za Bunge na masharti <strong>ya</strong> kuhamisha na kurudisha mamlaka<br />
<strong>ya</strong>liyohamishwa.<br />
(c) taratibu za u<strong>cha</strong>guzi ama uteuzi wa watu, na kuwato mamlakani<br />
katika seriklali za ugatuzi, pamoja na uwezo wa wapiga kura na<br />
wagombea viti.<br />
(d) taratibu za mabaraza na kamati kuu pamoja na uenyekiti, mfuatano<br />
wa mikutano, mahudhurio na upigaji kura; na<br />
(e) kusimamisha kwa muda kwa mabaraza na kamati kuu.<br />
FEDHA ZA UMMA<br />
SURA YA KUMI NA TANO<br />
Sehemu- 1 Usimamizi wa fedha na mapato <strong>ya</strong> Serikali<br />
Kanuni na malengo <strong>ya</strong> usimamizi wa fedha na mapato <strong>ya</strong> umma<br />
244. Malengo <strong>ya</strong> kimsingi <strong>ya</strong> mfumo wa usimamizi wa fedha na mapato <strong>ya</strong> umma<br />
ni kuhakikisha-<br />
(a) kuzalisha mapato kwa ufanisi na kunakofaa.<br />
(b) kuzingatia kanuni za uwazi na kuwajibika katika , kuthibiti kunakofaa<br />
kwa usimamizi wa-<br />
(i) mikopo na matumizi <strong>ya</strong>; na<br />
(ii) bajeti na taratibu za bajeti<br />
(c) usawa katika kutafuta mapato na kugawa rasilmali <strong>ya</strong> kitaifa na<br />
asilia kote nchini na kujali mahitaji maalum <strong>ya</strong> jumuia zilizizotengwa;<br />
(d) utekelezaji wa kanuni, usawa wa ushuru, usawa katika kutozwa<br />
ushuru kulingana na uwezo wa kiuchumi.<br />
(e) Kutozwa ushuru, kutitilia maanani mzigo wa ushuru wa moja kwa<br />
moja kwa serikali zilizogatuliwapamoja na wananchi.<br />
(f) kwamba uzito na faida za ukopaji wa umma umegawa kwa usawa<br />
miongoni mwa vizazi v<strong>ya</strong> sasa na vizazi vijavyo.<br />
(g) kwa bajeti na taratibu za bajeti zinakuza uwazi, uwajibibikaji na<br />
ufanisi katika usisimamizi wa uchumi wa kifedha, madeni na utumishi<br />
wa umma; na<br />
(h) kwamba, hesabu za pesa za serikali zime kaguliwa na kutolewa ripoti<br />
mara kwa mara.<br />
Sehemu 2- Mamlaka <strong>ya</strong> Ushuru na Kugawa Mapato<br />
Kutoza Ushuru<br />
245. (1) hakuna mtu au mamlaka yoyote ambayo-<br />
(a) kutoz, ushuru, ada au malipo kwa niaba <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong><br />
kitaifa au serikali iliyogatuliwa, isipokuwa chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> sheria; au<br />
(b) kuvutilia au kubadilisha ushuru, ada au kutoza malipo<strong>ya</strong>liyo chini <strong>ya</strong><br />
sheria isipokuwa kamainavyopendekezwa na sheria.<br />
(2) Sheria ambazo zinakubalia kuvutiliwa mbali kwa ushuru wowote ,ada<br />
au malipo, zitahakikisha kwamba rekodi <strong>ya</strong> kuvutiliwa mbali kwa ushuru<br />
kama huu na sababu zake zinahifhadhiwa na kupelekewa Mkaguzi Mkuu wa<br />
Hesabu za serikali.<br />
(3) hakuna sheria ambayo inaweza kumwingiza au kumwandoa ofisa wa<br />
Serikali katika ulipaji wa ushuru kwa sababuza-<br />
(a) mamlaka <strong>ya</strong>nayoshikiliwa na ofisa wa Serikali; au<br />
(b) hali <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> ofisa wa Serikali.<br />
Mamlaka <strong>ya</strong> Kutoza Ushuru<br />
246. (1) Kutoza ushuru na mamlaka megine <strong>ya</strong> kutafuta mapato <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong><br />
kitaifa na serikali zilizogatuliwa <strong>ya</strong>mo katika Mpangilio wa Tano<br />
(2 Kutoza ushuru na mamlaka mengine <strong>ya</strong> kutafuta mapato kwa serikali<br />
iliyogatuliwa ha<strong>ya</strong>tatekelezwa kwa njia ambazo zitaaathiri mapendeleo <strong>ya</strong><br />
bsre za uchumi wa taifa, kazi za kiuchumi kupita mipaka <strong>ya</strong> maeneo au<br />
usambazaji wa mali na huduma , mtaji au leba.<br />
(3) Pale ambapo serikali mbili au zaidi zitakuwa na utozaji ushuru au mamlaka<br />
na majukumu mengine <strong>ya</strong> kotafuta mapato kwa ajili <strong>ya</strong> suala lile, kuganywa<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja