Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
9<br />
mwisho, na, wakishikwa au kufungwa, washughulikiwe katika njia<br />
zinazotukuza maadili <strong>ya</strong> mtoto na kuzingatia haki zake, ikiwemo japo sio<br />
lazima haki za-<br />
(i) kufungwa kwa muda kiasi kidogo tu;<br />
(ii) kutenganishwa na watu wazima katika jela;<br />
(iii) kupewa usaidizi wa kisheria na Serikali; na<br />
(iv) kushughulikiwa katika njia, na kuweka katika hali ambazo<br />
zitazingatia ulemavu wa mtoto, endapo upo, jinsia na umri;<br />
(j) kuwa na wakili aliyetolewa na Serikali na kwa gharama <strong>ya</strong> Serikali<br />
katika vikao v<strong>ya</strong> mahakama kumhusu mtoto huyo, kando na <strong>ya</strong>le<br />
<strong>ya</strong>nayofikiriwa katika a<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> (k) endapo kutakosekana haki;<br />
(k) kujua maamuzi <strong>ya</strong>nayowahusu, kutoa maoni na maoni hayo<br />
kuzingatiwa, kulingana na jinsia na ukomavu wa mtoto huyo na hali <strong>ya</strong><br />
uamuzi.<br />
(7) Watoto wenye mahitaji maalumu wana haki <strong>ya</strong> kupewa ulinzi maalum wa<br />
Serikali na jamii.<br />
(8) Serikali itachukua hatua za kisheria na nyinginezo kutekeleza maelezo <strong>ya</strong><br />
<strong>Katiba</strong> hii na <strong>ya</strong> nyenzo za viwango v<strong>ya</strong> kimataifa kuhusu haki za mtoto.<br />
Hadhi <strong>ya</strong> kibinadamu<br />
45. (1) Kila mtu ana hadhi <strong>ya</strong> kuzaliwa na haki <strong>ya</strong> kuheshimiwa na kulindwa kwa<br />
hadhi hiyo –<br />
(2)Hadhi <strong>ya</strong> kuzaliwa <strong>ya</strong> kila mtu-<br />
(a) inajumuisha haki <strong>ya</strong> kuzika/kuchoma mabaki <strong>ya</strong> wafu katika njia <strong>ya</strong><br />
heshima; na<br />
(b) inaendelea hadi wakati wa kuzikwa au kuchomwa kwao.<br />
Uhuru na usalama wa mtu<br />
46. Kila mtu ana haki <strong>ya</strong> uhuru na usalama wake, unaojumuisha haki <strong>ya</strong>-<br />
(a) kutonyimwa uhuru kiholela bila sababu mwafaka;<br />
(b) kutofungwa bila kushtakiwa mahakamani, isipokuwa wakati wa hali<br />
<strong>ya</strong> hatari ambapo kifungo <strong>cha</strong> sampuli hiyo kinaelezwa katika Kifungu 74;<br />
(c) kuwa huru dhidi <strong>ya</strong> aina zote za ghasia kutoka kwa umma au watu<br />
bianafsi;<br />
(d) kutoteswa katika njia yoyote ile, iwe <strong>ya</strong> kimwili ay kisaikolojia;<br />
(e) kutopewa adhabu <strong>ya</strong> kali au kushughulikiwa katika adhabu za<br />
kudhalilisha ubinadamu.<br />
Familia<br />
42. (1) Familia ndio kitengo <strong>cha</strong> kiasili na kimsingi <strong>cha</strong> jamii na msingi muhimu<br />
katika mpangilio wa jamii.<br />
(2) Kila mtu mzima anayo haki <strong>ya</strong> kuoa mtu wa jinsi tofauti kutokana na<br />
makubaliano <strong>ya</strong>o.<br />
(3) Kila mtu mzima anayo haki <strong>ya</strong> kuanzisha familia.<br />
(4) Wahusika katika ndoa wana haki sawa wakati wa kuoana, katika ndoa na<br />
wakati wa kuvunjwa ndoa <strong>ya</strong>o.<br />
(5) Bunge litatunga sheria inayotambua-<br />
(a) ndoa zilizotekelezwa chini <strong>ya</strong> utamaduni wowote, au mfumo wowote<br />
wa kidini, kibinafsi au sheria <strong>ya</strong> familia; na<br />
(b) Sheria <strong>ya</strong> kibinfsi au familia chini <strong>ya</strong> utamaduni wowote, au<br />
inayofuatwa na watu waumini wa dini fulani, kwa kiwango kwamba ndoa<br />
au mifumo kama hiyo inazingatia <strong>Katiba</strong> hii.<br />
Walemavu<br />
43. (1) Walemavu wana haki <strong>ya</strong> kufurahia haki zote na uhuru wa kimsingi<br />
uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki na kuwa washiriki kwa ukamilifu katika jamii.<br />
(2) Walemavu wana haki <strong>ya</strong>-<br />
(a) kuheshimiwa na kupewa maadili <strong>ya</strong> kibinadamu ikiwemo,<br />
kushughulikiwa, kuzungumziwa na kurejelewa, katika miktadha rasmi au<br />
<strong>ya</strong> faragha katika njia na maneno <strong>ya</strong>siyowadunisha au kuwadhalilisha;<br />
(b) kuafikia elimu na taasisi na vifaa v<strong>ya</strong> walemavu vilivyomo katika<br />
jamii na kwa jinsi inavyopaswa kutumiwa kwa maslahi <strong>ya</strong>o;<br />
(c) kuafikia ipasavyo sehemu zote zinazofikwa na umma, usafiri wa<br />
umma na habari na mawasiliano;<br />
(d) kutumia lugha <strong>ya</strong> ishara, Breli na njia nyingine mwafaka za<br />
mawasiliano;<br />
(e) kushiriki katika maamuzi katika viwango vyote;<br />
(f) kuwa na haki za sawa za kurithi, kuafikia, na kusimamia mali;<br />
(g) kuafikia nyenzo na vifaa vinavyoweza kuwasaidia kuukabili ulemavu<br />
huo; na<br />
(h) kushughulikiwa na kupewa nafasi katika anga zote za maisha<br />
ambazo ni bora na sawa kwa wenzao wengine katika jamii.<br />
(3) Serikali itachukua hatua za kishheria na nyinginezo, ikiwemo maelezo<br />
maalumu kwa wanawake, ili kuhakikisha kuwa walemavu wanafurahia haki zote<br />
zinazorejelewa katika ibara <strong>ya</strong> (2).<br />
Makundi tengwa<br />
44. (1) Makundi tengwa <strong>ya</strong>na uhuru wa kufurahia haki zote na uhuru wa kimsingi<br />
uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki kwa misingi <strong>ya</strong> usawa, ikizingatiwa asili <strong>ya</strong>o,<br />
utamaduni wao, hali na mahitaji <strong>ya</strong>o maalumu.<br />
(2) Serikali itachukua hatua za kisheria na nyinginezo kuweka mipango <strong>ya</strong> usawa<br />
iliopangwa kunufaisha makundi tengwa katika jamii.<br />
(3) Hatua zinazorejelewa katika ibara <strong>ya</strong> (2) zitajumuisha hatua za kuhakikisha<br />
kuwa makundi tengwa-<br />
(a) <strong>ya</strong>nashiriki na kuwakilishwa kwa ukamilifu katika uongozi na katika<br />
anga zote za maisha <strong>ya</strong> kitaifa;<br />
(b) <strong>ya</strong>napewa nafasi maalumu katoka n<strong>ya</strong>nja za elimu na uchumi;<br />
(c) <strong>ya</strong>napewa nafasi maalumu <strong>ya</strong> kuafikia ajira <strong>ya</strong> kufaidisha;<br />
(d) <strong>ya</strong>nasaidiwa kukuza tamaduni zao, lugha na kaida zao;<br />
(e) <strong>ya</strong>nasaidiwa kufikia maji, huduma za af<strong>ya</strong> na mindo msingo <strong>ya</strong> usafiri;<br />
(f) <strong>ya</strong>nakuwa na nafasi sawa <strong>ya</strong> kufikia mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kimsingi; na<br />
(g) <strong>ya</strong>naishi maisha <strong>ya</strong>siyo na kubaguliwa, kun<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>swa au kutumiwa viba<strong>ya</strong>.<br />
Utumwa na kazi <strong>ya</strong> kulazimishwa<br />
47. (1) Hakuna mtu atayewekwa katika utumwa.<br />
(2) Mtu hatahitajika kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kulazimishwa.<br />
Usiri<br />
48. Kila mtu anayo haki <strong>ya</strong> usiri wake, inayojumuisha haki <strong>ya</strong>–<br />
(a) kutosakwa kwao au maboma <strong>ya</strong>o;<br />
(b) mali <strong>ya</strong>o kusakwa;<br />
(c) milki zao kun<strong>ya</strong>kuliwa;<br />
(d) habari kuhusiana na familia zao au mambo <strong>ya</strong>o siri kuulizwa au<br />
kufichuliwa kiholela; au<br />
(e) siri za mawasiliano <strong>ya</strong>o kuvunjwa.<br />
Uhuru wa dhamiri, dini, imani na maoni<br />
49. (1)Kila mtu ana haki <strong>ya</strong> uhuru wa kuwa na msimamo, dini, mawazo,<br />
imani na maoni -<br />
(2) Kila mtu anayo haki, ama kibinafsi au na wengine katika jumuia, kwa wazi<br />
au kisiri, kufuata dini au imani yoyote kupitia ibada, maadhimisho, ikiwemo<br />
mazingatio <strong>ya</strong> siku za ibada, matendo na mafunzo.<br />
(3)Kila jumuia <strong>ya</strong> kidini ina haki <strong>ya</strong> kuanzisha na kuendesha pahali pa mafunzo<br />
kwa gharama <strong>ya</strong>ke na kutoa maagizo <strong>ya</strong> kidini kwa watu wa jumuia hiyo wakati<br />
wa utoaji wa mafunzo hayo.<br />
(4) Shughuli na maagizo <strong>ya</strong> kidini zinaweza kufanyiwa Nchini au katika taasisi za<br />
Kitaifa ikiwa-<br />
(a) zinafanywa kwa misingi <strong>ya</strong> usawa; na<br />
(b) mahudhurio katika shughuli na maagizo hayo ni <strong>ya</strong> kujitolea; na<br />
(5) Mtu hapaswi kuzuiwa kuafikia taasisi yoyote, ajira au jengo au kufurahia haki<br />
yoyote kwa sababu <strong>ya</strong> imani zao za kidini.<br />
(6) Mtu hatalazimishwa-<br />
(a) kuapa kiapo kinachokwenda kinyume <strong>cha</strong> dini au imani <strong>ya</strong>ke au<br />
inayohusisha kuonyesha imani isiyoshikiliwa na mtu huyo;<br />
(b) kuapa katika njia inayokwenda kinyume <strong>cha</strong> dini au imani <strong>ya</strong> mtu<br />
huyo au inayohusisha kuonyesha imani isiyoshikiliwa na mtu huyo;<br />
(c) kupokea maagizo <strong>ya</strong> kidini au kushiriki katika au kuhudhuria sherehe<br />
au kuzingatia siku <strong>ya</strong> kupumzika au shughuli nyingine zinazohusiana na<br />
dini isiyo <strong>ya</strong> mtu huyo;<br />
(d) kufan<strong>ya</strong>, kuzingatia au kupitia kaida za kidini;<br />
(e) kufichua imani za au misimamo <strong>ya</strong> kidini <strong>ya</strong> mtu huyo; au<br />
(f) kushiriki katika kitndo chochote kisichoambatana na imani au dini <strong>ya</strong><br />
mtu huyo.<br />
Uhuru wa kujieleza<br />
50.(1) Kila mtu ana haki <strong>ya</strong> uhuru wa kujieleza unaojumuisha -<br />
(a) uhuru wa kutafuta, kupokea au kutoa habari au kauli;<br />
(b) uhuru wa kubuni kisanii; na<br />
(c) uhuru wa kiakademia na utafiti wa kisa<strong>ya</strong>nsi.<br />
(2) Haki inayorejelewa katika ibara <strong>ya</strong> (1) haifiki kwenye kiwango <strong>cha</strong>-<br />
(a) propaganda <strong>ya</strong> vita;<br />
(b) uchochezi wa ghasia<br />
(c) hotuba za chuki; au<br />
(d) utetezi wa chuki-<br />
(i) unaojumuisha uchochezi wa kikabila, matusi <strong>ya</strong>w engine au<br />
uchochezi wa kusababisha maafa; au<br />
(ii) unaotokana na misingi <strong>ya</strong> ubaguzi iliokataliwa kwa mujibu wa<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja