04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

9<br />

mwisho, na, wakishikwa au kufungwa, washughulikiwe katika njia<br />

zinazotukuza maadili <strong>ya</strong> mtoto na kuzingatia haki zake, ikiwemo japo sio<br />

lazima haki za-<br />

(i) kufungwa kwa muda kiasi kidogo tu;<br />

(ii) kutenganishwa na watu wazima katika jela;<br />

(iii) kupewa usaidizi wa kisheria na Serikali; na<br />

(iv) kushughulikiwa katika njia, na kuweka katika hali ambazo<br />

zitazingatia ulemavu wa mtoto, endapo upo, jinsia na umri;<br />

(j) kuwa na wakili aliyetolewa na Serikali na kwa gharama <strong>ya</strong> Serikali<br />

katika vikao v<strong>ya</strong> mahakama kumhusu mtoto huyo, kando na <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>nayofikiriwa katika a<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> (k) endapo kutakosekana haki;<br />

(k) kujua maamuzi <strong>ya</strong>nayowahusu, kutoa maoni na maoni hayo<br />

kuzingatiwa, kulingana na jinsia na ukomavu wa mtoto huyo na hali <strong>ya</strong><br />

uamuzi.<br />

(7) Watoto wenye mahitaji maalumu wana haki <strong>ya</strong> kupewa ulinzi maalum wa<br />

Serikali na jamii.<br />

(8) Serikali itachukua hatua za kisheria na nyinginezo kutekeleza maelezo <strong>ya</strong><br />

<strong>Katiba</strong> hii na <strong>ya</strong> nyenzo za viwango v<strong>ya</strong> kimataifa kuhusu haki za mtoto.<br />

Hadhi <strong>ya</strong> kibinadamu<br />

45. (1) Kila mtu ana hadhi <strong>ya</strong> kuzaliwa na haki <strong>ya</strong> kuheshimiwa na kulindwa kwa<br />

hadhi hiyo –<br />

(2)Hadhi <strong>ya</strong> kuzaliwa <strong>ya</strong> kila mtu-<br />

(a) inajumuisha haki <strong>ya</strong> kuzika/kuchoma mabaki <strong>ya</strong> wafu katika njia <strong>ya</strong><br />

heshima; na<br />

(b) inaendelea hadi wakati wa kuzikwa au kuchomwa kwao.<br />

Uhuru na usalama wa mtu<br />

46. Kila mtu ana haki <strong>ya</strong> uhuru na usalama wake, unaojumuisha haki <strong>ya</strong>-<br />

(a) kutonyimwa uhuru kiholela bila sababu mwafaka;<br />

(b) kutofungwa bila kushtakiwa mahakamani, isipokuwa wakati wa hali<br />

<strong>ya</strong> hatari ambapo kifungo <strong>cha</strong> sampuli hiyo kinaelezwa katika Kifungu 74;<br />

(c) kuwa huru dhidi <strong>ya</strong> aina zote za ghasia kutoka kwa umma au watu<br />

bianafsi;<br />

(d) kutoteswa katika njia yoyote ile, iwe <strong>ya</strong> kimwili ay kisaikolojia;<br />

(e) kutopewa adhabu <strong>ya</strong> kali au kushughulikiwa katika adhabu za<br />

kudhalilisha ubinadamu.<br />

Familia<br />

42. (1) Familia ndio kitengo <strong>cha</strong> kiasili na kimsingi <strong>cha</strong> jamii na msingi muhimu<br />

katika mpangilio wa jamii.<br />

(2) Kila mtu mzima anayo haki <strong>ya</strong> kuoa mtu wa jinsi tofauti kutokana na<br />

makubaliano <strong>ya</strong>o.<br />

(3) Kila mtu mzima anayo haki <strong>ya</strong> kuanzisha familia.<br />

(4) Wahusika katika ndoa wana haki sawa wakati wa kuoana, katika ndoa na<br />

wakati wa kuvunjwa ndoa <strong>ya</strong>o.<br />

(5) Bunge litatunga sheria inayotambua-<br />

(a) ndoa zilizotekelezwa chini <strong>ya</strong> utamaduni wowote, au mfumo wowote<br />

wa kidini, kibinafsi au sheria <strong>ya</strong> familia; na<br />

(b) Sheria <strong>ya</strong> kibinfsi au familia chini <strong>ya</strong> utamaduni wowote, au<br />

inayofuatwa na watu waumini wa dini fulani, kwa kiwango kwamba ndoa<br />

au mifumo kama hiyo inazingatia <strong>Katiba</strong> hii.<br />

Walemavu<br />

43. (1) Walemavu wana haki <strong>ya</strong> kufurahia haki zote na uhuru wa kimsingi<br />

uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki na kuwa washiriki kwa ukamilifu katika jamii.<br />

(2) Walemavu wana haki <strong>ya</strong>-<br />

(a) kuheshimiwa na kupewa maadili <strong>ya</strong> kibinadamu ikiwemo,<br />

kushughulikiwa, kuzungumziwa na kurejelewa, katika miktadha rasmi au<br />

<strong>ya</strong> faragha katika njia na maneno <strong>ya</strong>siyowadunisha au kuwadhalilisha;<br />

(b) kuafikia elimu na taasisi na vifaa v<strong>ya</strong> walemavu vilivyomo katika<br />

jamii na kwa jinsi inavyopaswa kutumiwa kwa maslahi <strong>ya</strong>o;<br />

(c) kuafikia ipasavyo sehemu zote zinazofikwa na umma, usafiri wa<br />

umma na habari na mawasiliano;<br />

(d) kutumia lugha <strong>ya</strong> ishara, Breli na njia nyingine mwafaka za<br />

mawasiliano;<br />

(e) kushiriki katika maamuzi katika viwango vyote;<br />

(f) kuwa na haki za sawa za kurithi, kuafikia, na kusimamia mali;<br />

(g) kuafikia nyenzo na vifaa vinavyoweza kuwasaidia kuukabili ulemavu<br />

huo; na<br />

(h) kushughulikiwa na kupewa nafasi katika anga zote za maisha<br />

ambazo ni bora na sawa kwa wenzao wengine katika jamii.<br />

(3) Serikali itachukua hatua za kishheria na nyinginezo, ikiwemo maelezo<br />

maalumu kwa wanawake, ili kuhakikisha kuwa walemavu wanafurahia haki zote<br />

zinazorejelewa katika ibara <strong>ya</strong> (2).<br />

Makundi tengwa<br />

44. (1) Makundi tengwa <strong>ya</strong>na uhuru wa kufurahia haki zote na uhuru wa kimsingi<br />

uliodokezwa katika Sheria <strong>ya</strong> Haki kwa misingi <strong>ya</strong> usawa, ikizingatiwa asili <strong>ya</strong>o,<br />

utamaduni wao, hali na mahitaji <strong>ya</strong>o maalumu.<br />

(2) Serikali itachukua hatua za kisheria na nyinginezo kuweka mipango <strong>ya</strong> usawa<br />

iliopangwa kunufaisha makundi tengwa katika jamii.<br />

(3) Hatua zinazorejelewa katika ibara <strong>ya</strong> (2) zitajumuisha hatua za kuhakikisha<br />

kuwa makundi tengwa-<br />

(a) <strong>ya</strong>nashiriki na kuwakilishwa kwa ukamilifu katika uongozi na katika<br />

anga zote za maisha <strong>ya</strong> kitaifa;<br />

(b) <strong>ya</strong>napewa nafasi maalumu katoka n<strong>ya</strong>nja za elimu na uchumi;<br />

(c) <strong>ya</strong>napewa nafasi maalumu <strong>ya</strong> kuafikia ajira <strong>ya</strong> kufaidisha;<br />

(d) <strong>ya</strong>nasaidiwa kukuza tamaduni zao, lugha na kaida zao;<br />

(e) <strong>ya</strong>nasaidiwa kufikia maji, huduma za af<strong>ya</strong> na mindo msingo <strong>ya</strong> usafiri;<br />

(f) <strong>ya</strong>nakuwa na nafasi sawa <strong>ya</strong> kufikia mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kimsingi; na<br />

(g) <strong>ya</strong>naishi maisha <strong>ya</strong>siyo na kubaguliwa, kun<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>swa au kutumiwa viba<strong>ya</strong>.<br />

Utumwa na kazi <strong>ya</strong> kulazimishwa<br />

47. (1) Hakuna mtu atayewekwa katika utumwa.<br />

(2) Mtu hatahitajika kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kulazimishwa.<br />

Usiri<br />

48. Kila mtu anayo haki <strong>ya</strong> usiri wake, inayojumuisha haki <strong>ya</strong>–<br />

(a) kutosakwa kwao au maboma <strong>ya</strong>o;<br />

(b) mali <strong>ya</strong>o kusakwa;<br />

(c) milki zao kun<strong>ya</strong>kuliwa;<br />

(d) habari kuhusiana na familia zao au mambo <strong>ya</strong>o siri kuulizwa au<br />

kufichuliwa kiholela; au<br />

(e) siri za mawasiliano <strong>ya</strong>o kuvunjwa.<br />

Uhuru wa dhamiri, dini, imani na maoni<br />

49. (1)Kila mtu ana haki <strong>ya</strong> uhuru wa kuwa na msimamo, dini, mawazo,<br />

imani na maoni -<br />

(2) Kila mtu anayo haki, ama kibinafsi au na wengine katika jumuia, kwa wazi<br />

au kisiri, kufuata dini au imani yoyote kupitia ibada, maadhimisho, ikiwemo<br />

mazingatio <strong>ya</strong> siku za ibada, matendo na mafunzo.<br />

(3)Kila jumuia <strong>ya</strong> kidini ina haki <strong>ya</strong> kuanzisha na kuendesha pahali pa mafunzo<br />

kwa gharama <strong>ya</strong>ke na kutoa maagizo <strong>ya</strong> kidini kwa watu wa jumuia hiyo wakati<br />

wa utoaji wa mafunzo hayo.<br />

(4) Shughuli na maagizo <strong>ya</strong> kidini zinaweza kufanyiwa Nchini au katika taasisi za<br />

Kitaifa ikiwa-<br />

(a) zinafanywa kwa misingi <strong>ya</strong> usawa; na<br />

(b) mahudhurio katika shughuli na maagizo hayo ni <strong>ya</strong> kujitolea; na<br />

(5) Mtu hapaswi kuzuiwa kuafikia taasisi yoyote, ajira au jengo au kufurahia haki<br />

yoyote kwa sababu <strong>ya</strong> imani zao za kidini.<br />

(6) Mtu hatalazimishwa-<br />

(a) kuapa kiapo kinachokwenda kinyume <strong>cha</strong> dini au imani <strong>ya</strong>ke au<br />

inayohusisha kuonyesha imani isiyoshikiliwa na mtu huyo;<br />

(b) kuapa katika njia inayokwenda kinyume <strong>cha</strong> dini au imani <strong>ya</strong> mtu<br />

huyo au inayohusisha kuonyesha imani isiyoshikiliwa na mtu huyo;<br />

(c) kupokea maagizo <strong>ya</strong> kidini au kushiriki katika au kuhudhuria sherehe<br />

au kuzingatia siku <strong>ya</strong> kupumzika au shughuli nyingine zinazohusiana na<br />

dini isiyo <strong>ya</strong> mtu huyo;<br />

(d) kufan<strong>ya</strong>, kuzingatia au kupitia kaida za kidini;<br />

(e) kufichua imani za au misimamo <strong>ya</strong> kidini <strong>ya</strong> mtu huyo; au<br />

(f) kushiriki katika kitndo chochote kisichoambatana na imani au dini <strong>ya</strong><br />

mtu huyo.<br />

Uhuru wa kujieleza<br />

50.(1) Kila mtu ana haki <strong>ya</strong> uhuru wa kujieleza unaojumuisha -<br />

(a) uhuru wa kutafuta, kupokea au kutoa habari au kauli;<br />

(b) uhuru wa kubuni kisanii; na<br />

(c) uhuru wa kiakademia na utafiti wa kisa<strong>ya</strong>nsi.<br />

(2) Haki inayorejelewa katika ibara <strong>ya</strong> (1) haifiki kwenye kiwango <strong>cha</strong>-<br />

(a) propaganda <strong>ya</strong> vita;<br />

(b) uchochezi wa ghasia<br />

(c) hotuba za chuki; au<br />

(d) utetezi wa chuki-<br />

(i) unaojumuisha uchochezi wa kikabila, matusi <strong>ya</strong>w engine au<br />

uchochezi wa kusababisha maafa; au<br />

(ii) unaotokana na misingi <strong>ya</strong> ubaguzi iliokataliwa kwa mujibu wa<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!