04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

23<br />

katika Ibara <strong>ya</strong> 162 wkwa wakati. Huo, katika sehemu hizo na kwa njia<br />

ambayo inaweza kuamriwa chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Bunge; na<br />

(c) baada <strong>ya</strong> kuhesabiwa kwa kura katika vituo v<strong>ya</strong> upigaji kura, Tume<br />

Huru <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka itahesabu na kuhakikisha hesabu <strong>ya</strong> kura<br />

na kutangaza matokeo.<br />

(4) Mgombeaji wa u<strong>cha</strong>guzi wa Urais wa Taifa atayepata-<br />

(a) zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> kura Zote zilizopigwa katika u<strong>cha</strong>guz; na<br />

(b) angalau asilimia ishirini na tano <strong>ya</strong> kura zilizopigwa katika maeneo<br />

mengi;<br />

Atatangazwa kuwa Rais mteule wa Taifa .<br />

(5) Iwapo hakuna mgombeaji ame<strong>cha</strong>guliwa,u<strong>cha</strong>guzi up<strong>ya</strong> mwingine<br />

utaifanyika katika kipindi <strong>cha</strong> siku thelathini baada <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi uliopita na<br />

katika u<strong>cha</strong>guzi huo mp<strong>ya</strong>, wagombeji watakuwa-<br />

(a) mgombeaji au wagombeaji ambao wamepata kura nyingi zaidi; na<br />

(b) mgombeaji au wagombeaji ambao wamepata idadi <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> wingi<br />

wa kura.<br />

(6) pale ambapo wagombeaji zaidi <strong>ya</strong> mmoja wamepata idadi kubwa zaidi <strong>ya</strong><br />

kura, ibara <strong>ya</strong>(6)(b) haitatumika na wagombeaji pekee katika u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong><br />

watakuwa wale ambao nuiwa na ibara <strong>ya</strong> (6) (a)<br />

(8) mgombeaji ambaye atapata idadi kubwa, au idadi kubwa zaidi <strong>ya</strong> kura,<br />

katika kutegemea hali hiyo, katika u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> atatangazwa kuwa Rais<br />

mteulewa Taifa.<br />

(9) u<strong>cha</strong>guzi wa Urais utafutiliwa mbali na u<strong>cha</strong>guzi mwingine kufanyika<br />

iwapo-<br />

(a) hakuna mtu ambaye ameteuliwa kama mgombea u<strong>cha</strong>guzi ambaye<br />

ameteuliwa kumalizika kabla <strong>ya</strong> kipindi kilichowekwa <strong>cha</strong> kuwasilisha<br />

hati za uteuzi;<br />

(b) mgombea u<strong>cha</strong>guzi ataaga dunia siku <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi au siku yoyote<br />

kati <strong>ya</strong> hizo ambapo u<strong>cha</strong>guzi unafanyika au utafanyika.;au<br />

(c) mgombea u<strong>cha</strong>guzi ambaye alistahili kutangazwa kuwa Rais<br />

Mteule wa Taifa kuaaga dunia baada <strong>ya</strong> kuanza kushinda u<strong>cha</strong>guzi lakini<br />

kabla <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kutangazwa Rais mteule wa Taifa.<br />

(10) u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> wa Urais chini <strong>ya</strong> kifungum (6) utafayika katika muda siku<br />

sitini za tarehe iliyokuwa imewekwa katika u<strong>cha</strong>guzi uliopita.<br />

(11) Katika siku sba za u<strong>cha</strong>guzi wa Urais,Mwenyekiti wa Tume Huru <strong>ya</strong><br />

U<strong>cha</strong>guzi na na Mipaka ita-<br />

(a) kutangaza matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi; na<br />

(b) kupeleka ripoti iliyoandikwa <strong>ya</strong> matokeo u<strong>cha</strong>guzi kwa Hakimu<br />

Mkuu na Rais aliye mamlakani.<br />

Maswali kuhusu uhalalali wa u<strong>cha</strong>guzi wa Urais<br />

165. (1) Mtu anaweza kuwasilisha malalamiko katika Mahakama <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong><br />

kupinga u<strong>cha</strong>guzi wa Rais mteule wa Taifa.<br />

(2) Malalamiko ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>tawasilishwa mahakamani katika muda wa siku saba<br />

baada <strong>ya</strong> tarehe <strong>ya</strong> kutangazwa kwa matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Rais.<br />

(3) Mahaka <strong>ya</strong> Kikatiba baada <strong>ya</strong> siku saba za kuwasilisha malalamiko,ita<br />

sikiza na kuamua malalamiko na uamuzi huo utakuwa wa mwisho.<br />

(4) Iwapo Mahakama <strong>ya</strong> kikatiba itaamuwa kuwa u<strong>cha</strong>guzi wa Rais mteule si<br />

halali,u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> utafanyika siku sitini baada <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uamuzi huo.<br />

Kuchukua hatamu za Urais wa Taifa<br />

165. (1) kuapishwa kwa Rais mteule wa Taifa kutakuwa mbele <strong>ya</strong> jaji Mkuu au<br />

iwapo Jaji Mkuu Mkuu hayupo, mbele <strong>ya</strong> Naibu wa jaji mkuu na mbele <strong>ya</strong> umma.<br />

(2) Rais mteule wa Taifa ataapishwa Jumanne <strong>ya</strong> kwanza itakayofuata<br />

siku kumi na nne baada <strong>ya</strong> kutangazwa kwa matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Urais<br />

isipokuwa matangazo hayo <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong>mepingwa kulingana na Kifungu 165.<br />

(3) Iwapo matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Urais <strong>ya</strong>mepingwa chini <strong>ya</strong> Kifungu 165<br />

lakini koti lishikilie matokeo hayo, Rais mteule wa Taifa ataapishwa Jumanne <strong>ya</strong><br />

kwanza inayofuta siku saba baada <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uamuzi wa Mahakama.<br />

(4) Rais mteule anachukua hatamu za Urais kwa kuchukua na kutia saini-<br />

(a) kiapo <strong>cha</strong> uaminifu; na<br />

(b) kiapo <strong>cha</strong> kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> Urais kama ilivyoamriwa katika<br />

Ratiba <strong>ya</strong> Tatu.<br />

Masharti <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong> Rais<br />

167. (1) Rais wa Taifa atashikilia ofisi kwa kipindi kisichozindisha miaka mitano<br />

baada <strong>ya</strong> kuchukua ofisi.<br />

(2) Kwa ajili <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> (1), kipindi kile Rais wa Taifa anachohudumu<br />

kama Rais wa Taifa baada <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Rais mp<strong>ya</strong> wa Taifa na kabla <strong>ya</strong><br />

kuapishwa kwa Rais mp<strong>ya</strong> wa Taifa, sio sehemu <strong>ya</strong> masharti <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />

anayeendelela.<br />

(3) Hakuna mtu atakayekuwa Rais wa Taifa kwa zaidi <strong>ya</strong> vipindi viwili.<br />

(4) Kwa ajili <strong>ya</strong> ibara (3), Yule ambaye ahudumu kama Rais wa Taifa kwa<br />

muda wa miaka miwili unusu mfululuzizo atachukuliwa kuwa amehudumu<br />

kwa kipindi kizima.<br />

Kinga dhidi <strong>ya</strong> kufunguliwa mashtaka.<br />

168.(1) mashtaka yoyote <strong>ya</strong> jinai ha<strong>ya</strong>tafunguliwa au kuendelezwa katika<br />

mahakama yoyote dhidi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa au yeyote ambaye anashikilia ofisi <strong>ya</strong><br />

Rais wakati wa hatamu <strong>ya</strong>ke kuhusiana na chochote alichokifan<strong>ya</strong><br />

au kutokifan<strong>ya</strong> wakati wa kutekeleza mamlaka <strong>ya</strong>ke kwenye <strong>Katiba</strong> hii.<br />

1) Mashtaka <strong>ya</strong> kesi za madai ha<strong>ya</strong>taanzishwa katika mahakama yoyte dhidi<br />

<strong>ya</strong> Rais wa Taifa au yeyote anayetekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi hiyo wakati<br />

wa hatamu <strong>ya</strong>ke kutokana na chochote anachokifan<strong>ya</strong> au kutofan<strong>ya</strong><br />

katika kutekeleza mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>liyo kwenye katiba hii.<br />

2) Pale ambapo maelezo katika sheria <strong>ya</strong>naweka mipaka <strong>ya</strong> wakati ambamo<br />

mashtaka ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naweza kuwasilishwa dhidi <strong>ya</strong> mtu huyu, kipindi <strong>cha</strong><br />

wakati ambapo mtu huyu anashikilia au kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong><br />

Rais wa Taifa hakitatiliwa maanani katika kuhesabu wakati ambao<br />

unaelezewa na sheria hii.<br />

3) Uhuru wa kutoshtakiwa wa Rais wa Taifa ulio katika Kifungu hiki,<br />

hautatumika kwa hatia ambazo Rais wa Taifa anaweza kishtakiwa chini<br />

<strong>ya</strong> mkataba wowote ambao Ken<strong>ya</strong> ni mshiriki na ambao unakataza uhuru<br />

kama huu.<br />

Kuondolewa kwa Rais wa Taifa kwa misingi <strong>ya</strong> kukosa uwezo.<br />

169.(1) Mbunge akiungwa mkono na robo <strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> Wabunge wote anaweza,<br />

katika kikao chochcte <strong>cha</strong> Bunge kutoa hoja <strong>ya</strong> kuchunguza uwezo wa<br />

kiaf<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> akili au mwili wa Rais wa Taifa.<br />

(2) Ikikubaliwa na nusu <strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> Wabunge kwa hali <strong>ya</strong> uwezo wa kiaf<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

akili au mwili wa Rais wa Taifa wa kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi unahitaji<br />

kuchunguzwa, Spika wa Bunge katika kipindi <strong>cha</strong> siku mbili baada <strong>ya</strong> uamuzi<br />

huu atamjulisha Jaji Mkuu kuhusu uamuzi huu.<br />

(3) Jaji Mkuu katika kipindi <strong>cha</strong> siku saba, baada <strong>ya</strong> kupokea notisi <strong>ya</strong> uamuzi<br />

huu kutoka kwa Spika ,atateua tume <strong>ya</strong> watu tano ambao watakuwa-<br />

(a) Watatu watakuwa wataalamu wa matibabu na ambao<br />

wameruhusiwa<br />

kisheria.<br />

(b) Mmoja atakuwa wakili wa mahakama kuu; na<br />

(c) mmoja atakuwa Yule ambaye ameteuliiwa na Rais wa Taifa.<br />

(4) Iwapo Rais wa Taifa atashindwa kumteu mtu wa tano, mtu huyu<br />

atateuliwa na-<br />

(i) mmoja wa familia <strong>ya</strong> Rais waTaifa; au<br />

(ii) pale ambapo hakuna mmoja wa jamii anataka kuweza kufan<strong>ya</strong><br />

uteuzi huo, ufanywe na mmoja aliye na uhusiano wa karibu wa<br />

kindugu na Rais wa<br />

Taifa.<br />

(5) Iwapo Jaji Mkuu hatateua tume katika muda wa kipindi kilichobainishwa<br />

katika ibara (3) , Spika wa Bunge atateua tume hii katika muda wa siku saba.<br />

(6) Tume itachunguza suala hili na kuripoti-<br />

(i) kwa Jaji Mkuu katika muda wa siku kumi na nne baada <strong>ya</strong><br />

kuteuliwa kwa tume hii na Spika wa Bunge.<br />

(7) Spika wa Bunge ataiwasilisha ripoti <strong>ya</strong> tume Bungeni katika muda wa siku<br />

saba baada <strong>ya</strong> kuipokea.<br />

(8) Pale ambapo Bunge litaamua kwamba suala la uwezo wa kiakili na kimwili<br />

wa Rais wa Taifa wa kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi lichunguzwe, Rais wa Taifa<br />

hadi mtu mwingine achukue ofisi <strong>ya</strong> Rais waTaifa au tume iliyoteuliwa chini<br />

<strong>ya</strong> ibara (3) au tano iripoti kwamba Rais wa Taifa hawezi kutekeleza majukumu<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kiofisi, lolote litalotangulia, ataendelea kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> kiofisi.<br />

(9) Ripoti <strong>ya</strong> tume itakuwa <strong>ya</strong> mwisho na hautakuwa na rufani na ikiwa tume<br />

itaripoti kwamba Rais wa Taifa anawea kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong> ofisi, spika wa atatangaza katika Bunge.<br />

(10) Iwapo tume itatangaza kuwa Rais wa Taifa hawezi kutekeleleza majukumu<br />

<strong>ya</strong> ofisi, Bunge, iwapo litaungwa mkono kwa kura zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> Wabunge<br />

wote, litaidhinisha uamuzi wa tume na baada <strong>ya</strong> kuidhinisha Rais wa Taifa<br />

ataa<strong>cha</strong> kuwa Rais.<br />

Kumwondoa Rais wa Taifa kupitia kwa kura <strong>ya</strong> kutokuwa na imani<br />

170. (1) Mbunge, iwapo ataungwa mkono na thuluthi moja <strong>ya</strong> Wabunge wote,<br />

anaweza, katika kikao chochote <strong>cha</strong> Bunge, kupendekeza mswada wa kura <strong>ya</strong><br />

kutokuwa na imani na Rais wa Taifa-<br />

(a) kwa misingi <strong>ya</strong> ukiukaji mkubwa wa vipengele v<strong>ya</strong> sheria katika<br />

katiba na sheria.<br />

(b) kwa kuwa kuna sababu kubwa za kuamini kwamba Rais wa Taifa<br />

amefan<strong>ya</strong> hatia iliyo chini <strong>ya</strong> sheria za kitaifa au kimataifa;au<br />

(c) utovu mkubwa wa nidhamu.<br />

(2) Iwapo theluthi mbili <strong>ya</strong> Wabunge wote wataidhinisha mswada ulio chini <strong>ya</strong><br />

ibara (1), spika wa Seneti kwa muda wa siku saba ataitisha mkutano wa Seneti<br />

kusikiza mashtaka ha<strong>ya</strong> dhidi <strong>ya</strong> Rais waTaifa.<br />

(3) Baada <strong>ya</strong> kusikiza mashtaka chini <strong>ya</strong> ibara (2), Seneti, kwa uamuzi,<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!