Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
23<br />
katika Ibara <strong>ya</strong> 162 wkwa wakati. Huo, katika sehemu hizo na kwa njia<br />
ambayo inaweza kuamriwa chini <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Bunge; na<br />
(c) baada <strong>ya</strong> kuhesabiwa kwa kura katika vituo v<strong>ya</strong> upigaji kura, Tume<br />
Huru <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka itahesabu na kuhakikisha hesabu <strong>ya</strong> kura<br />
na kutangaza matokeo.<br />
(4) Mgombeaji wa u<strong>cha</strong>guzi wa Urais wa Taifa atayepata-<br />
(a) zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> kura Zote zilizopigwa katika u<strong>cha</strong>guz; na<br />
(b) angalau asilimia ishirini na tano <strong>ya</strong> kura zilizopigwa katika maeneo<br />
mengi;<br />
Atatangazwa kuwa Rais mteule wa Taifa .<br />
(5) Iwapo hakuna mgombeaji ame<strong>cha</strong>guliwa,u<strong>cha</strong>guzi up<strong>ya</strong> mwingine<br />
utaifanyika katika kipindi <strong>cha</strong> siku thelathini baada <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi uliopita na<br />
katika u<strong>cha</strong>guzi huo mp<strong>ya</strong>, wagombeji watakuwa-<br />
(a) mgombeaji au wagombeaji ambao wamepata kura nyingi zaidi; na<br />
(b) mgombeaji au wagombeaji ambao wamepata idadi <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> wingi<br />
wa kura.<br />
(6) pale ambapo wagombeaji zaidi <strong>ya</strong> mmoja wamepata idadi kubwa zaidi <strong>ya</strong><br />
kura, ibara <strong>ya</strong>(6)(b) haitatumika na wagombeaji pekee katika u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong><br />
watakuwa wale ambao nuiwa na ibara <strong>ya</strong> (6) (a)<br />
(8) mgombeaji ambaye atapata idadi kubwa, au idadi kubwa zaidi <strong>ya</strong> kura,<br />
katika kutegemea hali hiyo, katika u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> atatangazwa kuwa Rais<br />
mteulewa Taifa.<br />
(9) u<strong>cha</strong>guzi wa Urais utafutiliwa mbali na u<strong>cha</strong>guzi mwingine kufanyika<br />
iwapo-<br />
(a) hakuna mtu ambaye ameteuliwa kama mgombea u<strong>cha</strong>guzi ambaye<br />
ameteuliwa kumalizika kabla <strong>ya</strong> kipindi kilichowekwa <strong>cha</strong> kuwasilisha<br />
hati za uteuzi;<br />
(b) mgombea u<strong>cha</strong>guzi ataaga dunia siku <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi au siku yoyote<br />
kati <strong>ya</strong> hizo ambapo u<strong>cha</strong>guzi unafanyika au utafanyika.;au<br />
(c) mgombea u<strong>cha</strong>guzi ambaye alistahili kutangazwa kuwa Rais<br />
Mteule wa Taifa kuaaga dunia baada <strong>ya</strong> kuanza kushinda u<strong>cha</strong>guzi lakini<br />
kabla <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kutangazwa Rais mteule wa Taifa.<br />
(10) u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> wa Urais chini <strong>ya</strong> kifungum (6) utafayika katika muda siku<br />
sitini za tarehe iliyokuwa imewekwa katika u<strong>cha</strong>guzi uliopita.<br />
(11) Katika siku sba za u<strong>cha</strong>guzi wa Urais,Mwenyekiti wa Tume Huru <strong>ya</strong><br />
U<strong>cha</strong>guzi na na Mipaka ita-<br />
(a) kutangaza matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi; na<br />
(b) kupeleka ripoti iliyoandikwa <strong>ya</strong> matokeo u<strong>cha</strong>guzi kwa Hakimu<br />
Mkuu na Rais aliye mamlakani.<br />
Maswali kuhusu uhalalali wa u<strong>cha</strong>guzi wa Urais<br />
165. (1) Mtu anaweza kuwasilisha malalamiko katika Mahakama <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong><br />
kupinga u<strong>cha</strong>guzi wa Rais mteule wa Taifa.<br />
(2) Malalamiko ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>tawasilishwa mahakamani katika muda wa siku saba<br />
baada <strong>ya</strong> tarehe <strong>ya</strong> kutangazwa kwa matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Rais.<br />
(3) Mahaka <strong>ya</strong> Kikatiba baada <strong>ya</strong> siku saba za kuwasilisha malalamiko,ita<br />
sikiza na kuamua malalamiko na uamuzi huo utakuwa wa mwisho.<br />
(4) Iwapo Mahakama <strong>ya</strong> kikatiba itaamuwa kuwa u<strong>cha</strong>guzi wa Rais mteule si<br />
halali,u<strong>cha</strong>guzi mp<strong>ya</strong> utafanyika siku sitini baada <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uamuzi huo.<br />
Kuchukua hatamu za Urais wa Taifa<br />
165. (1) kuapishwa kwa Rais mteule wa Taifa kutakuwa mbele <strong>ya</strong> jaji Mkuu au<br />
iwapo Jaji Mkuu Mkuu hayupo, mbele <strong>ya</strong> Naibu wa jaji mkuu na mbele <strong>ya</strong> umma.<br />
(2) Rais mteule wa Taifa ataapishwa Jumanne <strong>ya</strong> kwanza itakayofuata<br />
siku kumi na nne baada <strong>ya</strong> kutangazwa kwa matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Urais<br />
isipokuwa matangazo hayo <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong>mepingwa kulingana na Kifungu 165.<br />
(3) Iwapo matokeo <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Urais <strong>ya</strong>mepingwa chini <strong>ya</strong> Kifungu 165<br />
lakini koti lishikilie matokeo hayo, Rais mteule wa Taifa ataapishwa Jumanne <strong>ya</strong><br />
kwanza inayofuta siku saba baada <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uamuzi wa Mahakama.<br />
(4) Rais mteule anachukua hatamu za Urais kwa kuchukua na kutia saini-<br />
(a) kiapo <strong>cha</strong> uaminifu; na<br />
(b) kiapo <strong>cha</strong> kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> Urais kama ilivyoamriwa katika<br />
Ratiba <strong>ya</strong> Tatu.<br />
Masharti <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong> Rais<br />
167. (1) Rais wa Taifa atashikilia ofisi kwa kipindi kisichozindisha miaka mitano<br />
baada <strong>ya</strong> kuchukua ofisi.<br />
(2) Kwa ajili <strong>ya</strong> ibara <strong>ya</strong> (1), kipindi kile Rais wa Taifa anachohudumu<br />
kama Rais wa Taifa baada <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi wa Rais mp<strong>ya</strong> wa Taifa na kabla <strong>ya</strong><br />
kuapishwa kwa Rais mp<strong>ya</strong> wa Taifa, sio sehemu <strong>ya</strong> masharti <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />
anayeendelela.<br />
(3) Hakuna mtu atakayekuwa Rais wa Taifa kwa zaidi <strong>ya</strong> vipindi viwili.<br />
(4) Kwa ajili <strong>ya</strong> ibara (3), Yule ambaye ahudumu kama Rais wa Taifa kwa<br />
muda wa miaka miwili unusu mfululuzizo atachukuliwa kuwa amehudumu<br />
kwa kipindi kizima.<br />
Kinga dhidi <strong>ya</strong> kufunguliwa mashtaka.<br />
168.(1) mashtaka yoyote <strong>ya</strong> jinai ha<strong>ya</strong>tafunguliwa au kuendelezwa katika<br />
mahakama yoyote dhidi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa au yeyote ambaye anashikilia ofisi <strong>ya</strong><br />
Rais wakati wa hatamu <strong>ya</strong>ke kuhusiana na chochote alichokifan<strong>ya</strong><br />
au kutokifan<strong>ya</strong> wakati wa kutekeleza mamlaka <strong>ya</strong>ke kwenye <strong>Katiba</strong> hii.<br />
1) Mashtaka <strong>ya</strong> kesi za madai ha<strong>ya</strong>taanzishwa katika mahakama yoyte dhidi<br />
<strong>ya</strong> Rais wa Taifa au yeyote anayetekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi hiyo wakati<br />
wa hatamu <strong>ya</strong>ke kutokana na chochote anachokifan<strong>ya</strong> au kutofan<strong>ya</strong><br />
katika kutekeleza mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>liyo kwenye katiba hii.<br />
2) Pale ambapo maelezo katika sheria <strong>ya</strong>naweka mipaka <strong>ya</strong> wakati ambamo<br />
mashtaka ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naweza kuwasilishwa dhidi <strong>ya</strong> mtu huyu, kipindi <strong>cha</strong><br />
wakati ambapo mtu huyu anashikilia au kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong><br />
Rais wa Taifa hakitatiliwa maanani katika kuhesabu wakati ambao<br />
unaelezewa na sheria hii.<br />
3) Uhuru wa kutoshtakiwa wa Rais wa Taifa ulio katika Kifungu hiki,<br />
hautatumika kwa hatia ambazo Rais wa Taifa anaweza kishtakiwa chini<br />
<strong>ya</strong> mkataba wowote ambao Ken<strong>ya</strong> ni mshiriki na ambao unakataza uhuru<br />
kama huu.<br />
Kuondolewa kwa Rais wa Taifa kwa misingi <strong>ya</strong> kukosa uwezo.<br />
169.(1) Mbunge akiungwa mkono na robo <strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> Wabunge wote anaweza,<br />
katika kikao chochcte <strong>cha</strong> Bunge kutoa hoja <strong>ya</strong> kuchunguza uwezo wa<br />
kiaf<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> akili au mwili wa Rais wa Taifa.<br />
(2) Ikikubaliwa na nusu <strong>ya</strong> idadi <strong>ya</strong> Wabunge kwa hali <strong>ya</strong> uwezo wa kiaf<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
akili au mwili wa Rais wa Taifa wa kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi unahitaji<br />
kuchunguzwa, Spika wa Bunge katika kipindi <strong>cha</strong> siku mbili baada <strong>ya</strong> uamuzi<br />
huu atamjulisha Jaji Mkuu kuhusu uamuzi huu.<br />
(3) Jaji Mkuu katika kipindi <strong>cha</strong> siku saba, baada <strong>ya</strong> kupokea notisi <strong>ya</strong> uamuzi<br />
huu kutoka kwa Spika ,atateua tume <strong>ya</strong> watu tano ambao watakuwa-<br />
(a) Watatu watakuwa wataalamu wa matibabu na ambao<br />
wameruhusiwa<br />
kisheria.<br />
(b) Mmoja atakuwa wakili wa mahakama kuu; na<br />
(c) mmoja atakuwa Yule ambaye ameteuliiwa na Rais wa Taifa.<br />
(4) Iwapo Rais wa Taifa atashindwa kumteu mtu wa tano, mtu huyu<br />
atateuliwa na-<br />
(i) mmoja wa familia <strong>ya</strong> Rais waTaifa; au<br />
(ii) pale ambapo hakuna mmoja wa jamii anataka kuweza kufan<strong>ya</strong><br />
uteuzi huo, ufanywe na mmoja aliye na uhusiano wa karibu wa<br />
kindugu na Rais wa<br />
Taifa.<br />
(5) Iwapo Jaji Mkuu hatateua tume katika muda wa kipindi kilichobainishwa<br />
katika ibara (3) , Spika wa Bunge atateua tume hii katika muda wa siku saba.<br />
(6) Tume itachunguza suala hili na kuripoti-<br />
(i) kwa Jaji Mkuu katika muda wa siku kumi na nne baada <strong>ya</strong><br />
kuteuliwa kwa tume hii na Spika wa Bunge.<br />
(7) Spika wa Bunge ataiwasilisha ripoti <strong>ya</strong> tume Bungeni katika muda wa siku<br />
saba baada <strong>ya</strong> kuipokea.<br />
(8) Pale ambapo Bunge litaamua kwamba suala la uwezo wa kiakili na kimwili<br />
wa Rais wa Taifa wa kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> ofisi lichunguzwe, Rais wa Taifa<br />
hadi mtu mwingine achukue ofisi <strong>ya</strong> Rais waTaifa au tume iliyoteuliwa chini<br />
<strong>ya</strong> ibara (3) au tano iripoti kwamba Rais wa Taifa hawezi kutekeleza majukumu<br />
<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kiofisi, lolote litalotangulia, ataendelea kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> kiofisi.<br />
(9) Ripoti <strong>ya</strong> tume itakuwa <strong>ya</strong> mwisho na hautakuwa na rufani na ikiwa tume<br />
itaripoti kwamba Rais wa Taifa anawea kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>ke<br />
<strong>ya</strong> ofisi, spika wa atatangaza katika Bunge.<br />
(10) Iwapo tume itatangaza kuwa Rais wa Taifa hawezi kutekeleleza majukumu<br />
<strong>ya</strong> ofisi, Bunge, iwapo litaungwa mkono kwa kura zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> Wabunge<br />
wote, litaidhinisha uamuzi wa tume na baada <strong>ya</strong> kuidhinisha Rais wa Taifa<br />
ataa<strong>cha</strong> kuwa Rais.<br />
Kumwondoa Rais wa Taifa kupitia kwa kura <strong>ya</strong> kutokuwa na imani<br />
170. (1) Mbunge, iwapo ataungwa mkono na thuluthi moja <strong>ya</strong> Wabunge wote,<br />
anaweza, katika kikao chochote <strong>cha</strong> Bunge, kupendekeza mswada wa kura <strong>ya</strong><br />
kutokuwa na imani na Rais wa Taifa-<br />
(a) kwa misingi <strong>ya</strong> ukiukaji mkubwa wa vipengele v<strong>ya</strong> sheria katika<br />
katiba na sheria.<br />
(b) kwa kuwa kuna sababu kubwa za kuamini kwamba Rais wa Taifa<br />
amefan<strong>ya</strong> hatia iliyo chini <strong>ya</strong> sheria za kitaifa au kimataifa;au<br />
(c) utovu mkubwa wa nidhamu.<br />
(2) Iwapo theluthi mbili <strong>ya</strong> Wabunge wote wataidhinisha mswada ulio chini <strong>ya</strong><br />
ibara (1), spika wa Seneti kwa muda wa siku saba ataitisha mkutano wa Seneti<br />
kusikiza mashtaka ha<strong>ya</strong> dhidi <strong>ya</strong> Rais waTaifa.<br />
(3) Baada <strong>ya</strong> kusikiza mashtaka chini <strong>ya</strong> ibara (2), Seneti, kwa uamuzi,<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja