04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

39<br />

(ii) kuwapa kazi walimu walioajiriwa na Tume kuhudumu katika<br />

shule yoyote <strong>ya</strong> umma na taasisi nyingine.<br />

(iii) kuwapandisha vyeo na kuwahamisha walimu;<br />

(iv) kuwaadhibu na kuwadhibiti walimu;<br />

(v) kuwafuta kazi walimu; na<br />

(vi) kutekeleza majukumu mengine <strong>ya</strong>liyopewa Tume na Sheria<br />

<strong>ya</strong> Bunge.<br />

(3) Tume itachunguza viwango v<strong>ya</strong> elimu na mafunzo kwa watu wanaojiunga<br />

na taaluma <strong>ya</strong> ualimu na kutoa walimu na itashauri serikali <strong>ya</strong> kitaifa kuhusu<br />

masuala <strong>ya</strong>nayohusiana na taaluma <strong>ya</strong> ualimu.<br />

Sehemu 3 – Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong><br />

Kubuniwa na kudhibitiwa.<br />

278. (1) Kuna Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> iliyobuniwa katika utumishi wa<br />

umma.<br />

(2) Malengo <strong>ya</strong> Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ni kuhakikisha –<br />

(a) kwamba wafungwa katika magereza nchini wamehifadhiwa salama<br />

na kwamba taasisi hizo zina mazingira <strong>ya</strong>nayofaa binadamu kuishi<br />

kulingana na <strong>Katiba</strong> na sheria;<br />

(b) kuwasimamia wahalifu katika jamii ambao wanahudumu vifungo<br />

v<strong>ya</strong> nje au ambao wanachunguzwa; na<br />

(c) kuwarekebisha wahalifu ili kuwaandaa kurudi na kuishi maisha yenye<br />

manufaa katika jamii.<br />

(3) Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> itakuwa na muundo na kudhibitiwa ili<br />

iweze –<br />

(a) kufikia viwango v<strong>ya</strong> juu v<strong>ya</strong> kitaaluma na nidhamu miongoni mwa<br />

wana<strong>cha</strong>ma wake na kupitia kwa wana<strong>cha</strong>ma hao katika kutekeleza<br />

mamlaka <strong>ya</strong>ke;<br />

(b) kukuza uwajibikaji na kuzuia ufisadi;<br />

(c ) kuzingatia viwango v<strong>ya</strong> haki za binadamu katika kutekeleza mamlaka<br />

<strong>ya</strong>ke na utendakazi wa majukumu <strong>ya</strong>ke; na<br />

(d) kutoa mafunzo kwa wana<strong>cha</strong>ma wake kufikia viwango v<strong>ya</strong> juu v<strong>ya</strong><br />

uwezo wao na kuhusiana na matumizi ma<strong>cha</strong>che <strong>ya</strong> mabavu na kuwa<br />

na uadilifu na kuheshimu haki za binadamu , uhuru wa kimsingi na<br />

heshima <strong>ya</strong> binadamu.<br />

(4) Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> itaandaliwa kuhusisha muundo wa<br />

ugatuzi.<br />

(5) Bunge litatunga sheria -<br />

(a) kubuni miundo <strong>ya</strong> kutosha kuwezesha utawala unaozingatia uwazi<br />

katika Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>;<br />

(b) kuruhusu mpango, usimamizi na utendakazi wa Huduma <strong>ya</strong><br />

Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>; na<br />

(c) kwa jumla kudhibiti Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>.<br />

Mkurugenzi Mkuu<br />

279. (1) Kuna ofisi buniwa <strong>ya</strong> Mkurugenzi –Mkuu wa Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong><br />

Ken<strong>ya</strong>.<br />

(2) Mkurugenzi – Mkuu atateuliwa na Rais wa Kitaifa, kwa ushauri wa Tume<br />

<strong>ya</strong> Utumishi wa umma na baada <strong>ya</strong> kuidhinishwa na Bunge.<br />

(3) Mtu atateuliwa kuwa Mkurugenzi- Mkuu iwapo mtu huyo ana sifa zifaazo<br />

kitaaluma na –<br />

(a) amehudumu katika Huduma <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> kwa angalau<br />

miaka kumi; au<br />

(b) ana uzoefu mpana katika usimamizi na utendajikazi kuhusu<br />

huduma za marekebisho.<br />

(4) Mkurugenzi-Mkuu atahudumu kwa muhula wa miaka mitano na ataweza<br />

kuteuliwa kwa kipindi kingine <strong>cha</strong> mwisho <strong>cha</strong> miaka mitano.<br />

(5) Kifungu 297 (3) kuhusiana na sifa za kuajiriwa zinazohitajika na Tume<br />

zitazingatiwa katika kumwajiri Mkurugenzi-Mkuu.<br />

SURA YA KUMI NA SABA<br />

Sehemu 1- Taasisi za Usalama wa Taifa<br />

Kanuni na misimamo<br />

280. (1) Usalama wa Taifa ni ulinzi wa mipaka <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, watu wake, mali <strong>ya</strong>o,haki<br />

na uhuru, na maslahi mengine <strong>ya</strong> kitaifa dhidi <strong>ya</strong> vitisho v<strong>ya</strong> ndani na nje.<br />

(2) Usalama wa taifa la Ken<strong>ya</strong> utaimarishwa na kuhakikishwa kulingana na<br />

kanuni zifuatazo –<br />

(a) usalama wa taifa unaongozwa na mamlaka <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii na Bunge;<br />

(b) Usalama wa taifa utatekelezwa kwa kuzingatia sheria, ikiwemo<br />

sheria <strong>ya</strong> kimataifa, na kwa kuheshimu kikamilifu utawala wa kisheria,<br />

demokrasia, haki za binadamu na uhuru wa kimsingi;<br />

(c) taasisi za usalama wa kitaifa zitaheshimu tamaduni mbalimbali za<br />

jamii nchini Ken<strong>ya</strong> katika kutekeleza majukumu <strong>ya</strong>ke; na<br />

(d) uajiri katika taasisi za usalama wa taifa utaakisi mseto wa watu wa<br />

Ken<strong>ya</strong> katika viwango sawa.<br />

Taasisi za usalama wa taifa<br />

281. (1) Taasisi za usalama wa taifa ni -<br />

(a) Vikosi v<strong>ya</strong> Ulinzi wa Ken<strong>ya</strong>;<br />

(b) Huduma za Taifa za Upelelezi; na<br />

(c) Huduma <strong>ya</strong> Polisi wa Ken<strong>ya</strong>.<br />

(2) Lengo la kimsingi la taasisi za usalama wa taifa na mfumo wa usalama ni<br />

kulinda maslahi <strong>ya</strong> watu wa Ken<strong>ya</strong> na mali <strong>ya</strong>o na haki na uhuru, na mamlaka<br />

, amani, umoja wa kitaifa na mipaka <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>.<br />

(3) Katika utekelezaji wa majukumu <strong>ya</strong>o, taasisi za usalama wa taifa na kila,<br />

mwana<strong>cha</strong>ma wa taasisi hizo hataruhusiwa -<br />

(a) kuwa na upendeleo kwa njia yoyote,<br />

(b) kuendeleza maslahi <strong>ya</strong> <strong>cha</strong>ma chochote <strong>cha</strong> kisiasa wala sera zake;<br />

(c) kuhujumu maslahi <strong>ya</strong> kisiasa au mpango wa kisiasa ambao ni halali<br />

chini <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii; au<br />

(d) kutii amri yoyote isiyokuwa halali.<br />

(4) Mtu hataruhusiwa kubuni shirika linalohusiana na usalama wa taifa au<br />

shirika wa kijeshi isipokuwa inavyoruhusiwa na <strong>Katiba</strong> hii au Sheria <strong>ya</strong> Bunge.<br />

(5) Taasisi za uslama wa taifa zitakuwa chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> raia.<br />

(6) Bunge litatunga sheria kuruhusu kushughulikia majukumu, utaratibu na<br />

usimamizi wa taasisi za usalama wa taifa.<br />

Kubuniwa kwa Baraza la Usalama wa Taifa<br />

282. (1) Kuna Baraza buniwa la Usalama wa Taifa lenye –<br />

(a) rais wa taifa<br />

(b) Naibu Rais wa taifa;<br />

(c) Waziri Mkuu,<br />

(d) Waziri anayehusika na ulinzi;<br />

(e) Waziri anayehusika na mashauri <strong>ya</strong> kigeni;<br />

(f) Waziri anayehusika na usalama wa taifa;<br />

(g) Mwanasheria Mkuu<br />

(h) Mkuu wa Majeshi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>;<br />

(i) Mkurugenzi –Mkuu wa Huduma <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong> Upelelezi; na<br />

(j) Inspekta-Mkuu wa Huduma <strong>ya</strong> Polisi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>.<br />

Majukumu <strong>ya</strong> Baraza la Usalama wa Taifa<br />

283. (1) Baraza la Usalama wa Taifa –<br />

(a) Litaunganisha sera za humu nchini, za kigeni na za kijeshi kuhusiana<br />

na usalama wa kitaifa ili kuwezesha taasisi za usalama wa taifa<br />

kushirikiana kikamilifu;<br />

(b) kutathmini na kuchunguza malengo, kujitolea ,na hatari kwa Taifa<br />

kuhusiana na usalama wa nchi; na<br />

(c) kuanzisha sera kuhusu masuala <strong>ya</strong> maslahi <strong>ya</strong> pamoja <strong>ya</strong> kiusalama<br />

<strong>ya</strong> taasisi za kiusalama na kudhibiti taasisi hizo.<br />

(2) Baraza la Usalama wa Taifa litatoa ripoti kwa Bunge kila mwaka kuhusiana<br />

na hali <strong>ya</strong> usalama nchini Ken<strong>ya</strong>.<br />

(3) Baraza la Usalama wa Taifa linaweza kwa idhini <strong>ya</strong> Bunge –<br />

(a)kupeleka wanajeshi nje <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> kwa minajili <strong>ya</strong> –<br />

(i)kutekeleza majukumu <strong>ya</strong> Umoja wa Mataifa <strong>ya</strong> kudumisha amani<br />

pamoja na majukumu mengine; au<br />

(ii) kuidhinisha wanajeshi wa kigeni kutumwa Ken<strong>ya</strong>.<br />

Sehemu 2 - Majeshi <strong>ya</strong> Ulinzi wa Ken<strong>ya</strong><br />

Kubuniwa kwa Vikosi v<strong>ya</strong> Ulinzi wa Ken<strong>ya</strong> na Baraza la Ulinzi<br />

284. (1) Kuna vikosi buniwa v<strong>ya</strong> Ulinzi wa Ken<strong>ya</strong> vinavyohusisha –<br />

(a) Ken<strong>ya</strong> Army;<br />

(b) Ken<strong>ya</strong> Air Force; na<br />

(c) Ken<strong>ya</strong> Navy.<br />

(2) Mtu hatabuni kikosi <strong>cha</strong> majeshi au kundi lenye hadhi <strong>ya</strong> kijeshi isipokuwa<br />

inavyoruhusiwa katika <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(3) Kuna Baraza la Ulinzi lililobuniwa linalohusisha –<br />

(a) Waziri anayehusika na ulinzi ambaye atakuwa mwenyekiti;<br />

(b)Naibu Waziri anayehusika na ulinzi ambaye atakuwa naibu<br />

mwenyekiti;<br />

(c )Mkuu wa Majeshi <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>;<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!