04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

3<br />

SURA YA KUMI<br />

UWAKILISHAJI WA WATU<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1 – Kanuni za mfumo wa U<strong>cha</strong>guzi na Utaratibu wa u<strong>cha</strong>guzi<br />

102. Kanuni za jumla<br />

103. Sheria kuhusu u<strong>cha</strong>guzi<br />

104. Kusajiliwa kama mpigakura<br />

105. Wagombea katika u<strong>cha</strong>guzi kuzingatia kanuni za upigaji kura<br />

106. Kuzingatia kanuni za u<strong>cha</strong>guzi<br />

107. Wagombea wa kibinafsi<br />

108. Wagombea wasio na wapinzani<br />

109. Upigaji kura<br />

110. Mizozo <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi<br />

111. Kuwakilishwa kwa watu katika taasisi za Kimataifa<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 2- Tume Huru <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka na kutodhibitika kwa vitengo<br />

v<strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi<br />

112. Tume Huru <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi na Mipaka<br />

113. Kuwekea mipaka sehemu za u<strong>cha</strong>guzi<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 3- V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />

114. Kanuni za kimsingi kwa v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />

115. kikomo <strong>cha</strong> uana<strong>cha</strong>ma katika <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> kisiasa<br />

116. Kamishna wa v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />

117. Kudhibiti v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />

118. Hazina <strong>ya</strong> V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kisiasa<br />

119. Matumizi <strong>ya</strong> Hazina hiyo<br />

120. Kuwajibika kwa v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />

121. V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa na vyombo v<strong>ya</strong> habari<br />

122. Mipaka <strong>ya</strong> matumzi <strong>ya</strong> raslimali za umma<br />

SURA YA KUMI NA MOJA<br />

BUNGE<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1 – Muundo na jukumu la Bunge<br />

123. Kuundwa kwa Bunge<br />

124. Jukumu la Bunge<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 2 – Muundo na uana<strong>cha</strong>ma wa Bunge<br />

125. Wana<strong>cha</strong>ma wa Seneti<br />

126. Uana<strong>cha</strong>ma katika Bunge<br />

127. Masharti <strong>ya</strong> kufaa na kutofaa ku<strong>cha</strong>guliwa kama mbunge<br />

128. Kukuza uwakilishi wa makundi tengwa<br />

129. U<strong>cha</strong>guzi wa wabunge<br />

130. Kutoka ofisini kwa Mbunge<br />

131. Haki <strong>ya</strong> kumwita na kumkosoa mbunge<br />

132. Kukubalika kwa ubunge<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 3- Maafisa wa Bunge<br />

133. Spika na Naibu wa Spika<br />

134. Kuongoza vikao Bungeni<br />

135. Kiongozi Rasmi wa Upinzani Bungeni<br />

136. Karani na wafan<strong>ya</strong>kazi wa Bunge<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 4 – Kutunga sheria Bungeni<br />

137. Mamlaka <strong>ya</strong> kutunga sheria<br />

138. Miswada <strong>ya</strong> Fedha<br />

139. Maoni <strong>ya</strong> Bunge jingine<br />

140. Idhini <strong>ya</strong> Rais<br />

141. Kutekelezeka kwa sheria<br />

142. Haki <strong>ya</strong> kulalamikia Bunge<br />

143. Idadi <strong>ya</strong> wabunge katika vikao<br />

144. Lugha rasmi za Bunge<br />

145. Kupiga kura Bungeni<br />

146. Maamuzi <strong>ya</strong> Seneti<br />

147. Kudhibitiwa kwa utaratibu<br />

148. Uwezo wa kutaka ushahidi<br />

149. Kufikiwa na umma<br />

150. Uwezo, haki na kinga<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 5 – Ziada<br />

151. Usajili wa Sheria buniwa<br />

152. Makao <strong>ya</strong> Bunge<br />

153. Kipindi <strong>cha</strong> Bunge<br />

154. Tume <strong>ya</strong> Huduma za Bunge<br />

MAMLAKA YA RAIS<br />

SURA YA KUMI NA MBILI<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 1- Kanuni na muundo wa mamlaka <strong>ya</strong> Serikali <strong>ya</strong> Kitaifa.<br />

155. Kanuni za mamlaka <strong>ya</strong> serikali<br />

156. Serikali <strong>ya</strong> Kitaifa<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 2- Rais wa Taifa na Naibu Rais<br />

157. Mamlaka <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />

158. Majukumu <strong>ya</strong> Rais wa Taifa.<br />

159. Majukumu <strong>ya</strong> Rais katika kutunga sheria<br />

160. Matumizi <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Rais kwa Rais wa muda<br />

161. Uamuzi wa Rais wa Taifa<br />

162. U<strong>cha</strong>guzi wa Rais wa Taifa<br />

163. Sifa za kimsingi za ku<strong>cha</strong>guliwa na kuto<strong>cha</strong>guliwa kwa Rais wa Taifa<br />

164. Tararatibu katika u<strong>cha</strong>guzi wa Rais<br />

165. Maswali kuhusu uhalali wa u<strong>cha</strong>guzi wa Urais<br />

166. Kuchukua hatamu za Urais wa Taifa<br />

167. Masharti <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong> Rais<br />

168. Kinga dhidi <strong>ya</strong> kufunguliwa mashtaka.<br />

169. Kuondolewa kwa Rais wa Taifa kwa misingi <strong>ya</strong> kukosa uwezo.<br />

170. Kumwondoa Rais wa Taifa kupitia kwa kura <strong>ya</strong> kutokuwa na imani<br />

171. Nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />

172. Mamlaka <strong>ya</strong> huruma <strong>ya</strong> Rais<br />

173. Ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />

174. Nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />

175. Majukumu <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />

176. Kifo kabla <strong>ya</strong> kuchukua mamlaka<br />

177. Kuondolewa kwa naibu Rais wa taifa<br />

178. Mshahara na marupurupu <strong>ya</strong> Rais wa Taifa na Naibu Rais wa Taifa<br />

Sehemu-3 Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri<br />

179. Waziri Mkuu<br />

180. Uteuzi wa Waziri Mkuu<br />

181. Masharti <strong>ya</strong> ofisi<br />

182. Kujiuzulu kwa Waziri Mkuu<br />

183. Mshahara na marupurupu <strong>ya</strong> Waziri Mkuu<br />

184. Baraza la Mawaziri na Manaibu<br />

185. Kuachishwa kazi kwa Mawaziri na Manaibu wa Mawaziri.<br />

186. Kura <strong>ya</strong> kutokuwa na imani na Waziri Mkuu<br />

187. Maamuzi, majukumu na kuwajibika kwa Baraza la Mawaziri<br />

188. Raisi wa Taifa kufahamishwa kwa ukamilifu kuhusu mienendo <strong>ya</strong> serikali<br />

189. Kugawa majukumu<br />

190. Katibu wa Baraza la Mawaziri<br />

191. Uteuzi na kuachishwa kazi kwa Makatibu Vinara<br />

192. Uteuzi na kuachishwa kazi kwa Makatibu Vinara<br />

Sehemu <strong>ya</strong> 4- Ofisi nyingine<br />

193. Mwanasheria Mkuu<br />

194. Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> Umma<br />

195. Mchunguzi Maalum wa Malalamiko <strong>ya</strong> Umma<br />

196. Kuondolewa kwa Mchunguzi Maalum wa Mashtaka <strong>ya</strong> Umma<br />

IDARA YA MAHAKAMA<br />

SURA YA KUMI NA TATU<br />

Sehemu 1 – Mamlaka <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Mahakama na mfumo wa sheria<br />

197. Mamlaka <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Mahakama<br />

198. Uhuru wa Idara <strong>ya</strong> Mahakama<br />

199. Ofisi na maafisa wa Idara <strong>ya</strong> Mahakama<br />

200. Mfumo wa Mahakama<br />

Sehemu 2- Mahakama zenye Mamlaka Kuu<br />

201. Mahakama yenye Mamlaka Kuu<br />

202. Mahakama <strong>ya</strong> Rufani<br />

203. Mahakama <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong><br />

204. Mahakama Kuu<br />

205. Uteuzi wa majaji<br />

206. Kipindi <strong>cha</strong> kuhudumu ofisini kwa Jaji Mkuu na majaji wengine<br />

207. Kuondolewa kutoka ofisini<br />

Sehemu 3 -Mahakama za chini<br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!