Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />
KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA<br />
Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />
Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />
3<br />
SURA YA KUMI<br />
UWAKILISHAJI WA WATU<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 1 – Kanuni za mfumo wa U<strong>cha</strong>guzi na Utaratibu wa u<strong>cha</strong>guzi<br />
102. Kanuni za jumla<br />
103. Sheria kuhusu u<strong>cha</strong>guzi<br />
104. Kusajiliwa kama mpigakura<br />
105. Wagombea katika u<strong>cha</strong>guzi kuzingatia kanuni za upigaji kura<br />
106. Kuzingatia kanuni za u<strong>cha</strong>guzi<br />
107. Wagombea wa kibinafsi<br />
108. Wagombea wasio na wapinzani<br />
109. Upigaji kura<br />
110. Mizozo <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi<br />
111. Kuwakilishwa kwa watu katika taasisi za Kimataifa<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 2- Tume Huru <strong>ya</strong> U<strong>cha</strong>guzi na Mipaka na kutodhibitika kwa vitengo<br />
v<strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi<br />
112. Tume Huru <strong>ya</strong> u<strong>cha</strong>guzi na Mipaka<br />
113. Kuwekea mipaka sehemu za u<strong>cha</strong>guzi<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 3- V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />
114. Kanuni za kimsingi kwa v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />
115. kikomo <strong>cha</strong> uana<strong>cha</strong>ma katika <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> kisiasa<br />
116. Kamishna wa v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />
117. Kudhibiti v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />
118. Hazina <strong>ya</strong> V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> Kisiasa<br />
119. Matumizi <strong>ya</strong> Hazina hiyo<br />
120. Kuwajibika kwa v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa<br />
121. V<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> kisiasa na vyombo v<strong>ya</strong> habari<br />
122. Mipaka <strong>ya</strong> matumzi <strong>ya</strong> raslimali za umma<br />
SURA YA KUMI NA MOJA<br />
BUNGE<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 1 – Muundo na jukumu la Bunge<br />
123. Kuundwa kwa Bunge<br />
124. Jukumu la Bunge<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 2 – Muundo na uana<strong>cha</strong>ma wa Bunge<br />
125. Wana<strong>cha</strong>ma wa Seneti<br />
126. Uana<strong>cha</strong>ma katika Bunge<br />
127. Masharti <strong>ya</strong> kufaa na kutofaa ku<strong>cha</strong>guliwa kama mbunge<br />
128. Kukuza uwakilishi wa makundi tengwa<br />
129. U<strong>cha</strong>guzi wa wabunge<br />
130. Kutoka ofisini kwa Mbunge<br />
131. Haki <strong>ya</strong> kumwita na kumkosoa mbunge<br />
132. Kukubalika kwa ubunge<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 3- Maafisa wa Bunge<br />
133. Spika na Naibu wa Spika<br />
134. Kuongoza vikao Bungeni<br />
135. Kiongozi Rasmi wa Upinzani Bungeni<br />
136. Karani na wafan<strong>ya</strong>kazi wa Bunge<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 4 – Kutunga sheria Bungeni<br />
137. Mamlaka <strong>ya</strong> kutunga sheria<br />
138. Miswada <strong>ya</strong> Fedha<br />
139. Maoni <strong>ya</strong> Bunge jingine<br />
140. Idhini <strong>ya</strong> Rais<br />
141. Kutekelezeka kwa sheria<br />
142. Haki <strong>ya</strong> kulalamikia Bunge<br />
143. Idadi <strong>ya</strong> wabunge katika vikao<br />
144. Lugha rasmi za Bunge<br />
145. Kupiga kura Bungeni<br />
146. Maamuzi <strong>ya</strong> Seneti<br />
147. Kudhibitiwa kwa utaratibu<br />
148. Uwezo wa kutaka ushahidi<br />
149. Kufikiwa na umma<br />
150. Uwezo, haki na kinga<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 5 – Ziada<br />
151. Usajili wa Sheria buniwa<br />
152. Makao <strong>ya</strong> Bunge<br />
153. Kipindi <strong>cha</strong> Bunge<br />
154. Tume <strong>ya</strong> Huduma za Bunge<br />
MAMLAKA YA RAIS<br />
SURA YA KUMI NA MBILI<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 1- Kanuni na muundo wa mamlaka <strong>ya</strong> Serikali <strong>ya</strong> Kitaifa.<br />
155. Kanuni za mamlaka <strong>ya</strong> serikali<br />
156. Serikali <strong>ya</strong> Kitaifa<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 2- Rais wa Taifa na Naibu Rais<br />
157. Mamlaka <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />
158. Majukumu <strong>ya</strong> Rais wa Taifa.<br />
159. Majukumu <strong>ya</strong> Rais katika kutunga sheria<br />
160. Matumizi <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Rais kwa Rais wa muda<br />
161. Uamuzi wa Rais wa Taifa<br />
162. U<strong>cha</strong>guzi wa Rais wa Taifa<br />
163. Sifa za kimsingi za ku<strong>cha</strong>guliwa na kuto<strong>cha</strong>guliwa kwa Rais wa Taifa<br />
164. Tararatibu katika u<strong>cha</strong>guzi wa Rais<br />
165. Maswali kuhusu uhalali wa u<strong>cha</strong>guzi wa Urais<br />
166. Kuchukua hatamu za Urais wa Taifa<br />
167. Masharti <strong>ya</strong> ofisi <strong>ya</strong> Rais<br />
168. Kinga dhidi <strong>ya</strong> kufunguliwa mashtaka.<br />
169. Kuondolewa kwa Rais wa Taifa kwa misingi <strong>ya</strong> kukosa uwezo.<br />
170. Kumwondoa Rais wa Taifa kupitia kwa kura <strong>ya</strong> kutokuwa na imani<br />
171. Nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Rais wa Taifa<br />
172. Mamlaka <strong>ya</strong> huruma <strong>ya</strong> Rais<br />
173. Ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />
174. Nafasi katika ofisi <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />
175. Majukumu <strong>ya</strong> Naibu Rais wa Taifa<br />
176. Kifo kabla <strong>ya</strong> kuchukua mamlaka<br />
177. Kuondolewa kwa naibu Rais wa taifa<br />
178. Mshahara na marupurupu <strong>ya</strong> Rais wa Taifa na Naibu Rais wa Taifa<br />
Sehemu-3 Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri<br />
179. Waziri Mkuu<br />
180. Uteuzi wa Waziri Mkuu<br />
181. Masharti <strong>ya</strong> ofisi<br />
182. Kujiuzulu kwa Waziri Mkuu<br />
183. Mshahara na marupurupu <strong>ya</strong> Waziri Mkuu<br />
184. Baraza la Mawaziri na Manaibu<br />
185. Kuachishwa kazi kwa Mawaziri na Manaibu wa Mawaziri.<br />
186. Kura <strong>ya</strong> kutokuwa na imani na Waziri Mkuu<br />
187. Maamuzi, majukumu na kuwajibika kwa Baraza la Mawaziri<br />
188. Raisi wa Taifa kufahamishwa kwa ukamilifu kuhusu mienendo <strong>ya</strong> serikali<br />
189. Kugawa majukumu<br />
190. Katibu wa Baraza la Mawaziri<br />
191. Uteuzi na kuachishwa kazi kwa Makatibu Vinara<br />
192. Uteuzi na kuachishwa kazi kwa Makatibu Vinara<br />
Sehemu <strong>ya</strong> 4- Ofisi nyingine<br />
193. Mwanasheria Mkuu<br />
194. Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> Umma<br />
195. Mchunguzi Maalum wa Malalamiko <strong>ya</strong> Umma<br />
196. Kuondolewa kwa Mchunguzi Maalum wa Mashtaka <strong>ya</strong> Umma<br />
IDARA YA MAHAKAMA<br />
SURA YA KUMI NA TATU<br />
Sehemu 1 – Mamlaka <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Mahakama na mfumo wa sheria<br />
197. Mamlaka <strong>ya</strong> Idara <strong>ya</strong> Mahakama<br />
198. Uhuru wa Idara <strong>ya</strong> Mahakama<br />
199. Ofisi na maafisa wa Idara <strong>ya</strong> Mahakama<br />
200. Mfumo wa Mahakama<br />
Sehemu 2- Mahakama zenye Mamlaka Kuu<br />
201. Mahakama yenye Mamlaka Kuu<br />
202. Mahakama <strong>ya</strong> Rufani<br />
203. Mahakama <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong><br />
204. Mahakama Kuu<br />
205. Uteuzi wa majaji<br />
206. Kipindi <strong>cha</strong> kuhudumu ofisini kwa Jaji Mkuu na majaji wengine<br />
207. Kuondolewa kutoka ofisini<br />
Sehemu 3 -Mahakama za chini<br />
<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja