04.04.2014 Views

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

Kielelezo Patanifu cha Katiba ya Kenya - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

50<br />

KIELELEZO PATANIFU CHA KATIBA YA KENYA JUMAPILI, NOVEMBA 22, 2009<br />

Ime<strong>cha</strong>pishwa mnamo Novemba 17, 2009 na Kamati <strong>ya</strong> Wataalam Kuhusu Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> Kulingana na<br />

Sehemu 32(1)(a)(i) <strong>ya</strong> Sheria <strong>ya</strong> Marekebisho <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong>, 2008.<br />

<strong>Katiba</strong> hii na Sheria na Muafaka wa Kitaifa na Maridhiano iliyopo kabla <strong>ya</strong><br />

kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii hadi u<strong>cha</strong>guzi mkuu wa kwanza ufanyika kwa<br />

<strong>Katiba</strong> hii.<br />

(2) Watu walio katika wadhifa wa ofisi za Naibu Rais, Naibu Waziri Mkuu kabla tu<br />

<strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii, watakuwa na mamlaka na wajibu wa Naibu<br />

Rais na Naibu Waziri Mkuu katika <strong>Katiba</strong> inayotumika kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika<br />

kwa <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(4) Mtu aliye na wadhifa katika Baraza la Mawaziri ama Waziri Msaidizi kabla<br />

tu <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii, ataendelea kushikilia wadhifa huo katika<br />

<strong>Katiba</strong> hii kulingana na <strong>Katiba</strong> iliyoko kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(5) Mtu ambaye kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii ametumikia kipindi <strong>cha</strong><br />

muhula mmoja ama zaidi kama Rais hataruhusiwa kugombea Urais kuanzia siku<br />

<strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong><br />

Utawala wa Mikoa<br />

10. (1) Baada <strong>ya</strong> kufanyika kwa u<strong>cha</strong>guzi unaorejelewa katika sehemu <strong>ya</strong> 7,<br />

mfumo wa usimamizi unaojulikana Utawala wa Mikoa utavunjwa na serikali<br />

<strong>ya</strong> kitaifa itaunda mfumo wake wa kiusimamizi kufuata na kuheshimu serikali<br />

iliyogatuliwa uliobuniwa katika <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(2) Kulingana na sehemu <strong>ya</strong> kifungu (1), maafisa wa serikali waliokuwa<br />

wakifan<strong>ya</strong> kazi chini <strong>ya</strong> mfumo unaojulikana kama Utawala wa Mikoa<br />

wataripoti kwa Tume <strong>ya</strong> Utumishi wa Umma ili kupewa kazi up<strong>ya</strong>.<br />

(3) Ingawa sehemu <strong>ya</strong> kifungu (1), machifu, manaibu wa machifu na wazee<br />

wa vijiji wataendelea kufan<strong>ya</strong> kazi vivyo hivyo chini <strong>ya</strong> serikali za wila<strong>ya</strong> kama<br />

itakavyoamuliwa na na kila serikali <strong>ya</strong> wila<strong>ya</strong>.<br />

(4) Kuanzia siku <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong>, mali yote iliyokuwa<br />

ikishikiliwa na serikali <strong>ya</strong> taifa na ambayo inapatikana katika mikoa, wila<strong>ya</strong> na<br />

tarafa na kata, itaendelea kuwa mali <strong>ya</strong> umma.<br />

(5) Hadi wakati ambapo serikali za wila<strong>ya</strong> na serikali za kimaeneo<br />

zitakapoundwa, mali yote inayohifadhiwa na serikali za wila<strong>ya</strong> kabla <strong>ya</strong> kuanza<br />

kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii itahifadhiwa na serikali za wila<strong>ya</strong> na haitahamishwa<br />

ama kuuzwa kwa njia yoyote bila idhini kwa maandishi <strong>ya</strong> serikali <strong>ya</strong> kitaifa na<br />

kuhamishwa kokote bila idhini hakutatambuliwa.<br />

Ofisi zilizoko<br />

11. (1) Mtu ambaye kabla tu <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii alikuwa afisa<br />

ama anashikilia ofisi kwa muda iliyobuniwa na <strong>Katiba</strong> iliyotumiwa kabla <strong>ya</strong><br />

kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong>, ataendelea kushikilia ofisi ama kuishikilia kwa<br />

muda kulingana na <strong>Katiba</strong> kwa kipindi kilichobaki, kama kipo, <strong>ya</strong> kipindi <strong>cha</strong>ke<br />

kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(2) Mtu ambaye kabla tu <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii, alikuwa<br />

anashikilia wadhifa fulani ama akishikilia wadhifa kwa muda ofisi ambayo<br />

inabuniwa na <strong>Katiba</strong> iliyoko kabla tu <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii,<br />

kama anahitajika kufan<strong>ya</strong> hivyo kulingana na Sura <strong>ya</strong> Tisa, anaweza katika<br />

siku thelathini za kuteuliwa kwa Tume <strong>ya</strong> Maadili na Kupambana na Ufisadi,<br />

atawasilisha n<strong>ya</strong>raka na ushahidi unaohitajika.<br />

(3) Mtu ambaye kabla tu <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii, alikuwa<br />

anashikilia wadhifa fulani ama akishikilia wadhifa kwa muda katika ofisi <strong>ya</strong><br />

umma inayobuniwa na sheria yoyote iliyoandikwa, kwa sasa inayoambatana<br />

na <strong>Katiba</strong> hii, ataendelea kushikilia wadhifa huo ama kuushikilia kwa<br />

muda kama kwamba ameteuliwa kwa ofisi hiyo katika <strong>Katiba</strong> hii, na kama<br />

anahitajika ambayo inabuniwa na <strong>Katiba</strong> iliyoko kabla tu <strong>ya</strong> kuanza kutumika<br />

kwa <strong>Katiba</strong> hii, kama anahitajika kufan<strong>ya</strong> hivyo kulingana na Sura <strong>ya</strong><br />

Tisa, anaweza katika siku thelathini za kuteuliwa kwa Tume <strong>ya</strong> Maadili na<br />

Kupambana na Ufisadi, atawasilisha n<strong>ya</strong>raka na ushahidi unaohitajika.<br />

(4) Vipengele v<strong>ya</strong> sehemu hii havitaathiri mamlaka <strong>ya</strong>liyopewa mtu yeyote<br />

ama uwezo wa kisheria katika <strong>Katiba</strong> hii kuvunja ofisi ama kuwandoa watu<br />

kutoka ofisi hizi.<br />

(5) Utaratibu wa kuajiriwa na watu kujaza nafasi zinazotokana na kutekeleza<br />

kwa <strong>Katiba</strong> hii kutaanza siku <strong>ya</strong> kuanza kutekeleza kwa katiba hii na<br />

kumalizika katika mwaka mmoja kulingana na vipengele v<strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii..<br />

(6) Katika hali ambapo mtu amea<strong>cha</strong> ofisi ambayo alikuwa akiishikilia kabla<br />

<strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kuanza kutekeleza <strong>Katiba</strong> hii, na ofisi hiyo inabaki katika <strong>Katiba</strong> hii,<br />

mtu huyo anaweza, kama anahitimu, anateuliwa, ku<strong>cha</strong>guliwa, ama kupewa<br />

wadhifa huo kulingana na vipengele v<strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii, katika siku thelathini<br />

za kuteuliwa kwa Tume <strong>ya</strong> Maadili na Kupambana na Ufisadi atawasilisha<br />

n<strong>ya</strong>raka na ushahidi unaohitajika kulingana na Sura <strong>ya</strong> Tisa.<br />

(7) Majukumu <strong>ya</strong> Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> Umma <strong>ya</strong>tatekelezwa na<br />

Mwanasheria Mkuu hadi Mkurugenzi wa Mashtaka <strong>ya</strong> Umma atakapoteuliwa<br />

kulingana na <strong>Katiba</strong> hii.<br />

(8) Majukumu <strong>ya</strong> Mkurugenzi wa Bajeti <strong>ya</strong>tatekelezwa na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali hadi Mkurugenzi wa Bajeti ateuliwe kulingana na <strong>Katiba</strong><br />

hii. <strong>Katiba</strong> hii, Li<strong>cha</strong> <strong>ya</strong> sehemu <strong>ya</strong> (1), na labda awe ameondolewa mapema<br />

kwa <strong>Katiba</strong> hii, Mwanasheria Mkuu na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

wataendelea kuwa ofisini kwa kipindi <strong>cha</strong> miezi sita kuanza siku <strong>ya</strong> kuanza <strong>ya</strong><br />

kutekelezwa <strong>Katiba</strong> na watu wap<strong>ya</strong> watateuliwa kwa ofisi hizo kulingana na<br />

<strong>Katiba</strong> hii.<br />

Kiapo <strong>cha</strong> uaminifu kwa <strong>Katiba</strong><br />

12. Katika siku <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii, Rais na afisa yeyote ama mtu<br />

yeyote ambaye kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii, alikuwa ameapa ama<br />

amekubali kama ilivyo katika kiapo kinachohitajika, ama anayehitajika kuchukua<br />

kiapo <strong>cha</strong> uaminifu ili kuchukua ofisi katika <strong>Katiba</strong> hii, ataapa inavyohitajika<br />

katika <strong>Katiba</strong> hii.<br />

Urithi wa taasisi, ofisi, mali na madeni<br />

13. (1) ofisi ambayo imebiuniwa na <strong>Katiba</strong> ndiyo mrithi wa kisheria wa ofisi kama<br />

hiyo ama taasisi iliyobuniwa na sheria <strong>ya</strong> bunge iliyokuwa ikifan<strong>ya</strong> kazi kabla <strong>ya</strong><br />

siku <strong>ya</strong> kuanza kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii, hata ikiwa inatambuliwa kwa jina lile<br />

lile au ikiwa imepewa jina jip<strong>ya</strong>.<br />

(2) Madeni yote, mali na na raslimali nyingine ambazo kabla <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong><br />

kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii zilikuwa za Serikali au Jamhuri, vyovyote vile,<br />

itaendelea kuwa hivyo hata baada <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong>.<br />

(3) Kwa lengo la sehemu hii, Mamlaka <strong>ya</strong> Ukusan<strong>ya</strong>ji Ushuru ambayo<br />

ilikuwepo kabla tu <strong>ya</strong> <strong>Katiba</strong> hii inaendelea kama Mamlaka <strong>ya</strong> Kitaifa <strong>ya</strong><br />

Ukusan<strong>ya</strong>ji Ushuru inayorejelewa katika kifungu namba 266.<br />

Pensheni, bahashishi, na manufaa mengine<br />

14. Sheria inayohusu pensheni, bahashishi na mshahara kwa walio na n<strong>ya</strong>dhifa<br />

za kikatiba itakuwa sheria ambayo ilitumiwa wakati manufaa hayo <strong>ya</strong>lipotolewa,<br />

na sheria yoyote nyingine ambayo itatumika baadaye ambayo haimfaidi mtu<br />

huyo<br />

Idara <strong>ya</strong> Mahakama<br />

15. (1) Katika kipindi <strong>cha</strong> siku thelathini za kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> hii, Rais<br />

na Waziri Mkuu,wakifan<strong>ya</strong> kazi kwa pamoja katika misingi <strong>ya</strong> mkataba wa kitaifa<br />

wa maridhiano<br />

Waliokubaliana katika <strong>Katiba</strong> iliyopo kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong><br />

hii, watajadiliana wataunda Tume <strong>ya</strong> muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama<br />

ambayo, kulingana na sehemu hii, itawakagua majaji kabla <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kuanza<br />

kutekeleza katiba mp<strong>ya</strong>.<br />

2) Tiume <strong>ya</strong> Huduma za Kimahakama <strong>ya</strong> muda itajumuisha-—<br />

(a) Majaji wawili wasio Waken<strong>ya</strong> walio majaji ama waliostaafu kila<br />

mmoja wao akiwa amefan<strong>ya</strong> kazi katika nchi <strong>ya</strong> jumui<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Madola kama<br />

jaji ama jaji mkuu na ambaye mmoja wao atateuliwa kuwa mwenyekiti.<br />

(b) Majaji wawili wa mahakama kuu <strong>ya</strong> Ken<strong>ya</strong> ama mahakama <strong>ya</strong> rufani<br />

ambao watakuwa Waken<strong>ya</strong>; na<br />

(c) Wakili ambaye ana ujuzi wa miaka kumi na mitano kama msomi<br />

mashuhuri, afisa wa mahakama, ama wakili ama mwenye ujuzi katika<br />

n<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong> nyingine yoyote <strong>ya</strong> kisheria, aliyeteuliwa na Chama <strong>cha</strong> Mawakili<br />

wa Ken<strong>ya</strong>.<br />

(3) Jaji ambaye alikuwa kazini kabla <strong>ya</strong> kuanza kutumika kwa <strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>,<br />

anaweza, katika siku sitini, <strong>ya</strong> kuanza kutumika <strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong> kuamua kustaafu<br />

na baada <strong>ya</strong> kustaafu anaweza kupata kiinua mgongo <strong>cha</strong>ke kulingana na<br />

<strong>Katiba</strong>.<br />

(4) Jaji Mkuu aliye ofisini kabla tu <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kuanza kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong><br />

hii, katika siku sitini za kuanza kutekelezwa kwa <strong>Katiba</strong> hii, ataa<strong>cha</strong> kazi na<br />

anaweza kuamua—<br />

(a) Kustaafu kutoka idara <strong>ya</strong> mahakama; au<br />

(b) kutegemea utaratibu wa kuchuja katika sehemu hii, aendelee<br />

kuhudumu katika mahakama <strong>ya</strong> rufani.<br />

(5) (a) Tume <strong>ya</strong> muda <strong>ya</strong> Huduma za Mahakama inaweza kuchunguza, kwa<br />

kuzingatia jaji—<br />

(i) Kesi yoyote <strong>ya</strong> jinai ambayo haijakamilishwa ama ambayo<br />

imekamilishwa.<br />

(ii) Mapendekezo yoyote kwa minajili <strong>ya</strong> mashtaka <strong>ya</strong>liyoletwa na<br />

Mwanasheria Mkuu, Tume <strong>ya</strong> Kupambana na Ufisadi, ama taasisi<br />

yoyote inayofaa;<br />

(iii) Kufaa kwa uteuzi kama jaji katika misingi iliyowekwa kwenye<br />

<strong>Katiba</strong>;<br />

(iv) uhodari na bidii; na<br />

(v)Jambo lingine lolote lenye umuhimu.<br />

(b) Katika utendakazi wake katika sehemu hii, Tume <strong>ya</strong> muda <strong>ya</strong> Huduma<br />

za Mahakama itaheshimu na itaongozwa na vigezo na viwango v<strong>ya</strong><br />

<strong>Katiba</strong> mp<strong>ya</strong>, Ken<strong>ya</strong> Moja

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!