28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

100<br />

Kwa hivyo katika Constitution, mapendekezo yangu ningependa hawa watu ambao walipigania uhuru, na watu waliokuwa nchi<br />

hii, wachukuliwe kama watu, na wawe ni watu recognized, tuchukuliwe kama binadam.Ya pili, katika Parliament hawa watu<br />

wanakwenda katika Parliament, wawe wakiangaliwa na Commission for two and a half years. Mtu akiwa ataonekana anafanya<br />

kazi sawa sawa anaondolewa. Iwe Commission inaweza kuja kuangalia kama kazi yake ni nzuri, ile aliahidia watu.Ya tatu.<br />

Mayor awe anachaguliwa na raia. Katika Constitution, pesa ya hawa watu ambao walipigania uhuru ifuatwe. Ilienda wapi<br />

Iwe katika Commission ndani. Mimi ningependelea jambo hili la watu waliopigania uhuru liwekwe, na katika Districts sio tu<br />

kuletewa watu wanasema walisikia uhuru, mtu alisikia uhuru na hajui uhuru ni nini Anakuja kuhubiria akiitwa madam madam<br />

nini na bado sisi tuko hai, na tunaamini serikali. Kwa hivyo serikali ichukue sisi kama watu ambao walipigania nchi hii, kama<br />

watu wazima, au watu ambao walijitolea juu ya nchi yao. Asante Bwana.Com. Ibrahim Lethome: Asante sana. Councillor<br />

Cllr. John Ndugu: Mimi ni Cllr. John Ndugu Muthoi J.B. Yangu ni machache sana kwa sababu muda unakimbia. Ya<br />

kwanza ni hawa watu ambao wanalisha mashamba ya watu wapewe adhabu kali kama penalty ya miaka mitano katika jela,<br />

ikiwa hana ithini ya mwenye shamba, wale ambao wanalisha mashamba. Ili lingine, ni penalty iwe kali kwa wale watu ambao ni<br />

wezi wa mifugo katika Laikipia nzima, wawekwe ndani kwa kipindi cha miaka kumi bila fine, kwa sababu hapo walikuwa<br />

wakilipa ng’ombe na mbuzi tano kwa mbuzi moja au ngo’ombe tatu kwa ngo’ombe moja akiiba. Kwa hivyo hiyo ifanyike.Lile<br />

ingine ningependekeza Chiefs and Assistant Chiefs wote waende kuwe na Council <strong>of</strong> Elders akiwa amechaguliwa na wananchi<br />

wafanye kazi pamoja. Lile lingine ni DCs na DOs wabaki wakifanya kazi na hiyo Council <strong>of</strong> Elders. Na Provincial<br />

Administration kama P.P.O, P.C, na P.M.O wote waondoke.Lile lingine ni kwa upande wa elimu; elimu iwe ni ya bure kutoka<br />

nursery mpaka darasa la nane. Ili kuwezesha wale watoto ambao wanaranda randa hapa mijini na nyumbani kukaa bila<br />

masomo, wapate nafasi hiyo, hata disabled wenyewe.Lile lingine ni vyama visiandikwe zaidi ya vitatu. Viwe vitatu na vizisidi<br />

tano. Pendekezo lile lingine nikiwa hapa, ni citizen aangaliwe ni yule indigenous ambae alikuwa hapa 1890. Na yule mtoto<br />

ambaye wazazi wake walikuwa hapa baada ya uhuru 1963.Lile lingine ni upande wa freedom and responsibility citizen. Hiyo<br />

nayo limit ya individual freedom should be preserved <strong>of</strong> other persons freedom. Lile lingine ni la military: Mkubwa wa military,<br />

na polisi na hao wengine should be head by Chief <strong>of</strong> General Staff na awe akiwa appointed na President. Lile lingine ni mambo<br />

ya taxation: Kila mwananchi awe akilipa kodi ili kuwezesha serikali iendelee na matumishi yake kwa kila mwaka. Mkuu wa<br />

Governor <strong>of</strong> Central Bank awe na authority yake mwenyewe, na right akitumia Katiba ya Parliament. Na awe akiwa appointed<br />

na confirmed na Parliament. Chief Justice vile vile nae afanye kazi bila kuwa chini ya mwingine na awe vetted na appointed by<br />

the President, na awe confirmed na Parliament.Attorney General vile vile ni namna hiyo, Controler ni vile vile na terms zao<br />

zisizidi miaka 65 kwa <strong>of</strong>isi. Kwa hivyo iende namna hiyo. Ile <strong>of</strong>isi nayo ningetaka kuweka mkazo sana, ni <strong>of</strong>fice <strong>of</strong> the<br />

Ombudsman. Hii <strong>of</strong>isi sijui kama iko kwa Katiba, iwe kwa Katiba ili iwe ikiangalia ma<strong>of</strong>isi haya yote nimesema hapo juu, ya<br />

Attorney General na mengine yote, iwe ni <strong>of</strong>isi t<strong>of</strong>auti ambayo investigate and complaints from the citizen inaangaliwa<br />

kabisa.Corruption nayo vile vile hapa, imeonekana kama imekubaliwa na sheria na kwa sababu imemaliza nchi hii, yule ambaye<br />

atakua ana hongana, na yule ambaye atahongwa, wanafungwa kifungo cha miaka zaidi ya mitano. Mambo ya President<br />

imesemwa na wale wengine waliyekuwako, lakini yangu inasema awe na miaka 35 na aingie kwa <strong>of</strong>isi miaka mitano na isizidi<br />

terms mbili.Local Authority Chairman na Vice Chairman awe amechaguliwa na wananchi kutoka mashinani mpaka mwisho na<br />

apite na kiwango cha kura zaidi ya 50%, na wakiwa zaidi ya wawili wafuatane namna hiyo. Wakiwa wamekuwa chini hiyo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!