28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

89<br />

na hiyo itegemee mapenzi yawananchi. Isiwe lazima, kwa vile uongoza hautegemei masomo unategemea kipawa cha mungu.<br />

Halafu maranches zilizoko nchini zigawie wasio na mashamba. Badala ya kupatia watu kwa maforest ambaye, ndio<br />

tunaangalia kwa mvua ee. Ikiwa muda uliowekwa wa kuhudumu katika mbunge, ama urais umekwisha wa sasa wa miak<br />

tano, muda uziongezwe.<br />

Mtu akauwawa na mnyama, kama vile ndovu zinaua watu. Mwananchi kama huyo ikiwa ni agent ya (inaudible) kama<br />

mahali wanyama wamefungiwa. Na zimetoka nje na kuuwa mtu huyo mtu alipwe kutoka miliono kumi. Na hiyo isiwe zaidi<br />

ya mwezi mmoja kulipwa. Ile kitu ningetaka (inaudible) bwana mwenyekiti. Ni kuhusu mashamba. Kama vile sasa mimi<br />

naona watu wengine wanatoka madistricts.<br />

Kama district ya Samburu wanakuja hapa na kwao kuna mashamba huko ama Pokot. Watu wao wapewe mashamba huko<br />

kwa sababu kuja kwao kwa upande hii ndio wanasababisha maafa mengi ya wananchi wakikuja kurusha mali sababu wako<br />

free kutembea kila mahali. Wanauwa wanachi. Kwa sababu kuteukiwa na kitu kidogo mbuzi kidogo wanachukia mapenzi<br />

yangu ni hawa watu wametoka Pokot ama Samburu. Kuna mashamba huko wagaiwe na wakae kwa mashamba yao, ili<br />

hali hii ya kuendelea kila mahali iondoke kabisa. Hiyo ni hiyo inashangia mauaji ya watu. Nimeshukuru sana kwenu.<br />

Com. Ibrahim Lethome Asante sana Bwana Gitonga. Kuna swali.<br />

Com. Ibrahim Lethome Unakusudia kuwa mtu apewe land kwao sio kwingine Asipate land kwingine<br />

Mr. Gitonga: Bwana mwenyeketi mimi nasema kwamba sababu ya maafa mengi yametokea katika area hii. Watu<br />

wametoka Samburu, Pokot, Baringo mahali mingi. Wakikuja kulisha mali yao. Wakati wanalisha wanakuangalia una nini.<br />

Ukipata mbuzi mbili tatu wanakuja wanachukua na hapo hapo unauwawa. Sasa hachukui mali peke yake, na kulisha<br />

mashamba ya wananchi. ili kuzuia hayo mashamba kama ni district ya Samburu ugaiwe Wasamburu huko na waishi pale,<br />

kama ni mahali kwingine wakae hivo. Ndio kusudi kuendelea kutembea kila mahli ipunguzwe.<br />

Com. Ibrahim Lethome na land ya laikipia igaiwe kina nani<br />

Mr. Gitonga: Kama ni wale wako Laikipia wagaiwe pia.<br />

Com. Ibrahim Lethome Kina nani Be specific. Kina nani wagaiwe Laikipia <br />

Mr. Gitonga: Hatuchagui ni kina nani ni wale wote wananchi wanaweza. Unajua hata wewe unaweza kununua shamba<br />

huku ukiwa Msaburu Lakini mimi ninasema kwamba kwa sababu ya ongezeko la watu. Watu kutokamadistrict zingine<br />

wakikuja hapa kulisha mifugo yao.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!