constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
49<br />
bei nafuu na Serikali iangalie maslahi maanake hatuna bunduki sisi sio wanayang’anyi, lakini wale wanaokuja kutunyang’anya ni<br />
wale brokers.<br />
Point ya pili. Mifugo tuonayo inatoa maziwa ya kutosha, lakini ukizidisha mifugo ng’ombe, mbuzi hamsini, usiku huo huo hata ya<br />
maziwa haibakii hata kuku na ukikataa roho yako inaenda.<br />
Com. Ibrahim Lethome Pendekezo.<br />
Mr. Muchai: Pendekezo ni wewe Bwana Commissioner uangalie, ukijiangalia tumbo yako au binafsi ya pesa yako, uandalie<br />
hata mimi nimetunzwa maana roho yangu ni kali si sawa na roho zingine. Jambo la tatu nitatumia mfano wa yule tajiri. Akiona<br />
ninaendelea vilivyo. Sisemi ni tajiri gani au la. Afadhali haungane roho yangu iende. Kwa hivyo utajiri wake uenee. Kwa nini<br />
roho yangu iende Kwa nini yeye amehonga Mungu gani na mimi simuhongi<br />
Com. Ibrahim Lethome Basi pendekeza.<br />
Mr. Muchai: Na pendekeza.<br />
Com. Ibrahim Lethome Unasema roho yake<br />
Mr. Muchai: Roho yake, hata hivyo iende. Kama roho yangu iende basi hata yeye tajiri hataki niendelee tit for tat. Ya nne,<br />
nayo inahusu MP. Hii gender ina kitu kimoja tu cha wiziri mkuu au (Inaudible) lakini zote kwa vile tuwa lucky au approximate.<br />
Tunataka kupignia hii kiti na (Inaudible) tutamtuja Rais kwa kutopeteza. Raisi amechukua jukumu ya kumuweka mjaluo moja<br />
hapo (Inaudible). Saitoti don’t talk I am coming to them. Sitaki kuongea Kizungu maanaake kunachezea msaha. Haya akikaa<br />
anasema wewe Uhuru unajua baba yake ndio alinipatia alinigawia mali kidogo, alinigawia dunia hii na kumbe, na wewe kalia kiti<br />
a-a wewe kijana. Kwa hivyo bwana Commissioner nimewachekesha wenzangu huko nyuma kwa hivyo nisamehe kwa hivyo<br />
katika hii Bunge wanaonekana wana kiti kimoja tu wamekalia na kama Mungu akipenda si kitaenda na huyu mwingine.<br />
Mwisho wake.<br />
Com. Ibrahim Lethome Asante sana. Bwana Muchai andika jina kule. Joseph Maina. Michael Murithi . Ah Joseph Maina<br />
amefika. Peter Maina just go ahead since you are already here. Your ame in the microphone. Take the micropone.<br />
Peter Maina: Bwana mwenyekiti, mimi naitwa Thomas Mzee. Mimi napendekeza ya kwamba, sisi tuliponyakua uhuru hapa<br />
Kenya, tuko watu kabila mbili Bwana Mwenyekiti. Kabila moja inaitwa landlord. Kabila lingine linaitwa squatters. Bwana<br />
mwenyekiti napendekeza kwamba wale viongozi walianza Kenya hii, ikianzishwa ni Mzee Jomo Kenyatta, napendekeza ya<br />
kwamba ile mashamba ambao Mzee Kenyatta alinyakua Kenya hii irundishwe kwa wananchi ambao aliwaita ma-squatters.