28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

93<br />

Mr. Mayaka: Ningependekekza hii pesa mahali ilitengenezwa hii ya kukuja juu ilitolerwa iwekwe. Sheria ikuwe juu<br />

kwanza. Mwananchi ategemee sheria kabla ya pesa. Bila hiyo upinzani hautakwisha <strong>kenya</strong>. Watoto kila mwananchi<br />

anasomesha watoto wake na taabu kwa nyuma na huyo mtoto anapeleka hadi form six. Hakuna mtoto anapata kazi. Na<br />

kuna mwingine anasomeshwa hata mtoto wa std eight na watoto wake mpaka form six na hana nyumba.<br />

Serikali ile iko na ile tutachagua na ile itakuwako itupe macho kea wakulima isaindie wakulima kwamaana bila wakulima<br />

hakuna nchi. Na akilima na anatafuta pesa hata anaenda kwa jirani yao, familia yao anapanda kila kitu. Mahindi yakaanza<br />

kutoa kichwa hiyo wanyam wanakuja wanaharibu yote na mtu anabaki maskini. Pendekezao yangu nilionelea kama iko<br />

uwezo kwa Serikali wakiandika kazi itaenda hapo kwa watu. Ikitaka watu kama ni wa kupiga kura inaenda hapo itaitisha<br />

watu. Kwa hivyo wanyamahawaitishi kura. Hawapigi kura. Kwahivyo tusaidiwe kwanza kwa ni wananchi ndio wanapiga<br />

kura sio wanyama.<br />

Ya mwisho ni hali ya miti ya forest. Mti nikipedekeza kama iko na uwezo kwa maana miti<br />

(inaudible) Kenya<br />

pahali nyingi. Wale agriculture kama iko uwezo wapewe kazi ya kwenda kila shamba ya mtu kwa sababu imekuwa kidogo.<br />

mtu ndo tuweze kupanda miti.<br />

Com. Ibrahim Lethome Asante Bwana Mayaka. Umemaliza. Hatuna swali basi nenda ujiandikishe pale tumeshukuru<br />

sana. tumesikia bondeni tumeigia. Bondeni church na Bondeni Primary. Kwa hivyo Bondeni church mbele. Sema majina<br />

halafu ueleze mambo yako kwa dakika tano.<br />

Florence Wanjiru: Jina langu ni Florence Wanjiru Mojano. Kabla sijatoa maoni yangu ningetaka kuuliza<br />

(Inaudible) katika <strong>commission</strong> ya kurekebisha Katiba iongezwe muda. Sijui kama mtaenda kutujibu mambo yako kwa<br />

dakika tano.<br />

Com. Ibrahim Lethome Leo hatuko shuguli hiyo. Toa maoni yako ni mambo ambayo yako nje ya hii kikao. Maoni yako<br />

kulingana na Katiba tuko tayari hapa sasa. Si bando tuko kazini hapa.<br />

Ms. Florence Wanjiru: Nilikuwa nataka kuuliza--<br />

Com. Ibrahim Lethome Tufanye kazi kwanza.mambo ya siasa mingi wacha nje toa maoni.<br />

Ms. Florence Wanjiru: Haikuwa sias ilikuwa tu.<br />

Com. Ibrahim Lethome Tumesema swali hatujibu sasa nyinyi ndio mzungumzao.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!