constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
95<br />
On healthcare ningependelea sababu tumekuwa na problem ya health care, kila wakati wanateta sababu ya mishahara. Hata<br />
kwa sababu corruption nyiongi iko kwa health: madawa yanapotea na shida kama hiyo. Sasda ningependekeza nurses na<br />
wale health workers wapatiwe mishahara mzuri ili wafanye kazi mzuri sababundio wanatumikia watu wengi. Kama vile<br />
waalimu wanatumikia watoto.<br />
Security kunakuwa na shida nyingi hata watu wa security wengi wamekuwa involved kwacriminal <strong>of</strong>fenses ningependekeza<br />
hawa watu wapatiwe mishahara mizuri pia ili waache kujihusisha na corruption. Kitu kidogo. iwe ule mshahara wanapata<br />
mizuri pia ili napia kama kuna security mahali, yule mtu incharge kunakuwa na <strong>commission</strong> ya kuchunguza hiyo shida ya<br />
insecurity inatoka wapi. Na public kwa sababu ndiowanajua wezi nnio wanajua wakora. Wanatoa maoni kuhusu hiyo<br />
<strong>commission</strong> ili kama ni yeye amesababisha hii maneno basi sheria inachukua mikono yake.<br />
Water to be collected na hii maji imekuwa collected itumike wakati wa kiagazi. Kwa hivyo tutakuwa tumepunguza<br />
upunguvu wa chakula tumecreate jobs, vijana wetu wanapata kazi. Kwa sababu maji ya irrigation inacreate job na pia<br />
tutaiendelea poverty na tutaincrease food production sababu haversting <strong>of</strong> watter. Summary.<br />
Com. Ibrahim Lethome Jambo la mwisho.<br />
Mr. Maina: Jambo la mwisho. Ningeuliza katika nchi hii maboyakuongeza bunge. Hii mambo tuliandika watu kwakura na<br />
hawastahili kujiongeza siku zakazi. Kama sikuk zao zimekwisha. Na ile muhimu warudi sisi tumchague hawa tena tuandike<br />
hawa kazi tena. Mambo yakujiongezea mashahara na kujiongezea siku za kazi hiyo tuseme hakuna asante.<br />
Com. Ibrahim Lethome Asante Bwana Maina kwa maoni yako. Enda ujiandikishe pale. Joseph Kingori. Hayuko,<br />
Gichuru Gathuo. Gichuru Gathuo. Karibu mzee. Dakika zako tano.<br />
Gichuru Gakoromio Gathuo: Jina langu ni Gichuru Gakoromio Gathuo. I have got a few points to higlight here. And one<br />
is the life <strong>of</strong> MP should not be more than 3 terms <strong>of</strong> five years each. Chiefs and ass. Chiefs should be (inaudible0 for five<br />
years. they must be electedby the wananchi. the president should have two terms <strong>of</strong> four years each. It has to be a sole<br />
election. What I ama trying to say here is that he should not go as part <strong>of</strong> election <strong>of</strong> the Parliamentarian and the councillors.<br />
It is a very big decision which cannot be made within a second when somebody goes in the ballot box.<br />
The appointments <strong>of</strong> the minister should be approved by the parliament. There should be a system. Before minister<br />
disapprove a parliament shouldalso give an okay to that post. Marriage and divorces women are very much fighting for<br />
their rights. I would suggest that, we should not so much emulate the western people. because even themselves they are not<br />
very successful in marriage. What I am trying to tell you honorable <strong>commission</strong>ers is that when the divorce comes there<br />
should be 50, 50 sharing <strong>of</strong> the property. But inmost cases you find that there are some people who can have tht as a