constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
23<br />
Com. Ibrahim Lethome Please summarize.<br />
Ms Pascal: The state must take responsible and other measures within its available resources to achieve the effective<br />
allocation <strong>of</strong> each <strong>of</strong> this (Inaudible). Honorable Commissioners that is the end <strong>of</strong> our memorandum.<br />
Com. Ibrahim Lethome Ogende: Thank you very much that is the truth. Register your memorandum to the Secretary.<br />
Stephen Muchaiis he Yes.<br />
Samuel Njuki: Asante Mabwana Mabibi Commissioners. Sikusoma sana…<br />
Com. Ibrahim Lethome Endelea tu. Jina kwanza.<br />
Samuel Njuki: Stephen MuchaiMkulima. Yangu ni moja mbili tatu hivi. Mimi ninavyosikia hapa ngarua. Na hivyo ninaanza<br />
Commissioners. Katiba hii yetu ya Kenya (Inaudible) lakini kuhusu ule mtu. Katiba Kinamba hadi rimuruti ni kama kilometers<br />
23 na hatuna watu wa kuweka lami tangu tulip<strong>of</strong>ika kanamba town mwisho.<br />
Com. Ibrahim Lethome Pendekeza pendekezo.<br />
Mr. Njuki: Pendekezo langu naona kila nilipoingia hapa tangu 70 naona watu wanakuja wakati hii siasa inakaribia na kuniuliza<br />
mbona mjaja na mna hii mbona hutaki kunitupia kura. Na akisha ingia huko Bunge basi blanketi mwisho. Kwa hivyo ni sijui ni<br />
vimbo lake kavu au ni mashujani kwangu mimi nina nyanyazwa. Barabara ukienda Thubiri na ndio soko yetu kubwa. The<br />
international market. Na kwa hivyo wewe Commissioner kama ukiwa ulipitia habari za Commission yake ulipata wa nyanya<br />
leo. Wakongwe kabisa. Wana jikakamua hawana chakula.<br />
Com. Ibrahim Lethome Wapi pendekezo Barabara ……<br />
Mr. Njuki: Barabara iwekwe lami kutoka hapa ishikane na ya Rumuruti hapa ikiweza kuwa headquaters. Mwisho wa<br />
pendekezo.<br />
Com. Ibrahim Lethome Endelea.<br />
Mr. Njuki: Jambo lingine la pili, Commissioner naomba Commissioner, mazao yetu hapa ni second in Kenya Kitale. Lakini<br />
tunaouzia ni walaghai wananau jioni wanakuja wa nabembe ile ile pesa tuliliokuwa nayo. Tuliuza kilo 90. kwa hivyo tutafutiwe<br />
bei nafuu na Serikali iangalie maslahi maanake hatuna bunduki sisi sio wanayang’anyi, lakini wale wanaokuja kutunyang’anya ni<br />
wale brokers.