28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

23<br />

Com. Ibrahim Lethome Please summarize.<br />

Ms Pascal: The state must take responsible and other measures within its available resources to achieve the effective<br />

allocation <strong>of</strong> each <strong>of</strong> this (Inaudible). Honorable Commissioners that is the end <strong>of</strong> our memorandum.<br />

Com. Ibrahim Lethome Ogende: Thank you very much that is the truth. Register your memorandum to the Secretary.<br />

Stephen Muchaiis he Yes.<br />

Samuel Njuki: Asante Mabwana Mabibi Commissioners. Sikusoma sana…<br />

Com. Ibrahim Lethome Endelea tu. Jina kwanza.<br />

Samuel Njuki: Stephen MuchaiMkulima. Yangu ni moja mbili tatu hivi. Mimi ninavyosikia hapa ngarua. Na hivyo ninaanza<br />

Commissioners. Katiba hii yetu ya Kenya (Inaudible) lakini kuhusu ule mtu. Katiba Kinamba hadi rimuruti ni kama kilometers<br />

23 na hatuna watu wa kuweka lami tangu tulip<strong>of</strong>ika kanamba town mwisho.<br />

Com. Ibrahim Lethome Pendekeza pendekezo.<br />

Mr. Njuki: Pendekezo langu naona kila nilipoingia hapa tangu 70 naona watu wanakuja wakati hii siasa inakaribia na kuniuliza<br />

mbona mjaja na mna hii mbona hutaki kunitupia kura. Na akisha ingia huko Bunge basi blanketi mwisho. Kwa hivyo ni sijui ni<br />

vimbo lake kavu au ni mashujani kwangu mimi nina nyanyazwa. Barabara ukienda Thubiri na ndio soko yetu kubwa. The<br />

international market. Na kwa hivyo wewe Commissioner kama ukiwa ulipitia habari za Commission yake ulipata wa nyanya<br />

leo. Wakongwe kabisa. Wana jikakamua hawana chakula.<br />

Com. Ibrahim Lethome Wapi pendekezo Barabara ……<br />

Mr. Njuki: Barabara iwekwe lami kutoka hapa ishikane na ya Rumuruti hapa ikiweza kuwa headquaters. Mwisho wa<br />

pendekezo.<br />

Com. Ibrahim Lethome Endelea.<br />

Mr. Njuki: Jambo lingine la pili, Commissioner naomba Commissioner, mazao yetu hapa ni second in Kenya Kitale. Lakini<br />

tunaouzia ni walaghai wananau jioni wanakuja wa nabembe ile ile pesa tuliliokuwa nayo. Tuliuza kilo 90. kwa hivyo tutafutiwe<br />

bei nafuu na Serikali iangalie maslahi maanake hatuna bunduki sisi sio wanayang’anyi, lakini wale wanaokuja kutunyang’anya ni<br />

wale brokers.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!