28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

34<br />

nayo inahusu MP. Hii gender ina kitu kimoja tu cha wiziri mkuu au (Inaudible) lakini zote kwa vile tuwa lucky au approximate.<br />

Tunataka kupignia hii kiti na (Inaudible) tutamtuja Rais kwa kutopeteza. Raisi amechukua jukumu ya kumuweka mjaluo moja<br />

hapo (Inaudible). Saitoti don’t talk I am coming to them. Sitaki kuongea Kizungu maanaake kunachezea msaha. Haya akikaa<br />

anasema wewe Uhuru unajua baba yake ndio alinipatia alinigawia mali kidogo, alinigawia dunia hii na kumbe, na wewe kalia kiti<br />

a-a wewe kijana. Kwa hivyo bwana Commissioner nimewachekesha wenzangu huko nyuma kwa hivyo nisamehe kwa hivyo<br />

katika hii Bunge wanaonekana wana kiti kimoja tu wamekalia na kama Mungu akipenda si kitaenda na huyu mwingine.<br />

Mwisho wake.<br />

Com. Ibrahim Lethome Pendekeza, unapendekeza nini<br />

Mr. Njuki: Napendekeza hivi: nitafafanua kama mimi ni kasisi mmoja tu mimi sioni haja mtu anipige yale nimehubiri nimehubiri<br />

natosha naondoka.<br />

Com. Ibrahim Lethome Lenaola: Sio hivyo bwana, unajua tumekuja kuzungumza wazi wazi, na pr<strong>of</strong>essor alipoaanza hiki<br />

kikao alisema leo ni siku ya kusema wazi wazi sheria ina kulinda. Rais wa kuondoka mambo ya transfer <strong>of</strong> powers<br />

unapendekeza kitu gani> Awaambie watu wengi ama afanye vipi wacha kuleta mambo ya kasisi sasa Sema President<br />

akiondoka, au wakati wake ukifika wa kuondoka iwe namna gani<br />

Mr. Njuki: Bwana Commissioner na wananchi ni huyu Rais amuendeshe makamu wake pole pole hadi kuondoka kwa kiti,<br />

maanaake tumeona South Africa Mandela, tumeona (Inaudible), Nyerere. Yangu yamekwisha.<br />

Com. Ibrahim Lethome Asante sana bwana Njuki. (Inaudible) Peace Club. No Peace Club (Inaudible) hapa….. Oh you<br />

are there. How many memorandums do you have<br />

Speaker: They are two.<br />

Com. Ibrahim Lethome They are two, okay you will take to the table. We will start with you. Give us your names and<br />

summarize.<br />

Henry Mwangi: My names are Henry Mwangi.<br />

Com. Ibrahim Lethome You have 2 ½ minutes, 2 ½ minutes for the two.<br />

Henry Mwangi: One, Our Constitution must have a Preamble. Second one our citizenship: we should allow dual citizenship.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!