28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

104<br />

lingine ni kwa upande wa elimu; elimu iwe ni ya bure kutoka nursery mpaka darasa la nane. Ili kuwezesha wale watoto ambao<br />

wanaranda randa hapa mijini na nyumbani kukaa bila masomo, wapate nafasi hiyo, hata disabled wenyewe.Lile lingine ni vyama<br />

visiandikwe zaidi ya vitatu. Viwe vitatu na vizisidi tano. Pendekezo lile lingine nikiwa hapa, ni citizen aangaliwe ni yule<br />

indigenous ambae alikuwa hapa 1890. Na yule mtoto ambaye wazazi wake walikuwa hapa baada ya uhuru 1963.Lile lingine ni<br />

upande wa freedom and responsibility citizen. Hiyo nayo limit ya individual freedom should be preserved <strong>of</strong> other persons<br />

freedom. Lile lingine ni la military: Mkubwa wa military, na polisi na hao wengine should be head by Chief <strong>of</strong> General Staff na<br />

awe akiwa appointed na President. Lile lingine ni mambo ya taxation: Kila mwananchi awe akilipa kodi ili kuwezesha serikali<br />

iendelee na matumishi yake kwa kila mwaka. Mkuu wa Governor <strong>of</strong> Central Bank awe na authority yake mwenyewe, na right<br />

akitumia Katiba ya Parliament. Na awe akiwa appointed na confirmed na Parliament. Chief Justice vile vile nae afanye kazi<br />

bila kuwa chini ya mwingine na awe vetted na appointed by the President, na awe confirmed na Parliament.Attorney General<br />

vile vile ni namna hiyo, Controler ni vile vile na terms zao zisizidi miaka 65 kwa <strong>of</strong>isi. Kwa hivyo iende namna hiyo. Ile <strong>of</strong>isi<br />

nayo ningetaka kuweka mkazo sana, ni <strong>of</strong>fice <strong>of</strong> the Ombudsman. Hii <strong>of</strong>isi sijui kama iko kwa Katiba, iwe kwa Katiba ili iwe<br />

ikiangalia ma<strong>of</strong>isi haya yote nimesema hapo juu, ya Attorney General na mengine yote, iwe ni <strong>of</strong>isi t<strong>of</strong>auti ambayo investigate<br />

and complaints from the citizen inaangaliwa kabisa.Corruption nayo vile vile hapa, imeonekana kama imekubaliwa na sheria na<br />

kwa sababu imemaliza nchi hii, yule ambaye atakua ana hongana, na yule ambaye atahongwa, wanafungwa kifungo cha miaka<br />

zaidi ya mitano. Mambo ya President imesemwa na wale wengine waliyekuwako, lakini yangu inasema awe na miaka 35 na<br />

aingie kwa <strong>of</strong>isi miaka mitano na isizidi terms mbili.Local Authority Chairman na Vice Chairman awe amechaguliwa na wananchi<br />

kutoka mashinani mpaka mwisho na apite na kiwango cha kura zaidi ya 50%, na wakiwa zaidi ya wawili wafuatane namna hiyo.<br />

Wakiwa wamekuwa chini hiyo uchaguzi irudiwe. Education iwe ni ‘O’ level na awe ni mtu ambaye anatabia nzuri. Na miaka<br />

yake nayo iwe 35 mpaka 75. Hesabu ya kura ihesabiwe yote ya President, ya Local Authority na Parliament, yote ihesabiwe<br />

kwa station ile ambayo imetupiwa, after six O’ clock. Kwa hivyo hii document nimepatia Commission to peruse it for further<br />

recommendation. Thank you.Com. Ibrahim Lethome: Sasa yule mama nilikuwa nimesema ndiye wa mwisho, ameona<br />

atapeana memorandum yake bila kuzungumza. Nafikiri sasa kila kitu ambacho kina mwanzo kina mwisho wake. Huu ndio<br />

mwisho wa kikao chetu cha leo. Na tungependa kwanza kabisa kuwashukuru wananchi wa Rumuruti kwa vile mmejitokesha<br />

kwa wingi, tumepata maoni ya hali ya juu sana. Kisha tunawashukuru ile kamati ambayo imeshugulika na kutayarisha kikao hiki<br />

na kufanya mobilization, Jane na wenzake, is it Pricilla ama ni Pascaline. Tunawashukuru sana kwa ile kazi ambayo<br />

mmefanya, kijana ambaye alikuwa anashika micro-phone na kufasiri, na wengine wote ambao wako hapo na wengine ambao<br />

hawako hapa, tunawashukuru sana. Kule kuote tumeenda hatujaona mobilization ya hali ya juu kama ile ambayo tuliona jana na<br />

leo. Nyahururu sijui lakini Kinamba ninajua, it was very high mobilization, helicopter pia ilisaidia kuleta watu zaidi. Hapa leo pia<br />

nimefanya kazi ya hali ya juu asubuhi tulikuwa tunaogopa hakuna watu. Na pia nawashukuru wenzangu Jane na Dan kwa<br />

kusubiri mchana mzima. Sasa tungetaka kungependa kufunga kikao hiki kwa kumuomba mtu mmoja katika kamati ya watu<br />

walio hapa kama kuna neno lolote ambao mngetaka kusema. Jane do you have anything to say before we close Because the<br />

District Coordinator is not here, you have to say something.Jane W. Machira: Ningechukua ruhusa hii ya kuwarudishia<br />

asante. Wale wameenda na wale wamebaki, tafadhali watu wote ambao walikua kwa kikao hiki, the Commissioners na sisi<br />

Watu wa Centre for Conflict Resolution, tumefurahi sana na tumeona kazi ile tumefanya. Wale watakua wakienda nyumbani

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!