constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
104<br />
lingine ni kwa upande wa elimu; elimu iwe ni ya bure kutoka nursery mpaka darasa la nane. Ili kuwezesha wale watoto ambao<br />
wanaranda randa hapa mijini na nyumbani kukaa bila masomo, wapate nafasi hiyo, hata disabled wenyewe.Lile lingine ni vyama<br />
visiandikwe zaidi ya vitatu. Viwe vitatu na vizisidi tano. Pendekezo lile lingine nikiwa hapa, ni citizen aangaliwe ni yule<br />
indigenous ambae alikuwa hapa 1890. Na yule mtoto ambaye wazazi wake walikuwa hapa baada ya uhuru 1963.Lile lingine ni<br />
upande wa freedom and responsibility citizen. Hiyo nayo limit ya individual freedom should be preserved <strong>of</strong> other persons<br />
freedom. Lile lingine ni la military: Mkubwa wa military, na polisi na hao wengine should be head by Chief <strong>of</strong> General Staff na<br />
awe akiwa appointed na President. Lile lingine ni mambo ya taxation: Kila mwananchi awe akilipa kodi ili kuwezesha serikali<br />
iendelee na matumishi yake kwa kila mwaka. Mkuu wa Governor <strong>of</strong> Central Bank awe na authority yake mwenyewe, na right<br />
akitumia Katiba ya Parliament. Na awe akiwa appointed na confirmed na Parliament. Chief Justice vile vile nae afanye kazi<br />
bila kuwa chini ya mwingine na awe vetted na appointed by the President, na awe confirmed na Parliament.Attorney General<br />
vile vile ni namna hiyo, Controler ni vile vile na terms zao zisizidi miaka 65 kwa <strong>of</strong>isi. Kwa hivyo iende namna hiyo. Ile <strong>of</strong>isi<br />
nayo ningetaka kuweka mkazo sana, ni <strong>of</strong>fice <strong>of</strong> the Ombudsman. Hii <strong>of</strong>isi sijui kama iko kwa Katiba, iwe kwa Katiba ili iwe<br />
ikiangalia ma<strong>of</strong>isi haya yote nimesema hapo juu, ya Attorney General na mengine yote, iwe ni <strong>of</strong>isi t<strong>of</strong>auti ambayo investigate<br />
and complaints from the citizen inaangaliwa kabisa.Corruption nayo vile vile hapa, imeonekana kama imekubaliwa na sheria na<br />
kwa sababu imemaliza nchi hii, yule ambaye atakua ana hongana, na yule ambaye atahongwa, wanafungwa kifungo cha miaka<br />
zaidi ya mitano. Mambo ya President imesemwa na wale wengine waliyekuwako, lakini yangu inasema awe na miaka 35 na<br />
aingie kwa <strong>of</strong>isi miaka mitano na isizidi terms mbili.Local Authority Chairman na Vice Chairman awe amechaguliwa na wananchi<br />
kutoka mashinani mpaka mwisho na apite na kiwango cha kura zaidi ya 50%, na wakiwa zaidi ya wawili wafuatane namna hiyo.<br />
Wakiwa wamekuwa chini hiyo uchaguzi irudiwe. Education iwe ni ‘O’ level na awe ni mtu ambaye anatabia nzuri. Na miaka<br />
yake nayo iwe 35 mpaka 75. Hesabu ya kura ihesabiwe yote ya President, ya Local Authority na Parliament, yote ihesabiwe<br />
kwa station ile ambayo imetupiwa, after six O’ clock. Kwa hivyo hii document nimepatia Commission to peruse it for further<br />
recommendation. Thank you.Com. Ibrahim Lethome: Sasa yule mama nilikuwa nimesema ndiye wa mwisho, ameona<br />
atapeana memorandum yake bila kuzungumza. Nafikiri sasa kila kitu ambacho kina mwanzo kina mwisho wake. Huu ndio<br />
mwisho wa kikao chetu cha leo. Na tungependa kwanza kabisa kuwashukuru wananchi wa Rumuruti kwa vile mmejitokesha<br />
kwa wingi, tumepata maoni ya hali ya juu sana. Kisha tunawashukuru ile kamati ambayo imeshugulika na kutayarisha kikao hiki<br />
na kufanya mobilization, Jane na wenzake, is it Pricilla ama ni Pascaline. Tunawashukuru sana kwa ile kazi ambayo<br />
mmefanya, kijana ambaye alikuwa anashika micro-phone na kufasiri, na wengine wote ambao wako hapo na wengine ambao<br />
hawako hapa, tunawashukuru sana. Kule kuote tumeenda hatujaona mobilization ya hali ya juu kama ile ambayo tuliona jana na<br />
leo. Nyahururu sijui lakini Kinamba ninajua, it was very high mobilization, helicopter pia ilisaidia kuleta watu zaidi. Hapa leo pia<br />
nimefanya kazi ya hali ya juu asubuhi tulikuwa tunaogopa hakuna watu. Na pia nawashukuru wenzangu Jane na Dan kwa<br />
kusubiri mchana mzima. Sasa tungetaka kungependa kufunga kikao hiki kwa kumuomba mtu mmoja katika kamati ya watu<br />
walio hapa kama kuna neno lolote ambao mngetaka kusema. Jane do you have anything to say before we close Because the<br />
District Coordinator is not here, you have to say something.Jane W. Machira: Ningechukua ruhusa hii ya kuwarudishia<br />
asante. Wale wameenda na wale wamebaki, tafadhali watu wote ambao walikua kwa kikao hiki, the Commissioners na sisi<br />
Watu wa Centre for Conflict Resolution, tumefurahi sana na tumeona kazi ile tumefanya. Wale watakua wakienda nyumbani