28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

105<br />

wakati huu, tafadhali warudishieni asante na tumeshukuru sana kwa ile kazi mmefanya ya kushinda na sisi hapa. Commissioner<br />

wetu mmesikia amesema ni asante sana. The staff with the Commissioner, wamefurahi sana tumeongea na mmoja wetu Jane na<br />

amesema hiki ni kikao kimekua kizuri zaidi, wamefurahia zaidi. Asante sana Mr. Commissioner na asante staff wa CKRC<br />

Kenya. Wakati huu, tupate mtu mmoja wa kutuendesha kwa maombi, ndio Mr Commissioner<br />

Com. Ibrahim Lethome: Ndiyo.<br />

Pastor Lebaleiya: Basi kila mtu atulie na tuwe na wakati wa heshima kwa Mungu tukiomba, tuombe.<br />

Tunashukuru sana Mungu wetu. Kwa sababu ya wema wako. Tunakushukuru kwa sababu yasiku hii njema. Umetunjalia tuwe<br />

na siku mzuri. wananchi wa area hii wameweza kutoa maoni yao kwa <strong>commission</strong>ers nao pia umewapatia uwezo wa kuandika<br />

na kuweka vizuri maoni yao. Tunashukuru kwa sababu wakati mzuri. Hivyo basi mungu wetu tunakurudishia shukurani.<br />

Tunaomba kwamba maoni hayo yetu, yaweze kufika mahali ambapo inafaa. Na hatimaye tuwe na constituion au Katiba<br />

ambayo inaweza kushugulikia wananchi wa <strong>kenya</strong> ipasavyo.tunaombea wananchi wote safari njema wanaporudi. Na hata<br />

wageni wetu <strong>commission</strong>ers hawa tunawaombea safari mzuri hata tunaposhugulika mahali pengine. Mungu wape afya njema<br />

nawakati mzuri ili waweze kutumikia wananchi wa <strong>kenya</strong>. Na hata wengine wanaposhugulika mahali kwingine taifa letu. Mungu<br />

tunaomba ya kwamba utawatumia vizuri. Ni asante kwa sababu kwamba utatupa Katiba mpya baada ya shuguli hii yote. Ni<br />

asante Mungu wetu kwa sababu umeshasikiamaombi yetu. Haya tunaomba katika jina la baba, na la mwana, na roho<br />

Mtakatifu. Amen !<br />

Jane W. Machira: Wananchi msikie.kesho kutakuwa na maoni huko.<br />

The meeting ended at 5.30 p.m.<br />

&&&&&

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!