constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
24<br />
Point ya pili. Mifugo tuonayo inatoa maziwa ya kutosha, lakini ukizidisha mifugo ng’ombe, mbuzi hamsini, usiku huo huo hata ya<br />
maziwa haibakii hata kuku na ukikataa roho yako inaenda.<br />
Com. Ibrahim Lethome Pendekezo.<br />
Mr. Njuki: Pendekezo ni wewe Bwana Commissioner uangalie, ukijiangalia tumbo yako au binafsi ya pesa yako, uandalie<br />
hata mimi nimetunzwa maana roho yangu ni kali si sawa na roho zingine. Jambo la tatu nitatumia mfano wa yule tajiri. Akiona<br />
ninaendelea vilivyo. Sisemi ni tajiri gani au la. Afadhali haungane roho yangu iende. Kwa hivyo utajiri wake uenee. Kwa nini<br />
roho yangu iende Kwa nini yeye amehonga Mungu gani na mimi simuhongi<br />
Com. Ibrahim Lethome Basi pendekeza.<br />
Mr. Njuki: Na pendekeza.<br />
Com. Ibrahim Lethome Unasema roho yake<br />
Mr. Njuki: Roho yake, hata hivyo iende. Kama roho yangu iende basi hata yeye tajiri hataki niendelee tit for tat. Ya nne,<br />
nayo inahusu MP. Hii gender ina kitu kimoja tu cha wiziri mkuu au (Inaudible) lakini zote kwa vile tuwa lucky au approximate.<br />
Tunataka kupignia hii kiti na (Inaudible) tutamtuja Rais kwa kutopeteza. Raisi amechukua jukumu ya kumuweka mjaluo moja<br />
hapo (Inaudible). Saitoti don’t talk I am coming to them. Sitaki kuongea Kizungu maanaake kunachezea msaha. Haya akikaa<br />
anasema wewe Uhuru unajua baba yake ndio alinipatia alinigawia mali kidogo, alinigawia dunia hii na kumbe, na wewe kalia kiti<br />
a-a wewe kijana. Kwa hivyo bwana Commissioner nimewachekesha wenzangu huko nyuma kwa hivyo nisamehe kwa hivyo<br />
katika hii Bunge wanaonekana wana kiti kimoja tu wamekalia na kama Mungu akipenda si kitaenda na huyu mwingine.<br />
Mwisho wake.<br />
Com. Ibrahim Lethome Pendekeza, unapendekeza nini<br />
Mr. Njuki: Napendekeza hivi: nitafafanua kama mimi ni kasisi mmoja tu mimi sioni haja mtu anipige yale nimehubiri nimehubiri<br />
natosha naondoka.<br />
Com. Ibrahim Lethome Lenaola: Sio hivyo bwana, unajua tumekuja kuzungumza wazi wazi, na pr<strong>of</strong>essor alipoaanza hiki<br />
kikao alisema leo ni siku ya kusema wazi wazi sheria ina kulinda. Rais wa kuondoka mambo ya transfer <strong>of</strong> powers<br />
unapendekeza kitu gani> Awaambie watu wengi ama afanye vipi wacha kuleta mambo ya kasisi sasa Sema President<br />
akiondoka, au wakati wake ukifika wa kuondoka iwe namna gani