28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

50<br />

Tuna Serikali lingine ni ya mtukufu Raisi Arap Moi. Yale mashamba ambao mtukufu Moi amechukuwa wakiwa na wale<br />

wanamzunguka. Napendekeza ya kwamba irundishwe ma-squatters ambao hawa ndio walipandika jina masquatters. Bwana<br />

mwenyekiti napendekeza ya kwamba hawa wanyakuzi wa mashamba kila mmoja wao ambaki na 50 acres.<br />

Bwana mwenyekiti ni hali ya pesa. Kuanzia wakati wa hayati Mzee Jomo Kenyatta aliharibu Serikali ya Kenya. Akachukua<br />

pesa akapeleka nje. Bwana mwenyekiti nbapendekeza kwamba zile pesa zilipelekwa nje zirudishwe hapa Kenya hata kama ni<br />

Uhuru aitishwe hizo pesa zitumiwe na hao wananchi.<br />

Jambo la tatu ikiwa wewe ni daktari ama ni mwalimu napendekeza ya kwamba dakatari aongezwe mshahara ili sisi tukiwa<br />

wananchi tukienda katika hospitali tunaambiwa hakuna dawa. Huyu daktari kwa sababu amenyimwa mshahara ya kutosha<br />

anaweka hospitali yake pale anachukua madawa anakuandika “hospitali” yake. Sheria irekebishwe. Wasiruhishiwe kuweka<br />

hospitali yoyote katika Kenya.<br />

Jambo la mwisho Bwana mwenyekiti ni hili. Katika Kenya watu wengine wamekuwa matajiri. Wananyanyasa wengine. Kuna<br />

pombe inaitwa changaa kuna inaitwa busaa. Bwana mwenyekiti pombe ni pombe. Bwana mwenyekiti nikumangalia hapa hata<br />

mimi sioni kama mna matumbo ile inatolewa na wengine. Mimi naona ninyi ni watu wa kawaida. Labda nyinyi mmetolewa<br />

katikati baba zenu na mama zenu ni wa changaa. Wamewasomesha na hiyo kitu kinadharuliwa na matajiri. Mimi napendekeza<br />

ya kwamba katika Kenya hii kwa sababu watoto wetu tumesomesha na changaa na busaa pombe yoyote isiwe na madaraka<br />

ipigwe marufuku. Na hilo ndilo la mwisho bwana mwenyekiti.<br />

Com. Ibrahim Lethome: Asante sana Bwana Maina . Okay Michael Muriithi.<br />

Michael Muriithi: honorable <strong>commission</strong>ers. My names are Michael Muriithi. And I am here presenting my views on behalf <strong>of</strong><br />

the catholic church. For the national shifters …………… (inaudible) as a Parliamentary candidate in this constituency,<br />

Honourable Commissioners, Coordinators to the Constitutional <strong>review</strong>, these are my views. They are personal views. What<br />

we are talking about here, views presented by Permisio Wangai Ngari to the Constitution <strong>of</strong> Kenya Review, to summarize this<br />

is one <strong>review</strong> during the Constituency hearing at Kinamba. People <strong>of</strong> Kenya are looking for a Constitution that will give them<br />

their property. A security <strong>of</strong> their property and animals.<br />

In this region we have a lot <strong>of</strong> problem with the security and the biggest problem we have the armed people around us. We<br />

have the Pokot who are armed, we have the Turkana with arms, we have the Tugen with arms. The only one community here I<br />

am sorry to say the Kikuyu are not armed and you are surrounded by that type <strong>of</strong> people. in some area like Kuremarani and<br />

Tumuruti you cannot keep an animal. You cannot keep a cow or a goat if you don’t come from these pastoral tribes. So we<br />

want the Constitution that will empower people …………… (inaudible) even if it means we open shops for guns. Let us get

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!