constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
50<br />
Tuna Serikali lingine ni ya mtukufu Raisi Arap Moi. Yale mashamba ambao mtukufu Moi amechukuwa wakiwa na wale<br />
wanamzunguka. Napendekeza ya kwamba irundishwe ma-squatters ambao hawa ndio walipandika jina masquatters. Bwana<br />
mwenyekiti napendekeza ya kwamba hawa wanyakuzi wa mashamba kila mmoja wao ambaki na 50 acres.<br />
Bwana mwenyekiti ni hali ya pesa. Kuanzia wakati wa hayati Mzee Jomo Kenyatta aliharibu Serikali ya Kenya. Akachukua<br />
pesa akapeleka nje. Bwana mwenyekiti nbapendekeza kwamba zile pesa zilipelekwa nje zirudishwe hapa Kenya hata kama ni<br />
Uhuru aitishwe hizo pesa zitumiwe na hao wananchi.<br />
Jambo la tatu ikiwa wewe ni daktari ama ni mwalimu napendekeza ya kwamba dakatari aongezwe mshahara ili sisi tukiwa<br />
wananchi tukienda katika hospitali tunaambiwa hakuna dawa. Huyu daktari kwa sababu amenyimwa mshahara ya kutosha<br />
anaweka hospitali yake pale anachukua madawa anakuandika “hospitali” yake. Sheria irekebishwe. Wasiruhishiwe kuweka<br />
hospitali yoyote katika Kenya.<br />
Jambo la mwisho Bwana mwenyekiti ni hili. Katika Kenya watu wengine wamekuwa matajiri. Wananyanyasa wengine. Kuna<br />
pombe inaitwa changaa kuna inaitwa busaa. Bwana mwenyekiti pombe ni pombe. Bwana mwenyekiti nikumangalia hapa hata<br />
mimi sioni kama mna matumbo ile inatolewa na wengine. Mimi naona ninyi ni watu wa kawaida. Labda nyinyi mmetolewa<br />
katikati baba zenu na mama zenu ni wa changaa. Wamewasomesha na hiyo kitu kinadharuliwa na matajiri. Mimi napendekeza<br />
ya kwamba katika Kenya hii kwa sababu watoto wetu tumesomesha na changaa na busaa pombe yoyote isiwe na madaraka<br />
ipigwe marufuku. Na hilo ndilo la mwisho bwana mwenyekiti.<br />
Com. Ibrahim Lethome: Asante sana Bwana Maina . Okay Michael Muriithi.<br />
Michael Muriithi: honorable <strong>commission</strong>ers. My names are Michael Muriithi. And I am here presenting my views on behalf <strong>of</strong><br />
the catholic church. For the national shifters …………… (inaudible) as a Parliamentary candidate in this constituency,<br />
Honourable Commissioners, Coordinators to the Constitutional <strong>review</strong>, these are my views. They are personal views. What<br />
we are talking about here, views presented by Permisio Wangai Ngari to the Constitution <strong>of</strong> Kenya Review, to summarize this<br />
is one <strong>review</strong> during the Constituency hearing at Kinamba. People <strong>of</strong> Kenya are looking for a Constitution that will give them<br />
their property. A security <strong>of</strong> their property and animals.<br />
In this region we have a lot <strong>of</strong> problem with the security and the biggest problem we have the armed people around us. We<br />
have the Pokot who are armed, we have the Turkana with arms, we have the Tugen with arms. The only one community here I<br />
am sorry to say the Kikuyu are not armed and you are surrounded by that type <strong>of</strong> people. in some area like Kuremarani and<br />
Tumuruti you cannot keep an animal. You cannot keep a cow or a goat if you don’t come from these pastoral tribes. So we<br />
want the Constitution that will empower people …………… (inaudible) even if it means we open shops for guns. Let us get