constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
9<br />
Com. Ibrahim Lethome (inaudible) is not there. Gospel Tabernacle. You have a memorandum<br />
Speaker: Niko nayo kidogo.<br />
Com. Ibrahim Lethome Please summarize it. Give us your name.<br />
Pastor Joseph Macharia: Pastor Joseph Macharia. Gospel Tabernacle Churches <strong>of</strong> <strong>kenya</strong>. Asante <strong>commission</strong>ers. Yangu<br />
nina address kwa Kiswahili kwa kuwa sijasoma sana. niko na masomo kidogo. Ninaenda kuhusu powers <strong>of</strong> president. Hii<br />
inaitwa execess powers. Ama guvu ambazo sinapita kiasi. Ninaye ya coalition government ama Serikali ya umoja. Ninaye ya<br />
ku-create viti kama ya prime minister, na deputy prime minister, first vice president, deputy vice president. na niko na academic<br />
ya shule za mizingi std one std seven.<br />
Ningependa kuguzia sasa ya presidential powers. Ama nguvu za rais. katika ma rais ambao tumewahi kuwa nao ni wa kwanza<br />
Jomo Kenyatta na wapili huyu ambaye tuko naye sasa. Kwa kuhusu kuwa na nguvu nyingi kiserikali. Inawaletea watu kupata<br />
tena wanaumizwa na nguvu nyingi. Ni maoni ya kanisa. President asiwe akiwa juu ya sheria na Katiba hasa nchi ya <strong>kenya</strong>. Awe<br />
akiongoza akiwa chini ya mjimbu wa Katiba ya nchi ya Kenya. Akifanya kosa lolote yeye anashikwa pia kama vile ninaweza<br />
kushikwa. Na vile vile prime minister asiwe juu ya Katiba. Na pia deputy prime minister. Na pia first vice president na hata<br />
deputy president na vice president wake. Kwa kuwa nguvu nyingi sinafanya watu waumizwe.<br />
Ile ingine ni ya academic. Shule zetu. Kulingana na vile economic ya nchi ya <strong>kenya</strong> inakua pole pole. Kungekuwa na sheria<br />
ambayo inaruhusu watoto wetu kusoma. Kwa maana wazazi walioko na economy ambayo iko. Inatunyima nafasi kusoma kwa<br />
vitu ambavyo vinahitajika ili mtoto asome. Ni vizuri kuwe na sheria watoto wetu wasome bure. Kuanzia standard one mpaka<br />
std seven. Serikali inatafuta jinsi ya kufinance school equipment. Kama vitu ambavyo vinahitajika kusomesha. Zenye<br />
sinahitajika na mwalimu. Na zenye sinahitajika hata kwa mtoto. Kanisa ingeonelea kuwe na jinsi ambavyo watoto hawa<br />
watasoma hivo na Serikali itafute kama hizo pesa zitakuwa zikitoka kwa donors ili waweze kupatia school equipments scheme.<br />
Ama sikiwa aitatoka kwa taxes. kwa kuwa tunakuwa taxed. Na zile tunakuwa taxed nazo zinaenda kwa parliament, mabunge<br />
wanakuwa na pesa nyingi na kule shule hakuna facilities za kutosha.<br />
Com. Ibrahim Lethome Na pendekezo lako ni<br />
Pastor: Katika academic<br />
Com. Ibrahim Lethome Mh.<br />
Pastor: Tuwe na Katiba ambayo inaruhusu Serikali kununua hizi vitu na viwe pale kwa shule.