constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
48<br />
Mr. Makimei: Ni twetikira, haria hangi ngukiuga atiriri. Ende kurutwo ri. Acokaga kuri mwandiki. Kana athiaga.<br />
No ongererwo matuko mwena ungi na ndacoke kwi raiya yamuthurire mbungeine.<br />
Translator: Jambo lile lingine ni, mwajiri kazi ikisha yeye hawezi kujilazimisha kuendelea na kazi.<br />
Mr. Makimei: uguo noguo nguragia<br />
Translator: na amatosheka<br />
Com. Ibrahim Lethome Ni thengiu muno muthee. Joseph Mwangi. Hi muthee. Laikipia High Power animal karibia<br />
karibia hapa. sema jina halafu endelea.<br />
Stephen Muchai: Asante Mabwana Mabibi Commissioners. Sikusoma sana…<br />
Com. Ibrahim Lethome Endelea tu. Jina kwanza.<br />
Mr. Muchai: Stephen MuchaiMkulima. Yangu ni moja mbili tatu hivi. Mimi ninavyosikia hapa ngarua. Na hivyo ninaanza<br />
Commissioners. Katiba hii yetu ya Kenya (Inaudible) lakini kuhusu ule mtu. Katiba Kinamba hadi rimuruti ni kama kilometers<br />
23 na hatuna watu wa kuweka lami tangu tulip<strong>of</strong>ika kanamba town mwisho.<br />
Com. Ibrahim Lethome Pendekeza pendekezo.<br />
Mr. Njuki: Pendekezo langu naona kila nilipoingia hapa tangu 70 naona watu wanakuja wakati hii siasa inakaribia na kuniuliza<br />
mbona mjaja na mna hii mbona hutaki kunitupia kura. Na akisha ingia huko Bunge basi blanketi mwisho. Kwa hivyo ni sijui ni<br />
vimbo lake kavu au ni mashujani kwangu mimi nina nyanyazwa. Barabara ukienda Thubiri na ndio soko yetu kubwa. The<br />
international market. Na kwa hivyo wewe Commissioner kama ukiwa ulipitia habari za Commission yake ulipata wa nyanya<br />
leo. Wakongwe kabisa. Wana jikakamua hawana chakula.<br />
Com. Ibrahim Lethome Wapi pendekezo Barabara ……<br />
Mr. Muchai: Barabara iwekwe lami kutoka hapa ishikane na ya Rumuruti hapa ikiweza kuwa headquaters. Mwisho wa<br />
pendekezo.<br />
Com. Ibrahim Lethome Endelea.<br />
Mr.Muchai: Jambo lingine la pili, Commissioner naomba Commissioner, mazao yetu hapa ni second in Kenya Kitale. Lakini<br />
tunaouzia ni walaghai wananau jioni wanakuja wa nabembe ile ile pesa tuliliokuwa nayo. Tuliuza kilo 90. kwa hivyo tutafutiwe