28.12.2014 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

92<br />

Speaker:<br />

Mr. Makimei: Ni twetikira, haria hangi ngukiuga atiriri. Ende kurutwo ri. Acokaga kuri mwandiki. Kana<br />

athiaga. No ongererwo matuko mwena ungi na ndacoke kwi raiya yamuthurire mbungeine.<br />

Translator: Jambo lile lingine ni, mwajiri kazi ikisha yeye hawezi kujilazimisha kuendelea na kazi.<br />

Mr. Makimei: uguo noguo nguragia<br />

Translator: na ametosheka<br />

Com. Ibrahim Lethome Ni thengiu muno muthee. Joseph Mwangi. Ii muthee. Laikipia High Power animal karibia<br />

karibia hapa. sema jina halafu endelea.<br />

Joseph Mwangi: Asante sana mzee. Langu kwanza ningeuliza Serikali itakayosimamia madaraka ya Kenya,<br />

ningependekeza kwanza wachunge wasichana. Hii inaonyesha wanaharibiwa wakiwa wadogo sana na walaghai. Na watu<br />

wasio na huruma kwa watoto. Hiyo imani udhi kabisa. Maana siku tu ukilala. Unasikia mtoto. Nyumba imefunjwa mtoto<br />

ameshikwa mama ameuwawa infront <strong>of</strong> yopu. Vibaya sana hiyo ningeulizas <strong>kenya</strong> raping ifaliwe kama vile mtu anaua.<br />

La pili nikizungumzia mahali hapa katika Ngarua, misitu imeharibiwa kabisa. Na hii imesemwa na wengi na ni ukweli<br />

kabisa, hakuna misitu imeharibika kwa hivyo mvua imekuwa hakuna turudishe msitu vile ilivyokuwa mbeleni. Wakulima<br />

wapatiwe mikopo. Hapo ningetaja zaida kwa maana hakuna mtu anashugulikia na wakulima.na watoto wao hawawezi<br />

kuendelea shule kwa ajili ya kufukuzwa kila siku kwa ajili ya matumizi kidogo kidogo kutoka kwa shule.<br />

Upande mwingine ni<br />

(inaudible) niko na shamba huko. Lakini siwezi kulima hiyo shamba kwa ajili ya<br />

ku[pigwa. Nauliza tunaweza kusaidiwa namna gani ili yale mashamba yale na tuliyanunua na watoto wetu. Sasa Serikali<br />

itupatie more security kwa upande ule. Watu wa aina mbali mabali wakiwa wa kabila gani dini gani, ukoo wasiwe na vitu<br />

vya vita. Kama hapa hakuna mtu ako na vitu vya vita. Wasiwe na vitu vya vita ambavyo vinatumika wakati wowote kuua<br />

watu. Ningeuliza Serikali kama mtuanataka kuopatiwa kitu cha kujikinga nacho vita apatiwe license na Serikali sawasawa,<br />

na tumjue ni nani badala ya hivyo tulivyo.<br />

Katika upande wa maendeleo katika upande wetu wa Ngarua iwe distributed kila mahali ili watu wetu wote wasaidike.<br />

Hapa tuna kabila tunaka na makabila mengi na na ninashukuru Mungu kwa sababu ya hiyo. Akionekana mtu wa aina hiyo<br />

Serikali ichikue nafasi na kumuwekea ndani.<br />

XXXX<br />

Com. Ibrahim Lethome Jambo la mwisho.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!