constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
92<br />
Speaker:<br />
Mr. Makimei: Ni twetikira, haria hangi ngukiuga atiriri. Ende kurutwo ri. Acokaga kuri mwandiki. Kana<br />
athiaga. No ongererwo matuko mwena ungi na ndacoke kwi raiya yamuthurire mbungeine.<br />
Translator: Jambo lile lingine ni, mwajiri kazi ikisha yeye hawezi kujilazimisha kuendelea na kazi.<br />
Mr. Makimei: uguo noguo nguragia<br />
Translator: na ametosheka<br />
Com. Ibrahim Lethome Ni thengiu muno muthee. Joseph Mwangi. Ii muthee. Laikipia High Power animal karibia<br />
karibia hapa. sema jina halafu endelea.<br />
Joseph Mwangi: Asante sana mzee. Langu kwanza ningeuliza Serikali itakayosimamia madaraka ya Kenya,<br />
ningependekeza kwanza wachunge wasichana. Hii inaonyesha wanaharibiwa wakiwa wadogo sana na walaghai. Na watu<br />
wasio na huruma kwa watoto. Hiyo imani udhi kabisa. Maana siku tu ukilala. Unasikia mtoto. Nyumba imefunjwa mtoto<br />
ameshikwa mama ameuwawa infront <strong>of</strong> yopu. Vibaya sana hiyo ningeulizas <strong>kenya</strong> raping ifaliwe kama vile mtu anaua.<br />
La pili nikizungumzia mahali hapa katika Ngarua, misitu imeharibiwa kabisa. Na hii imesemwa na wengi na ni ukweli<br />
kabisa, hakuna misitu imeharibika kwa hivyo mvua imekuwa hakuna turudishe msitu vile ilivyokuwa mbeleni. Wakulima<br />
wapatiwe mikopo. Hapo ningetaja zaida kwa maana hakuna mtu anashugulikia na wakulima.na watoto wao hawawezi<br />
kuendelea shule kwa ajili ya kufukuzwa kila siku kwa ajili ya matumizi kidogo kidogo kutoka kwa shule.<br />
Upande mwingine ni<br />
(inaudible) niko na shamba huko. Lakini siwezi kulima hiyo shamba kwa ajili ya<br />
ku[pigwa. Nauliza tunaweza kusaidiwa namna gani ili yale mashamba yale na tuliyanunua na watoto wetu. Sasa Serikali<br />
itupatie more security kwa upande ule. Watu wa aina mbali mabali wakiwa wa kabila gani dini gani, ukoo wasiwe na vitu<br />
vya vita. Kama hapa hakuna mtu ako na vitu vya vita. Wasiwe na vitu vya vita ambavyo vinatumika wakati wowote kuua<br />
watu. Ningeuliza Serikali kama mtuanataka kuopatiwa kitu cha kujikinga nacho vita apatiwe license na Serikali sawasawa,<br />
na tumjue ni nani badala ya hivyo tulivyo.<br />
Katika upande wa maendeleo katika upande wetu wa Ngarua iwe distributed kila mahali ili watu wetu wote wasaidike.<br />
Hapa tuna kabila tunaka na makabila mengi na na ninashukuru Mungu kwa sababu ya hiyo. Akionekana mtu wa aina hiyo<br />
Serikali ichikue nafasi na kumuwekea ndani.<br />
XXXX<br />
Com. Ibrahim Lethome Jambo la mwisho.