28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mpya anapotakiwa kwenda kuripoti kwenye kituo<br />

chake ni lazima awe na vyeti halisi vya masomo ili<br />

kuthibitisha kwamba huyu aliyekuja ndiye mwenye<br />

vyeti hivi ili pia aweze kuendelea na taratibu nyingine<br />

za utumishi.<br />

Mheshimiwa Spika, wale ambao hawajalipwa<br />

mshahara wa mwezi Februari, utaratibu wa ulipaji wa<br />

mishahara ni kwamba mtumishi anaporipoti kituo cha<br />

kazi kabla ya tarehe 15 tuna uhakika kwamba atalipwa<br />

mshahara wa mwezi ule lakini anapokuja kuripoti<br />

baada ya tarehe ile, taratibu za kiutumishi haziwezi<br />

kumwezesha kupata mshahara ndani ya mwezi huo<br />

kwa sababu kunakuwa na process ya kuhakiki na<br />

kuona kwamba yeye ni mtumishi halali. Walimu wengi<br />

tuliowapangia mwaka huu 2012 kwenye vituo vya kazi<br />

tulitoa matangazo tarehe 01/2/ na kwa hiyo wengi<br />

walikuja kuripoti baada ya tarehe 15 na ndiyo sababu<br />

hawakuweza kupata mishahara ya mwezi Februari.<br />

Kwa sasa tatizo hilo la kukosa mishahara linatokana na<br />

taratibu za utumiaji wa mtandao mpya. Halmashauri<br />

na Utumishi tumejiweka vizuri kuhakikisha kwamba<br />

hakuna tatizo tena la mtumishi kutokupata mshahara<br />

wake wakati wa utumishi.<br />

Mheshimiwa Spika, suala la malipo ya Walimu,<br />

madeni mbalimbali ambayo yamepelekea Serikali<br />

kuhakiki upya kwenye maeneo haya. Taarifa za ulipaji<br />

wa madeni kwenye maeneo yote, madeni yote ya<br />

Walimu yaliyohakikiwa yameshalipwa na Mamlaka ya<br />

Serikali za Mitaa na madeni haya yalikuwa pia na<br />

Wizara ya Elimu lakini taarifa tulizonazo, Wizara ya Elimu<br />

imekamilisha.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!