28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mpaka shilingi 35,000, hii siyo sawa! Ninaomba<br />

muangalie utaratibu mzuri wa wananchi kukata tiketi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nilikuwa pia ninaulizia<br />

usafiri wa Tabora - Kaliua mpaka Mpanda, usafiri huu<br />

unaanza lini kwa kuwa usafiri ni mgumu sana kwa watu<br />

wanaotokea maeneo ya Mpanda.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba Wizara ya Ardhi<br />

na Wizara ya Uchukuzi washirikiane kutatua matatizo<br />

ambayo yanasababishwa na TPA ambao wamekuwa<br />

na maeneo yao yaani kama wana bandari kavu lakini<br />

wamekuwa wakitaka kuingilia maeneo ya wananchi<br />

wanapokaa kwa mfano Gungu kuna eneo la Katosho,<br />

TPA wana eneo lao toka mwaka 1964 lakini sasa<br />

wametaka ku-expand kwa nini wanataka kuingia<br />

maeneo ya watu na wasiende kwenye maeneo<br />

ambayo hayana watu Kuna eneo moja karibu na<br />

Bwawa la Katosho, kuna nafasi ya kutosha, mshirikiane<br />

na wananchi ili muweze kujua mipaka yenu inaishia<br />

wapi na wao wanaishia wapi ili kuondoa matatizo<br />

ambayo yanaendelea. Ninawashukuru sana<br />

Mheshimiwa Waziri wa Uchukuzi na Mheshimiwa Waziri<br />

wa Ardhi wamelisimamia jambo hili na Mkuu wa Mkoa<br />

na ameweza kusimamisha, hakuna kinachoendelea<br />

sasa hivi lakini wananchi wamekaa hawaelewi ni nini<br />

kinachoendelea, mlimalize hili ili watu waendelee na<br />

shughuli zao.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, RAHCO ni kampuni<br />

ambayo ilianzishwa chini ya Sheria Namba 4 ya 2002<br />

katika kuhakikisha kuwa inakuwa msimamizi wa mali za<br />

shirika wakati reli inapokuwa imebinafsishwa lakini mimi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!