28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

pale yako current na yanaendana na wakati wa sasa,<br />

je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani madhubuti wa kuwatumia<br />

wale wanafunzi waliomaliza ile Shahada ya Counseling<br />

ili waweze kutoa msaada katika Taifa letu la Tanzania<br />

NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII:<br />

Mheshimiwa Spika, sina hakika kama kweli vyuo vikuu<br />

vyetu vinatoa mafunzo na taaluma ambazo ni<br />

irrelevant. Naamini tunatoa wataalam kwa malen<strong>go</strong><br />

ya kutekeleza kazi maalum kutegemeana na fani<br />

husika na ukweli tunaona tumekuwa na Walimu,<br />

Madaktari, Wahandisi na kadhalika. Kwa hiyo, ni<br />

mafunzo ambayo yanaenda kwa kutekeleza malen<strong>go</strong><br />

fulani ya kukabiliana na changamoto za maisha yetu<br />

kwa ujumla wetu. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, nafahamu Chuo Kikuu cha<br />

Tumaini kinatoa mafunzo ya counseling na ni muhimu<br />

pia katika kuwatumia hao counselors kwa kusudio la<br />

kutoa ushauri nasaha. Ushauri nasaha unaweza<br />

kwenda kiuchumi, kifamilia, maeneo ya kazi,<br />

ma<strong>go</strong>njwa na kwa ujumla ushauri nasaha huo<br />

unaweza kuwa mpana kwa kiasi chake. Kwa sasa hivi<br />

tunawatumia Maafisa Ustawi wa Jamii katika kutoa<br />

ushauri nasaha pale inapohusu mgandamizo (stress).<br />

MHE. ZAYNAB M. VULLU: Mheshimiwa Spika,<br />

ahsante kwa kunipa nafasi hii. Napenda kujua Serikali<br />

ina mpan<strong>go</strong> gani wa kupeleka watoa ushauri nasaha<br />

katika shule zetu za Msingi na Sekondari ili kusaidia<br />

wanafunzi wa kike na kiume wajitambue na kuweza<br />

kuepukana na mimba za utotoni na kujua ni jinsi gani<br />

watajikinga na mafataki

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!