28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wado<strong>go</strong> zake wakion<strong>go</strong>zwa na mke wake Mrs. Furaha<br />

J. Tizeba. Mrs. Furaha Tizeba asimame kwanza,<br />

ahsante. Halafu na wado<strong>go</strong> zake wengine wasimame.<br />

Ahsante sana. (Makofi)<br />

Tuna wageni waliofika kwa ajili ya Mafunzo hawa<br />

ni Waheshimiwa Madiwani 47 ambao ni wageni wa<br />

Mheshimiwa Dkt. Charles Tizeba, Naibu Waziri wa<br />

Uchukuzi na Mheshimiwa William Ngeleja wanatoka<br />

katika Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Mwanza<br />

wakion<strong>go</strong>zwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo<br />

Mheshimiwa Mathew Lubongeja. Mheshimiwa Meya<br />

kwanza asimame Lubongeja tumwone na<br />

Waheshimiwa Madiwani wengine wote wasimame.<br />

Ahsante sana Waheshimiwa. Naamini mnafanya kazi<br />

yenu kadri inavyopaswa, ahsanteni sana. (Makofi)<br />

Tuna wanafunzi wengine 50 pamoja na Walimu<br />

wao kutoka shule ya msingi El-Shaddai Dodoma,<br />

wasimame hao wanafunzi 50, ahsante sana, karibuni<br />

sana tumefurahia kuwaona. (Makofi)<br />

Tuna wanafunzi 60 pamoja na Walimu wao kutoka<br />

shule ya msingi Msalato. Tunaomba wasimame<br />

wanafunzi wa Msalato na walimu. Ahsanteni sana,<br />

tumefurahi kuwaona. (Makofi)<br />

Tuna wanafunzi 50 pamoja na Walimu wao kutoka<br />

shule ya Sekondari ya Jamhuri Dodoma. Wako wapi<br />

wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Jamhuri, ahsante<br />

sana. Msome kwa bidii. (Makofi)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!