28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

uendeshaji wa michezo ngazi ya Kata na Wilaya<br />

unatokana na mikakati inayotolewa, kuna fedha ile ya<br />

capitation ambayo imekwenda kwenye shule zile<br />

baada ya makubaliano hayo. Kwa kwa hiyo basi,<br />

tutaendelea kuboresha uendeshaji wa michezo nchini<br />

kwa kutenga bajeti pekee mbali ya capitation ili sasa<br />

kuwawezesha Wakuu wa Shule kutokupata tatizo la<br />

matumizi ya fedha kido<strong>go</strong> ambayo tumewatengea<br />

kwenye maeneo yao.<br />

MHE. CHRISTOWAJA G. MTINDA: Mheshimiwa<br />

Spika, nakushukuru sana kwa kunipa nafasi ya kuuliza<br />

swali moja la nyongeza.<br />

Mheshimiwa Spika, kwanza nimshukuru Naibu<br />

Waziri kwa kueleza Halmashauri na Shule kwamba<br />

michan<strong>go</strong> inayotolewa na wazazi ni lazima ikubaliwe<br />

na wazazi pamoja na Kamati za Shule lakini<br />

Mheshimiwa Naibu Waziri anafahamu kwamba hizi<br />

pesa nyingine ambazo amesema 20% zinazonunua<br />

vifaa vingine hazitumiki sawasawa na badala yake<br />

wazazi nchi nzima hasa Mkoa wa Singida<br />

wanachangishwa pia fedha za kununulia chaki na<br />

vitasa vya madarasa Naomba Mheshimiwa Naibu<br />

Waziri aniambie, hizi fedha ni za nini Nashukuru sana.<br />

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA<br />

MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU): Mheshimiwa<br />

Spika, kama ambavyo tumeagiza na tumeelekeza pia<br />

kwa Wakuu wa Shule, Maafisa Elimu na Halmashauri<br />

kwa ujumla mpaka shuleni, suala la shule<br />

kuwachangisha wazazi tumeelekeza na kama<br />

ambavyo leo nimesisitiza kwenye jibu la msingi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!