28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kwenye Bunge hili ungetupa kitu kizima kwamba<br />

mpaka dakika hii mmeweza kufanya kitu gani. Lakini<br />

inaonekana kwamba mchakato bado unaendelea.<br />

Sasa hebu uje utueleze kwa kina juu ya suala hili na<br />

pengine tujue sasa kwamba ujenzi wa gate 13 na 14<br />

utaanza lini<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nikishatoka hapa,<br />

naomba nizungumzie Reli ya Kati. Ukajaribu kuangalia<br />

hivi sasa utaona kwamba Reli ya Kati imekuwa<br />

inasuasua. Tunaelezwa kila siku hapa kupitia maswali<br />

mbalimbali ya Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> ambayo<br />

wamekuwa wanauliza, hivi ujenzi wa Reli ya Kati kwa<br />

kiwan<strong>go</strong> cha standard gauge utaanza lini na<br />

utakamilika lini Imekuwa kwamba michakato<br />

inafanyika, feasibility study, hizi feasibility study<br />

zitakwisha lini Naomba Serikali itueleze feasibility study<br />

hizi zitakwisha lini Inawachukua muda gani<br />

Ningeomba tuweze kupata ufafanuzi. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pia vile vile, binafsi<br />

nina mtazamo ufuatao, kwamba kusuasua kwa Sekta<br />

ya Reli hapa nchini ni kwa sababu ya uwepo wa malori<br />

mengi, Makampuni mengi ya usafirishaji hapa nchini.<br />

Inawezekana kabisa ukijaribu kuangalia watu wenye<br />

malori hawataki kuona reli ikifanya kazi kwa sababu<br />

itaweza kuua biashara zao.<br />

Mheshimiwa Waziri naomba nitoe wito kwenu na<br />

niwashauri ninyi ambao ndio sasa mnatuon<strong>go</strong>zea<br />

Wizara hiyo. Mmeaminiwa na mmepewa heshima<br />

kubwa sana kuweza kuhakikisha kwamba moja ya<br />

Taasisi ambazo zinafanya kazi vizuri, iwe ni Sekta ya Reli

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!