28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ambayo yameonesha wazi kwamba yanaweza<br />

yakafanya kazi vizuri. NSSF ni mfano mzuri tu, ni<br />

Watanzania hawahawa ambao wanafanya kazi<br />

wakiwa katika mazingira hayahaya ya Tanzania hiihii,<br />

wanafanya maajabu, wanawekeza katika kila sekta.<br />

Watu wa Shirika la Reli basi wajifunze kutoka kwa<br />

wenzao wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii wanafanya kazi<br />

kubwa na nawapongeza hawa na niombe kwamba<br />

kujifunza kutoka kwa wenzetu wanaofanya vizuri uwe<br />

ndio utamaduni ambao ndio unaoweza ukalifanya<br />

Taifa letu liwe ni Taifa la watu wanaoendelea.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, reli zetu ni za muda mrefu<br />

tunatakiwa tubadilike sasa kwa sababu hata teknolojia<br />

ya utengenezaji wa magari, gari lililokuwa<br />

linatengenezwa miaka ya 1960 leo hii ukilipanda watu<br />

wanakushangaa kwa sababu wataona kwamba<br />

unafanya kituko ambacho pengine unataka<br />

kuburudisha watu na kwa maana hiyo reli zetu na<br />

zenyewe zinatakiwa zibadilishwe tuingie kwenye<br />

standard gauge kama mataifa mengine<br />

yanavyofanya.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nirudi kwenye Shirika la<br />

Ndege. Shirika la Ndege kama lilivyo Shirika la Reli na<br />

lenyewe liko katika hali ngumu. Nimwombe<br />

Mheshimiwa Waziri ahakikishe kwamba kasi aliyoanza<br />

nayo ya kuyafufua mashirika haya asirudi nyuma.<br />

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha<br />

kwa muda wa mzungumzaji)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!