28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(a) Kwanza, kukutana na kukubaliana namna<br />

bora za kulishughulikia suala hili pamoja na<br />

mapendekezo yaliyotolewa. Aidha, kwa kuzingatia<br />

misingi ya haki asili (natural justices) katika orodha hii<br />

hakuna wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini.<br />

(b) Kupitia Taarifa Rasmi za Bunge yaani Hansard<br />

za tarehe 27 na 28 Julai, 2012 ambapo Bajeti ya Wizara<br />

ya Nishati na Madini kwa mwaka 2012/2013<br />

iliwasilishwa ili kupata picha ya namna ambavyo<br />

mjadala mzima ulivyoendeshwa.<br />

(c) Kuwaita na kuwahoji mashahidi ambao<br />

watasaidia Kamati kujua ukweli kuhusu tuhuma hizo na<br />

wafuatao wanaweza kuitwa ili kuhojiwa. Moja,<br />

Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni<br />

ambaye katika Mkutano wake na Waandishi wa<br />

Habari ambapo alifanya press conference alitaja<br />

majina ya Wa<strong>bunge</strong> kadhaa wenye m<strong>go</strong>ngano wa<br />

maslahi. Pili, Waziri wa Nishati na Madini aliainisha<br />

tuhuma za kuwepo kwa vitendo vya rushwa kwa<br />

baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini<br />

wakati wa majumuisho ya hotuba yake. Tatu,<br />

Wa<strong>bunge</strong> wote waliochangia hotuba ya Wizara ya<br />

Nishati na Madini na kutoa tuhuma dhidi ya Wa<strong>bunge</strong><br />

wengine kujihusisha na vitendo vya rushwa katika<br />

Wizara ya Nishati na Madini. Nne, M<strong>bunge</strong> mwingine<br />

yeyote ambaye anaweza kuisaidia Kamati katika<br />

uchambuzi wa suala hili, namna ya kufanya.<br />

(d) Kuwasilisha taarifa kwa Spika kwa ajili ya<br />

ushauri na mapendekezo ya hatua zaidi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!