28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

hapa kuna rushwa ya ufisadi na ningeomba tu Wizara<br />

iweze kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha<br />

kwamba kwa nini hawa watu wanaiibia Serikali mpaka<br />

dakika hii. Kwa nini hawalipi madeni yao na wakati<br />

sekta hii ni sekta muhimu ambayo inachangia kwenye<br />

pato la Taifa Wao ni akina nani mpaka wasilipe<br />

madeni haya kwa muda wote huu<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kumekuwa kuna tatizo<br />

bandarini, tatizo la wizi, tukiangalia mwaka jana pekee<br />

zimeibiwa takriban container nne za shaba, hii nchi<br />

mnatupeleka wapi Hivi container ya shaba bandarini<br />

inaibiwaje Tukiangalia wenzetu wa Hongkong ndani<br />

ya miaka 20 wamewahi kuibiwa Mercedes Benz na<br />

ndani ya masaa machache ikapatikana, lakini bandari<br />

yetu ya Dar es Salaam zinaibiwa container nne ndani<br />

ya mwaka mmoja, hapa kuna poor security system.<br />

Kwa hiyo, napenda kumwomba Waziri afanye<br />

afanyalo ahakikishe kwamba anadhibiti wizi wa<br />

bandarini. Wizi wa bandarini imekuwa ni kero na<br />

wanaoiba sio kwamba ni vibaka kutoka mtaani ni<br />

wataalamu, wafanyakazi wa bandari, kwa hiyo,<br />

Mheshimiwa Waziri hakikisha kwamba masuala haya<br />

unayashughulikia.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia napenda kugusia<br />

suala zima la ajali. Wenzetu wa SUMATRA walikuwa<br />

wakishirikiana na wenzetu wa Zanzibar Maritime<br />

Authority, lakini baadaye inasemekana wenzetu wa<br />

Zanzibar wakajitenga lakini ajali hizi zinapotokea jamani<br />

watu wanaokufa ni wote, Watanzania Bara na wa<br />

Tanzania Zanzibar. Mimi nimefika eneo la tukio,<br />

nimewakuta wapiga kura Mheshimiwa Chenge kule

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!