Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
iangalie ni jinsi gani inavyoweza kutusaidia tupate meli<br />
nyingine na hii igeuzwe kama hoteli ya kitalii.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru kwa kunipa<br />
nafasi. (Makofi)<br />
MWENYEKITI: Nakushukuru sana Mheshimiwa<br />
Mhonga Ruhwanya kwa mchan<strong>go</strong> wako, nafikiri<br />
Ki<strong>go</strong>ma wamekusikia.<br />
Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, nilisema nitamwita Dkt.<br />
Pudenciana Kikwembe lakini simwoni ndani ya ukumbi<br />
wa Bunge, kwa hiyo sasa naomba nimpe nafasi<br />
Mheshimiwa Eugen Mwaiposa na atafuatiwa na<br />
Mheshimiwa Stephen N<strong>go</strong>nyani.<br />
MHE. EUGEN E. MWAIPOSA: Mheshimiwa<br />
Mwenyekiti, mimi nichukue nafasi hii kukushukuru sana<br />
kwa kunipatia nafasi.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nianze kwa<br />
kuwapongeza sana Waziri pamoja na watendaji<br />
pamoja na Serikali kwa ujumla kwa namna ya pekee<br />
kwa namna ambavyo wamekuja na mpan<strong>go</strong> mzuri<br />
katika kuhakikisha kuwa sekta hii au Wizara hii ya<br />
Uchukuzi inafanya vizuri na kuleta maendeleo katika<br />
nchi yetu ya Tanzania.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya hayo, mimi<br />
naomba nichangie kama ifuatavyo:-