28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

iangalie ni jinsi gani inavyoweza kutusaidia tupate meli<br />

nyingine na hii igeuzwe kama hoteli ya kitalii.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru kwa kunipa<br />

nafasi. (Makofi)<br />

MWENYEKITI: Nakushukuru sana Mheshimiwa<br />

Mhonga Ruhwanya kwa mchan<strong>go</strong> wako, nafikiri<br />

Ki<strong>go</strong>ma wamekusikia.<br />

Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong>, nilisema nitamwita Dkt.<br />

Pudenciana Kikwembe lakini simwoni ndani ya ukumbi<br />

wa Bunge, kwa hiyo sasa naomba nimpe nafasi<br />

Mheshimiwa Eugen Mwaiposa na atafuatiwa na<br />

Mheshimiwa Stephen N<strong>go</strong>nyani.<br />

MHE. EUGEN E. MWAIPOSA: Mheshimiwa<br />

Mwenyekiti, mimi nichukue nafasi hii kukushukuru sana<br />

kwa kunipatia nafasi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nianze kwa<br />

kuwapongeza sana Waziri pamoja na watendaji<br />

pamoja na Serikali kwa ujumla kwa namna ya pekee<br />

kwa namna ambavyo wamekuja na mpan<strong>go</strong> mzuri<br />

katika kuhakikisha kuwa sekta hii au Wizara hii ya<br />

Uchukuzi inafanya vizuri na kuleta maendeleo katika<br />

nchi yetu ya Tanzania.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya hayo, mimi<br />

naomba nichangie kama ifuatavyo:-

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!