28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mwezi Juni mwaka huu tumelikamilisha, ukiacha kasoro<br />

ndo<strong>go</strong>ndo<strong>go</strong> kwa baadhi, hatuna tena deni la<br />

Walimu. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, hili la m<strong>go</strong>mo limekuja baada<br />

ya Serikali na CWT kutoweza kuelewana au kupatana<br />

au kumaliza tatizo la madai mapya ya Walimu ya<br />

kutaka kuongezewa mshahara kwa zaidi ya asilimia<br />

100, pia wapewe posho ya kufundishia ya asilimia 55<br />

kwa Walimu wa Sayansi na asilimia 50 kwa Walimu wa<br />

Masomo ya Sanaa, pia wapewe posho ya asilimia 30<br />

ya mazingira magumu. Kwa hivyo, jumla ni nyongeza<br />

ya mshahara ya asilimia 180 ambayo Serikali hii<br />

haimudu mzi<strong>go</strong> huo. Tumeshindwa kupatana katika<br />

hilo na Walimu wameamua kwenda kwenye m<strong>go</strong>mo.<br />

MHE. VICTOR K. MWAMBALASWA: Mheshimiwa<br />

Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi nami ili niulize<br />

swali moja do<strong>go</strong> la nyongeza. Pamoja na majibu<br />

mazuri sana ya Mheshimiwa Waziri na Naibu Waziri,<br />

kuna Halmashauri ambazo ziko pembezoni kama<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ambapo Walimu<br />

hawa vijana wakipangwa wanapelekwa shule za vijijini<br />

ambako hakuna vivutio vya maisha kama umeme na<br />

lami, je, Serikali haioni kwamba umefika wakati kwa<br />

Walimu wanaokwenda sehemu hizo kupewa malipo<br />

zaidi kama hardship allowance<br />

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZOYA UFUNDI:<br />

Mheshimiwa Spika, suala hili tumelitafakari sana<br />

Serikalini na tunaendelea kulitafutia namna ambayo<br />

itaweza kuwapunguzia uzito watumishi wa umma<br />

katika sekta mbalimbali ambao wanaenda katika

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!